Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wiki mbili zilizopita simba walilitangaza basi lao jipya mbali ya yale mawili waliyopewa kwa wakati mmoja wao na ndg zao yanga jana tena nimesikia kuwa wametangaza kupokea mabasi mengine matatu...
0 Reactions
10 Replies
897 Views
Ifikie wakati serikali kupitia wizara ya michezo kutoa kalipio na ikibidi kuzuia kabisa tabia za baadhi ya washabiki hasa zinapokutana timu hizi mbili kubwa na mikusanyiko mikubwa kuja na watoto...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
kunatetesi kwamba TFF wameamua kuweka viingilio vikubwa mechi ya leo kati ya Simba na Yanga ili kukidhi matakwa ya mdhamini wa mechi ya leo ni AZAM, ambaye inasemekana ndiye aliyeshinda tenda ya...
6 Reactions
31 Replies
4K Views
Kama yanga tunataka ubingwa basi inatakiwa watafutwe mbadala wao, hawa wachezaji wametugalimu sana msimu uliopita kwa kutojituma na kukosa kontro . Kupitia mechi ya Leo dhidi ya kagera sugar...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Naomba anayejua app nzuri ambayo naweza install then nikaangalia mpira live especially UCL
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu Wale Wataalamu Wa Banking Mtusaidie Kwenye Hili Hapa
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Yanga ni Team kubwa tanzania hakuna team kama hiyo zote zilizobaki ni wapiga kelele tu na wachezaji wazeee
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Hatimaye Cristiano Ronaldo afanikiwa kuifungia Juventus goli lake la kwanza baada ya kufunga magoli mawili na kuiwezesha timu hiyo kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Sassuolo Mshambuliaji...
2 Reactions
255 Replies
27K Views
Alikukuja Baba mmoja anafanana na MK14 aliondoka kimya kimya wala siyo Kagere kukanusha wala Jamaa kueleza alivyomalizana na Mwanae mwenye kujua.
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kubali kuingia mkataba na Azam media upate pesa ya kusajili wachezaji wanaoeleweka au Tumieni zile 20B kununua wachezaji wanaoeleweka kwenye dirisha dogo na sio kuzidiwa kete na Yanga kwa...
17 Reactions
56 Replies
5K Views
Guus Hiddink (born 8 November 1946) is a Dutch former professional football player and manager. He is recognised for winning the treble with PSV Eindhoven, leading South Korea to a 4th place...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Niwatendee haki timu ya wananchi wa Jamhuri ya utopolo kwa kuwapongeza kwa ushindi wao dhidi ya Simba!! Hongereni sana!! Lakini ni vizuri mkajua kuwa ushindi huo hautokani na ubora wa Yanga bali...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Hii taasisi ya simba ishawekwa mfukoni aiseh. Utaratibu wenu ukoje mtu alojiuzulu anapata wapi mamlaka ya kuteua? Na ile midoli itaitwa friends of nani maana tajiri anasafari nyingi😆😆😆😆
10 Reactions
62 Replies
5K Views
Tunamuomba kiumbe huyu haraka aje aungane na mashine zinazotupa raha kwa sasa ili tukamilishe furaha zetu na kurudisha heshima ingawa tayari watu washakubali. Kuna tatizo gani kati ya Saidor na...
3 Reactions
3 Replies
693 Views
Hakuna timu inayojielewa inayofurahia draw hvyo poleni sana watani.Nimefatilia mchezo wenu toka sekunde ya kwanza mpka dk ya mwisho na nmegundua yafuatato; 1. Timu haina muunganiko kama...
16 Reactions
37 Replies
3K Views
Nimeshangaa leo kusikia kuwa TFF imevifungia baadhi ya Viwanja kwa visitumike kwenye matches za ligi kuu Tanzania,kama vile Jamhuri Morogoro na Ushirika Moshi. Je TFF walikuwa wapi muda wote huo...
4 Reactions
8 Replies
991 Views
Ebana linapigwa jingi sana kama ndio CL final yenyewe Neymar anafanya mambo yake kama Neymar
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Naomba Mdau yoyote yule mwenye Picha za Makocha wa Timu za Ligi za Ulaya au hata tu za Misri na Afrika Kusini ambao wakiwa wanacheza Kesho yake basi hukutana kwa kupiga stori Mbili Tatu na kama...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Hatimaye Siku imefika, Siku Imewadia, Kwa Miamba Miwili Ya Soka Nchi Tanzania Ambayo Inawakilisha Nchi kwenye michuano Ya Kimataifa Kukutana kwa Mtanange wa Dakika 90+ Kwenye Kipute cha Ligi Kuu...
2 Reactions
293 Replies
19K Views
1. Timu ipelekwe upesi kwa Mtaalam wetu ama Yule wa Zanzibar au wa Morogoro na achaneni na hawa wa Mikoa mengine kwa Wanatumika vibaya na Maadui zetu. 2. Utaalam wa Kutumia Makafara ( hasa ya...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom