Kocha wa timu ya Taifa ya Spain, Jose Luis Enrique ameita kikosi cha timu ya taifa kwaajili ya maandalizi ya Michuano ya Ulaya kwa Timu za Taifa zitakzoanza Juni 11 mwaka huu.
katika hali ya...
Mara kwa mara tunakutana na nyakati ngumu, wala hatupaswi kuzikimbia bali kuzikabili na kuzishinda. Hii sio kwenye mpira pekee bali kwenye maisha yetu kiujumla. Vitu vibaya hutokea lakini...
Yanga SC huko CCM Kambarage au Mwadui (Mkoani) Shinyanga ambako mtacheza leo na Timu iliyoshuka VPL ya Mwadui GENTAMYCINE nawaonya na kuwaomba ichezeni kwa Nidhamu na Umakini ili isije ikawa Aibu...
Salam wanaJF!
Kwa wafanya mazoezi, zoezi la Plank ni moja ya zoezi maarufu na Muhimu lakini gumu. Licha ya kuwa na faida nyingi mfano kuondoa kitambi, kuupa mwili uhimilivu na kujenga misuli...
Kesho ndio ile fainali ya EUROPA kati ya Manchester United na Villa Real, moja ya vitu vilivyo nishangaza ni kocha mstaafu wa manchester united kusafiri na timu wakielekea kwenye fainali hyo maana...
Ama kwa hakika utopolo wnajiona wajanja lakini kiuhalisia ni majinga fulani tu embu angalia hizi tweets za mashabiki wa kaizer chiefs wakishangaa walichokuwa wanakiona na kikubwa zaidi majezi feki...
"Huyu Kocha nimejuana nae Siku nyingi hata kabla ya kuja hapo Simba SC. Anafanya mambo ambayo najua yatakuja Kumrudia na ataumbuka kwani hata Mwenyezi Mungu anayaona na atamuadhibu. Ana Chuki...
Jumatatu iliyopita Wabunge ambao waliripotiwa kuwa ni mashabiki was Yanga waliingia Bungeni wakiwa na bashsha
Bila kuficha furaha yao walinyoosh vidole vyo juu wakiashiria kufurahia kipigo...
Mabingwa wa nchi Simba Sports Club wameondolewa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika katika hatua ya robo fainali.
Hata hivyo kufika hatua hiyo Ni mafanikio mengine makubwa kwa mabingwa hao wa...
Mchezaji wa soka Louis Suarez raia wa Uruguay aliyekua akiichezea Club ya Barcelona ya Spain toka mwaka 2014 - 2020 akitokea Liverpool,aliambiwa na kocha mpya wa Barcelona Ronald Koeman kua alikua...
Wakuu Mpira wa Afrika una mambo mengi sana, yaani ukiziangalia hizi mechi mbili ile ya kwanza kule SA na hii ya jana Temeke unaona kuna nguvu kubwa sana inatumika nje ya uwanja.
Ukiitizama Simba...
Nasisitiza tu, ilikuwa hoja dhaifu kutuaminisha kuwa mngeshinda tano.
Pia ni hoja dhaifu kutuaminisha kuwa Yanga watakwenda body ya ligi kabla ya tarehe thelathini.
Kiufupi hoja zenu zimekuwa...
Sijui Morrison aliwaza nini kwa kufanya hivi alivyofanya. Yaani unaacha mpira unaenda kujiparamia kwenye miguu ya mchezaji. Pengine angefanya maamuzi zaidi ya haya aliyoyafanya ingesaidia timu ya...
Hatimaye Simba SC yaweka rekodi kwa Kuingiza Wachezaji Wanne katika Kikosi bora cha Wiki cha CAF akina Chama, Boko, Miquissone na Tshabalala?
Au
Twiti ya Kiutani wa Kimchezo ya Mwekezaji wa...
Hii iwafikie uongozi wa Yanga ya kua Sisi Mashabiki Hatukubalian na wao kwa kumpa Mkataba Ajibu sabab ni Mchezaji ambae Alitudharau Sana Mpaka kufikia kiwango cha yeye kugomea mechi na kusema...
Wakuu, leo nimekuja na mjadala. Man City wametwaa ubingwa wao wa EPL na leo wamekabidhiwa ndoo yao. Cha kushangaza kocha Guardiola amekiongoza kikosi hiko kutwaa ubingwa bila ya kuwa na namba 9...
EPL itaishia timu zipi zipo top ten??
naamini hizi ndo zitaingia top ten.
Liverpool
arsenal
man city
Chelsea
Everton
man u.
Leicester
Tottenham
wolves.
leeds..