Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakuu ukweli lazima usemwe kwa sasaman united wanachokosa ni kocha tu Ole Gunnar sio kocha hata manyema hawezi fundisha kama wanataka kubeba kombe msimu huu basi wamtimue kocha wao.
2 Reactions
7 Replies
971 Views
Kiherehere chenu cha Kujitutumua nanyi kwenda nchini Morocco Kuwaiga Simba SC ili mkae Siku 10 na mkaa Siku 5 tu Kifurushi cha Kisinda kikaisha kilitoka wapi? Aliyewaambieni mfanye Usajili wa 75%...
11 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa anaejua mahala huyu anaweza enda baada ya kufurushwa huko alikojibanza kwa kimvuli cha usemaji wa timu
8 Reactions
32 Replies
4K Views
Manchester United is delighted to confirm that the club has reached agreement with Juventus for the transfer of Cristiano Ronaldo, subject to agreement of personal terms, visa and medical...
4 Reactions
43 Replies
6K Views
1: ROONEY vs DROGBA vs AGUERO 2: LAMPARD vs SCHOLESY vs GERRARD 3: TERRY vs FERDINAND vs SOL CAMPBELL 4: OBLAK vs De GEA vs COURTOIS 5: EVRA vs ASHLEY COLE 6: MARCELO vs LAHM 7: XABI ALONSO...
1 Reactions
10 Replies
902 Views
Kwenye list ya mabondia bora duniani aliyomo mwakinyo, why kina paciao, froyd maywather hawamo? Kupitia jukwa hili, naamini majibu ntayapata
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu kuuliza si ujinga je ni vigezo gani hutumiwa na hizi app zinazoenesha livescore (sanasana flashscore) kupanga msimamo wa ligi pale timu zinapokuwa hazijacheza hata raundi moja Yaani zote...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Binafsi nimeona haya Mosi: Yanga walianza kucheza kimasihara, na kuwachukulia poa Rivers united, walicheza kama vile wanacheza ndondo. Nilirudi sasa kwenye ufundi Rivers walianza na Viungo 5...
7 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwanza niweke wazi mimi ni shabiki WA Yanga. Jana nimeangalia Ile mechi yote nikagundua yafuatayo kuhusu wachezaji wetu. 1. Mukoko: huyu kiungo maridadi nmegundua anaonekana kama Hana furaha kbs...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Jana yanga tumepoteza pointi tatu muhimu katika mechi dhidi ya Rivers united ya Nigeria Simba wametuzomea sana kana kwamba hawajui hali yetu. kwa sasa tujuavyo Simba kwetu sisi ni mke wetu..na...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wasikie utopolo wanavyosema!! Tumewashtukia caf!! Caf wanaibeba simba! Hatupeleki timu Nigeria!! Kwa nini sisi tucheze mechi 2 wakati simba hawacheza hata mechi moja?? Kwa utopolo hiyo ni hoja...
9 Reactions
7 Replies
1K Views
Haitakuwa kazi ngumu kwa kocha, viongozi, wachezaji na mashabiki wa Yanga kujitetea kama ikitokea bahati mbaya wakafungwa na kutolewa kwenye mashindano ya kimataifa msimu huu. Sababu zao zitakuwa...
10 Reactions
45 Replies
4K Views
Ukiondoa zile ranks zilizotolewa na CAF katika timu bora na mambo mengine Ni sifa zipi ambazo zinasema kwamba hii timu ni TIMU KUBWA Tuendelee kujifunza, elimu haina mwisho
1 Reactions
2 Replies
836 Views
Issue ya kuzuia wachezji wa 3 wa first eleven ya wa nigeria kumjeruhi afisa habari wao na kuzuia viongozi wao wawili haiwezi kupita hivi hivi sababu usitarajie kitenge,priva,mwanaspoti waripoti...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Jionee mwenyewe Hawa majamaaa wanadharau kweli
4 Reactions
1 Replies
2K Views
Tena na sema yanga watachukuwa kombe la afrika mwaka wa 2021-2022 Andikeni tariki hizi na nina waomba nyote mrudi hapa mwisho wa msimu mje ku comment na nina sema utabiri wangu utakapo timia...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Ile Kauli mbiu ya Utopolo waliyodanganywa danganywa na Msukule wao kuwa Return of Champions walipigwa changa la Macho. Lengo la Mwamba Manara lilikuwa ni kujipa promo yeye Binafsi kwamba he is a...
15 Reactions
48 Replies
4K Views
Baada ya kuangalia mechi yetu ya leo haya ndo mawazo/maoni/maswali na mapendekezo yangu 1. GSM kupitia Hersi Said kwanini wanahusika kwenye usajili wa wachezaji? Yani Hersi ndo scout wa Yanga...
3 Reactions
69 Replies
7K Views
Kikosi cha yanga kwa Muda waliokaa kambini ni Mchache sana na ukizingatia Safari za hapa na pale! 1st Goalkeeper, Djigui Diarra ni bonge Moja la Mchezaji, hata uwe mnafiki vipi Lazima kazi yake...
6 Reactions
33 Replies
4K Views
Baada ya Timu ya wananchi kufungwa mama katoa mkeka wa Baraza la mawaziri. Watu wamesahau kipigo cha Yanga sasa ni kujadili baraza la mawaziri. Ajenda imehama.
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…