Naangalia mechi ya Yanga dhidi ya KMC dah kwakweli timu ya Yanga inatia hadi aibu yaani wachezaji kupiga pass hawawezi, kukontroo mpira hawawezi, kutengeneza nafasi hawawezi wanaishia kubebwa na...
Nimeona polisi wakileta vurugu baada ya mechi na biashara. Tabia hii ni ya kulaaniwa sana kwa vile si ya kiuana michezo.
Kama TFF itawachekea, kuna sikuwa mambo yatakuwa mabaya zaidi hasa pale...
Nilikuwa napita kwenye page za wana michezo mbali mbali na kuona takwimu huku watu kama Luis Jose (Simba SC) themba zwane(mamelodi), ben romdhane(esperance) ,el kaabi (wydad casablanca) wakitajwa...
Mpira ni investment na Nidham.
Timu yangu ya Yanga inatakiwa kuliona hili at a distant. Only investment can make a difference.
Kwa investment ndogo tu waliyoifanya Simba SC, ninaitabiria simba...
Hodi Yanga Afrika, najua hampo katika nyakati bora sana, sijui kama mnapokea wageni kwa sasa. Najua nimekuja pasi na taarifa, kama mtanipokea nitakaa, kama mtanikataa basi kheri. Lakini, nimekuja...
Anaandika @exaud_msaka_habari
Kwa mchezo wa Leo bado Yanga iliyomaliza wakati ligi inasimama na hii ya leo zipo sawa.
Ni kweli hatuwezi kuona matokeo ya Kocha Mwambusi kwa haraka ila bado ni ile...
WATU WALIKUWA WANASUBIRI BARCA IFUNGWE ILI IWE STORY KWA SABABU HAMNA ZAIDI YA KILELE .NA BARCA ILISHAFIKA KWENYE MAFANIKIO (TREBLE) WAACHENI KWA SABABU LAZIMA BARCA ASHUKA ILI APANDE TENA .KAMA...
Nilijihisi nipo katikati ya ndoto ya kutisha nilipotazama 'odds' za Simba asubuhi ya leo. 20+ kwa Simba hii?? Muhindi aliamini Simba anaenda kufa kirahisi.
Kwa kutazama historia, Al Ahyl alipaswa...
00' Mpira unaanza kwenye dimba la Mkapa
28' Greyson David anaachia mkwaju na kuiandikia KMC bao la kwanza
36' Chars Iyanja anashindwa kuingozea KMC bao la pili baada ya kubaki yeye na goli...
Kijijini kabisa huko Sedhiou Senegal, alizaliwa na kukua kwenye umaskini wa kiwango cha juu. Kwa Sadio Mane umaskini si hadithi aliyoisoma kwenye kitabu, si tukio alilolitazama kwenye filamu.
Kwa...
Kutakuwa na bouts nane. Wako wapambanaji kutoka Congo, Malawi n Uganda
Bouts
Boxers: Halima Bandola Vs Naji Isike
Rounds: 3
Winner: Halima Bandola
Boxers: Emmanuel Elias Vs Justine Mohamed...
Manchester United watatathmini uwezekano wa kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Declan Rice, 22, katika mkataba wowote kati yao na West Ham utakaomhusisha Jesse Lingard, 28. (Athletic -...
Kwa jinsi hali ilivyo Hamis kigwangalah au Nassoro kamma anavyofahamika na wazazi wake jamaa ni mpigaji wa kiwango cha kutisha
Hivi aliwezaje kupiga pesa wizarani tanapa na ngorongoro bila...
Afisa mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Barbara Gonzalez amesema licha ya kufanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika, lakini mchezo wao wa kesho Aprili 9, 2021...
Kwenye hii video mwanachama anayejulikana kwa jina la Kabwe amedhibitisha wamekusanya michanga ya wale wanahabari wote waliokuja jangwani leo mapema kwaajili ya kisomo cha albadr
Nilikuwaga nategemea kuwa HT angekuja Kuwa kama Hakeem Olajuwon wa Houston Rockets Enzi Hizo ambaye alikuwa ni tishio katika NBA.
Hashimu angekuwa saivi NBA angekuwa anakula around. 34milion USD...
Wadau wenzangu
PNC
The Icebreaker
Joseverest
King_Ngwaba
makaveli10
kilambimkwidu
Chukwu emeka
BAK
Anigrain
The Boss
Saint Ivuga
dingimtoto
Kanungila Karim
Van De Beek
FORTALEZA
tony92...
Kumradhi sana Mangi hapa dukani najua wewe kazi yako ni kuuza Vocha sio kushauri, samahani Wateja wenzangu najua nyote mna haraka ila mniwie radhi kidogo maana nami ni Mteja na ni Mfalme au...
Hivi Klabu inawezaje Kuwatishia Waandishi wa Habari za Michezo hasa kuwataka wawe tu Wanaandika na Wanatangaza Mema (Mazuri) tu ya Yanga SC ila yale mabaya Wawe wanayaficha kwa Umma wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.