Kumekuwa na Utamaduni wa Kipuuzi kutoka hasa kwa Waandishi wa Habari, Watangazaji wa Michezo nchini pamoja na Mashabiki wa Yanga SC juu ya Kauli hii ya Kinafiki.
Kila ambapo Klabu ya Simba (hasa...
"yanga hii haina tofauti na yanga ile ya bila senzo. Viongozi tukikaa nao wanalalamika kuwa jamaa hana mchango,msaada wowote na hata walimwajiri ni kama wanashindwa wafanye nini naye.
anapenda...
Ushauri wangu wa bure tu Kwenu Watani zangu Yanga SC kama itawapendeza ili angalau Kupunguza idadi ya Magoli ya Kufungwa na Simba SC Jumamosi tarehe 8 May, 2021 yawe 3 kwa 0 (ambayo ndiyo nayaona...
Kwasasa huyu ndio beki bora wa kati sio kwa ulaya bali duniani kwa mtazamo wangu. Beki mwenye matumizi makubwa sana ya akili, anajua kujipanga kwenye nafasi kwa muda sahihi, anafanya sana...
Muda mchache uliopita, wapinzani wa Simba katika robo fainali ya Caf Champions League, Kaizer Chiefs wamefungwa goli 2-1 na Tshakhuma Fc inayofundishwa Dyran Kerr aliyewahi kuifundisha Simba miaka...
Leo ndio ile mechi pendwa imewadia, PSG vs Man City saa 4 usiku.
Kwa nyota, siku na tarehe ya leo vinaibeba sana PSG.
Hivyo PSG leo ataibuka na ushindi tena sio haba na kuwashangaza wengi...
Hii ni kwa sababu ya mwenendo mbaya wa timu yake kwenye ligi ya mabingwa, Al Ahly hivi sasa haina tofauti na Mbeya City, ule uwezo wake wa kutandaza soka umepeperuka utadhani njiwa wa uganga.
Kwa...
Tanzania Prisons. Nawapa tahadhali.yanga inashinda bao si chini ya Mbili ama sivyo mbadilishe keeper na mabeki wale wawili. Wafungaji wa yanga wamepangwa wawe Molinga na mmoja ya wale wawili...
Akihojiwa baada ya mechi Benjamin Asukile amesema yanga walikuwa wanawapigia simu wachezaji wa prison wawape mil 40 ili kupata mteremko mechi ya leo.
Fuatilieni hii tuhuma maana shahidi wa kwanza...
Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi, amesema kumekuwepo na tabia ya Viongozi wa timu mbalimbali Nchini kutoa kauli za kwamba walihongwa hususan wanapofungwa na Yanga...
Kama kuna Watu ambao ama hakika wamenifurahisha ni TFF kupitia Bodi ya Ligi hasa kwa Kumpanga Mwamuzi (Referee) Mwandembwa (Mwanangu kabisa) kutoka Arusha awe 'Pilato' wa Simba na Yanga Jumamosi...
" Kama Azam FC tukiamua Kumuuza Mchezaji wetu Prince Dube kwa hapa Tanzania ni Klabu moja tu itaweza Bei yetu ila kuna Klabu nyingine isithubutu kwani itauza Jengo lake, Chura walioko Jirani na...
Mwanzoni kabisa mwa 2000, Pep Guardiola na rafiki yake wa karibu Gabriel Batistuta walikuwa wanapiga stori kwenye viwanja vya mazoezi vya AS Roma baada ya mazoezi mazito, wakizijadili ndoto zao...
Jana wakati nimekaa tayari kutaka kuangalia mechi ndio yakatokea yale ya washabiki lakini mimi sitaki kuongelea lile tukio maana tumeliona sote macho yangu yalikuwa kwa Police.
Kwa kweli wenzetu...
Wadau
Siyo maneno yangu ila nimewanukuu wapenzi wa Simba muda mfupi ulipita kupitia Luninga.
WanaSimba Wanasema.
Kwamba Mei 8 watakutana na Yanga kwa ajili ya mazoezi kujiandaa na mechi na...
Timu ya Prisons inacheza na kutafuta matokeo kwa kuhatarisha afya na maisha ya wachezaji wa timu nyingine viwanjani. Hali inakuwa mbaya sana inapocheza na timu kubwa za Simba, Yanga na Azam...
Ikiwa Ligi kuu Tanzania Bara inaelekea ukingoni sio vibaya kuchambua AU Kutabiri ni wachezaji gani wanafaa kuunda KIKOSI BORA CHA MSIMU (VPL).
Kuna wachezaji mbalimbali wamefanya vizuri na...
Kuelekea mchezo wa watani wajadi tarehe 8/5/2021 Na kwakuwa tuna mchezo mwingine muhimu zaidi na timu ya Kaizer chiefs kule Afrika kusini Na kwakuwa timu ya Yanga imekuwa na kawaida ya kucheza...
Wakati akihojiwa na Mtangazaji wa Efm Radio, Bwana Wallace Karia amesema ni wazi kwamba mwaka huu atagombea tena nafasi ya Urais wa TFF.
Amesema atafanya hivyo ili atekeleze mambo aliyoongeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.