Mnaombwa wote wana utopolo msikose jumapili kutakuwa na suprise kubwa sana anashuka
prince Dube,
Siphiwe Tshabalala legendary wa south africa
na jopo la makocha kutoka team ya Auxerre ya...
Hata sisi wengine hatukuwa na imani na MO , na mimi nimeweka maandiko mengi sana humu kuhusu utapeli wa MO kwenye masuala ya Simba , nilikuwa Team Kilomoni (wanaofuatilia jf wanajua) , Lakini...
haina haja ya kumuelezea sana kanitonya kwamba semaji jipya limewasiliana naye ili amsindikize Olomide kutoa burudani kwa wana utopolo.
Tumsapoti kwa nguvu zote mwana Jf mwenzetu tujitokeze kwa...
Jana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungwa magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua...
Simba ni club kubwa mno
Hakuna mtu mkubwa kuzidi Simba
Mtu akiachana na simba inapaswa asahaulike maana sio tena mwanasimba
Nashangaa huko mitandao ya simba ni kumzungumzia Manara tu, mtu mdogo...
Ninawashangaa sana hawa utopolo baada ya kumsaini utopolo mwenzao wanakuja kututambia bila kujua ni sawa na mtu mzima kucheza sarakasi akiwa amevaa taulo pekee.
Manara hadi kufikia kuaminiwa na...
Naona Haji Manara ngozi anasifiwa leo eti kawapa jina simba wanaitwa makorokoro fc, hivi huo ndio ubunifu aliowahiidi? kabla hata hajaja huko si mlishajaribu majina kama mikia, simbilisi...
Wana Bodi bila shaka mumeweza kulifahamu hili kuwa Haji Manara yupo kibiashara na wazito wa Yanga wanalifahamu hili.
Rejea hapa:"Mithali 28:11 [11]Mtu tajiri ana hekima machoni pake mwenyewe...
Hassan bumbuli alimpa makavu live baadaya kuwacheka Yanga kwa ajali ya kupasuka tairi la mbele la gari ambayo kimahesabu ingeweza kusababisha madhara makubwa
kama kawaida yake ya kutumia ulemavu...
Saa kumi hiyo ishafika mabingwa wa nchi wanaanza Press conference bahati mbaya kuna jitu pori sijui linguruwe pori liko addicted sana na chochote kinachosemwa na mabingwa
Utasikia ohooooo...
Kumekuwa na sintofahamu kuhusu nafasi ya 'Bugatti' hasa ikizingatiwa Yanga inae Afisa wa Habari, Hassan Bumbuli na Afsa wa Uhamasishaji Antonio Nugaz
Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga Haji Mfikirwa...
Habari njema kwetu mashabiki wa Rivers United tumesajili majembe mawili ya kazi, karibuni sana kutoa comments zenu msisahau pia tuko katika michuano maalumu inayofanyika huko Benin ikishirikisha...
Lopolopo Hajj Manara lilidai lina mkataba wa simba milion 384 kwa mwaka kuonyesha contents za simba huko Azam TV.
Cha kushangaza ni contents za utopolo ndizo zinaonyeshwa huko Morocco ina maana...
Kwenye Mpira wa miguu ni ushabiki pekee ndio sio ajira na fulsa
Kuwa shabiki wa Clabu fulani hakuangalii Maslahi wala fulsa yoyote
Wengi tunashabikia vilabu vya mpira bila sababu yoyote tena...
Nimezipata kuwa kuna watu wetu wanaangalia namna ya kumfanya Manara awe msemaji wa Yanga. This is bullshit. Yaani kama kuna jambo la kipumbavu kupata tokea duniani na matusi kwa wanayanga ni hili...
Habari wakuu,
Imezoeeleka miaka yote simba hufungua msimu na tukio babkubwa la simba day.
Mwaka huu sijasikia kitu kuhusiana na simba day, je simba day haipo mwaka huu?
Ni kweli timu zote mbili kwa hivi sasa zinaendeshwa na wawekezaji wenye malengo binafsi zaidi tofauti na hapo awali walipokuwa pembeni wakisaidia kama wafadhili. Lakini ukifanya tathimini zaidi...