kwa mara ya pili in 3 years ligi ya Tanzania inaenda kuingiza teams 4 Afrika leo hadi biashara na kmc wanapambania nafasi ya 4 sababu lolote linaweza kutokea,lakini anayesababisha yote hayo...
Akiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm, mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa...
Nina uhakika hata Kaizaer Chiefs wenyewe hawaamini leo kama wamepona!
Simba wana tumia nafasi chache sana kua Goli. hii ni kasumba ambayo haija anza leo wala jana ina msimu zaidi ya miwili...
Habari!
Nimerudi tena baada ya kimya kirefu juu ya chambuzi za soccer, twende pamoja. Hadi sasa ni hatua ya robo fainali ya CAFCL ambapo timu nane bora ndio zimebaki hadi sasa ambazo ni Wydad...
Wanasimba tuendelee kujipongeza goli moja hilo tusiumie sana shida hawa wanaongea sana waweke akiba mwakani watapenya kweli?
Jifunzeni mpira kwa simba msijetolewa mapema au mtasusa kwenda.
Timu...
Yanga mmeapa kumuenzi Hayati lazima mchukue kombe ligi kuu sasa mbona hii kauli imekuwaje tena? Clouds Tv hapa.
Wanena NDOTO ZA UBINGWA ZAYEYUKA YANGA.
Game imeisha Simba inaelekea nusu fainali kwa mbinu ile ile waliyoitumia kuwatoa Mufulira Wonders ya Zambia kwenye mtanange unaofanana kwa 100% na huu.
Hatimaye Simba wamempata nyani kama yule wa...
Nilizonazo hadi Asubuhi hii ni kwamba Wachezaji wa Kaizer Chiefs FC Usiku hawakulala Mbezi Beach bali wamelala Ubalozini Kwao na kule Hotelini Mbezi Beach wamebaki wale wasiocheza leo.
Nilizonazo...
Tumeshirikiana na Kaizer Chiefs vizuri. Dawa zinafanya kazi. Waganga wetu na wao wamemaliza game. Simba leo Hatoweza kufuzu. Hata akiwaweka mitume kwenye team yake wamsiadie Simba ndo anaishia...
Uzi huu ni kwaajili ya marafiki wa Kaizer Chiefs ambao tumekuja Tanzania kwaajili ya kuisapoti timu yetu ili iweze kuibuka na ushindi kesho jumamosi.
Mnakaribishwa sana wote ambao ni Friends of...
Habari.
Jeff Lea mchambuzi wa Efm kwenye kipindi cha Sports HQ leo, ameendelea kuzungumza vyema kuhusu Simba Sc juu ya mechi ya marudiano hapa kwa mkapa kwa kusema "Anaona kuna remix inaweza...
Wanasimba tumefanya kazi kubwa wiki hii kutafuta yale magoli 5 tunayohitaji ili kufuzu na juhudi zetu zimeweza kuzaa matunda.
Baada ya kufanikiwa kulipata goli la nne Bagamoyo jana usiku, leo...
Muda unasonga sana magoli yanakaribia kujaa kikapu.Wengi wanasema Kaizer waliloga kwao hivyo Simba lazima walipize kwa Mkapa.Msemaji wao ameenda mbali zaidi na kusema kesho mtu anakula mkono as is...
Moja kwa moja kwenye mada.
Hawa Simba yaani bila kupepesa macho kwenye akili zao wanaamini kabisa kesho watapindua meza na kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Come...
Abdallah Pazi maarufu kama Dullah Mbabe amepoteza pambano lake dhidi ya Pavel Silyagin lililopiganwa Moscow, Urusi wakiwa wanawania mkanad wa Asian Pacific mkanda wa WBO ambapo alishindwa kwa...
Huyu jamaa anaitwa Saheed Adebayo Akinfenwa raia wa England kwasasa anakipiga katika klabu ya Wycombe Wanderers inayoshiriki ligi daraja la kwanza Uingereza akicheza Kama striker
Kwasasa anamiaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.