Mkataba mwingine kwa mabingwa wa nchi wa udhamini kutoka kampuni ya Africarriers wenye thamani ya Tsh. 800 milioni.
Mdhamini atatoa mabasi matatu;
🚍 Basi moja litatumiwa na Simba Senior Team
🚐...
Nikiwa mwanasimba kindaki ndaki nimepokea taarifa kutoka kwa kigogo mmoja ndani ya simba kikosi kitakochoanza ni hiki hapo kesho.
1:Azim dewji
2: Kasaam dewji
3: fatuma dewji
4:ahmed dewji...
Bwana weeee kumbe viti vinakuwa mambo flani tayari hadi ukiruka kiunzi cha ule mlango wa sehemu husika kombora linachapa kwa kocha siku ya mchezo na kabla unakuwa jitu la hovyohovyo
Basi ni jambo...
Kuna jambo naliona Yanga sio zuri kwa mustakabal wa timu ya Yanga.
Kwenye mambo mengi gsm wamekua hawawapi nafasi viongozi wa Yanga akiwemo Dr.Msola,Mwakalebela na viongozi wengine wa Yanga...
Barbara Gonzalez, alizaliwa jijini Dar es Salaam miaka kadhaa iliyopita, baba yake akiwa ni raia wa Colombia na Mama Mtanzania. Mbali na kuwa msaidizi wa Mohamed Dewji, pia alikuwa Mtendaji Mkuu...
Magoli kipa.
Kalpana Nyamizi BRN
Walinzi wa kushoto.
mugah di matheo Van De Beek ChamasonMorisonBwalyason
Walinzi wa kulia.
PTER Luvanga1 Kingtox
Walinzi wa kati.
Viol Kifurukutu Poisonous OKW...
CEO wa simba anazidi kuchanja mbuga na kuonesha umahiri wake katika kufikia mafanikio ya timu kwani leo simba imeingia mkataba wa milion 800 na wababe wa wauzaji wa magari Tanzania ambao...
Kuna tetesi nimesikia huyu mtaalam viongozi wa Yanga wanataka kumrudisha kama kocha msaidizi.
Naunga mkono hili sababu moja kuu Kaze anajua lugha nyingi kifaransa, kiingereza, kiswahili, Kirundi...
Hivi Yanga SC ikiongoza kwa Takwimu, Kujaza Watu au Kuuza Mijezi Misukule na Mikaragosi yao huku wakiwa hawachukui Vikombe na tunawafunga katika Mashindano muhimu nani mnadhani Kimantiki ndiyo...
Wachezaji muda mwingine huwa wanajituma kwasababu ya presha ya mashabiki, mashabiki wa Yanga ni wapole mno na timu ikifanya vibaya wenyewe wanaitetea timu yao so wachezaji hawahisi presha yeyote...
Ili kukabiliana na athari za kuondoka kwa Haji manara Simba walilazimika kuingia mifukoni ili kufanikisha Simba day. Manara effect iliwaandama na inazidi kuwaandama Simba. Kila wanachofanya...
Takwimu zilizotolewa na bodi ya ligi hapo jana zilihusu idadi ya watazamaji (Spectators) waliohudhuria katika mechi za nyumbani za vilabu vya ligi kuu kwa msimu ulioisha.
Takwimu hizo zimetokana...
YouTube - BBC South Today News
Blue is the colour for schoolboy hot-shot
8:22am Saturday 28th June 2008
A TEENAGE football prodigy from Basingstoke is closer to realising his dream of...
Habari.
Nimetazama takwimu zilizotolewa na TFF juu ya mapato yaliyokusanywa na vilabu vyote kwa msimu 2020/2021.
Ukiachana na Dar Young Africans ambao wameongoza kwa mapato ya 986.8Ml kwa...
Yaani hawa jamaa bana wakishinda atatoka msukule na Injinia kuji mwambafai wakitia aibu kama ile ya kule Naija basi ni Bumbuli na Hajj mfikirwa
Naona week hii kuna mtu kajificha nyuma ya keyboard...
Ebanaaaeeee hi Ameira si ipo la liga jameni? hawa wa west africans hata kama ni magarasa ila wana mawakala very aggresive kwa kweli yaani msuva angekuwa ni mpopo leo angekuwa anacheza hata...
Tuambieni kitakachowafanya muwe Mbele ya Biashara, kama haitakuwa uonevu, miaka minne sasa hamjawahi kuvuna point hata moja, hebu njooni na mapovu yenu mtwambie iweje muwe Mbele ya Biashara kwenye...
UNAAMBIWA
1. Na ilikuwa siku ya pili ya juma, wachezaji walipojiandaa kwenda kana ya Nigeria kupindua meza kibabe.
2. Nao walipofika katika kijiji kile kinachowakabili, ndipo wakamuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.