Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakuu mwanzilishi na mbunifu wa soka ni nani? Na ulianza ktk taifa ganj na mwaka gani. Karibuni
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwema Wakuu? Nimekua nikitumia hii kampuni kubet bila tatizo muda mrefu tu. Lakin Sasa takriban siku kumi hivi nilikua Nina hela nimeshinda bet kwa hii kampuni ya PmBet nimeshindwa kuitoa. Kila...
1 Reactions
12 Replies
15K Views
Mechi kati ya Morocco na Mauritania, kwa wale waliobahatika kuitazama mechi leo...Kuangaza kwangu macho nikamuona fundi wa Sevilla Munir El hadad akichezea timu ya taifa ya Morocco, nikabaki na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Aliyewahi kuwa Kapteni wa timu ya Taifa India na mchezaji mashuhuri na mwenye rekodi nyingi zaidi wa kriketi kuwahi kutokea nchini humo Sachin Tendulkar amesema, leo machi 27, 2021 amepima virusi...
0 Reactions
2 Replies
654 Views
Kiukweli bado sijaelewa kabisa kisa cha Kim Poulsen kupewa kazi ya kufundisha Timu ya Taifa, Aliyempa kazi hiyo ni nani na alilenga nini?
5 Reactions
52 Replies
39K Views
Good morning ladies and gentlemen. Shikamooni wakubwa zangu wote. Hivi kwanini ndani ya mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya kusiwe na kitengo maalum cha kushughulukia matumizi ya mihadarati...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Pamoja na kwamba nchi yetu ya Tanzania inasifika kwa mambo mengi, ikiwemo vivutio vingi vya utalii, madini, maziwa na bahari n.k Pia kuna jambo ambalo limekuwa la upekee kwa watanzania, yaani...
0 Reactions
3 Replies
919 Views
Asee Comoro ya sasa siyo ile ya kujipigia kama zamani,nimefatilia kikosi chao vijana wengi wanacheza nje Ufaransa, Ubelgiji n.k Sina hakika kama Tanzania tukicheza nao watatuacha salama...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Picha ni jengo la yanga MAKAO MAKUU jangwani. Niambie Timu gani yenye jengo zuri kama hili?
5 Reactions
21 Replies
4K Views
Ndoto yetu ni Simba Sc iwe club yenye mapato makubwa ili iweze kufanya ushindani katika usajili
8 Reactions
51 Replies
6K Views
[emoji1428][emoji1428]Kuna wakati unaweza kufikiri kuwa unapofanikiwa kimaisha basi unafanikiwa pia kuwa na busara na hekima. [emoji3499]Unadhani kabisa busara na hekima hizo, ni sawasawa na...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Al Ahly walijifanya vidume. Tulipowaambia tuwazungushe zungushe waijue mitaa wakajidai walishacheza hii game kwao Misri. Matokeo yake ndo hayo El Merreikh hawa wamekuwa watiifu wakati...
5 Reactions
49 Replies
5K Views
Itakua jambo la furaha kuona club zetu pendwa za mpira wa miguu zikipatikana kwenye games kama fifa, Pes na magame mengine! Hizo picha nimezitoa kwenye ukurasa wa habari tu za kimichezo africa zone !
2 Reactions
24 Replies
7K Views
MCHANGANUOA WA MIKATABA YA SPORTPESA NA VILABU VYA SIMBA SC NA YANGA SC YANGA Mkataba wa jumla wa Yanga SC na Sportpesa ni shilingi 5,229, 349,688. Mkataba huu una ongezeko la asilimia 5%...
1 Reactions
20 Replies
13K Views
Poleni kwa msiba, Aliyekuwa kocha wa Simba SC, Sven Vandebrock ameishtaki klabu ya simba fifa kwakuwa klabu hiyo imeshindwa kumlipa kiasi cha Tshs 101 milioni kama hela za mishahara na posho...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Imekuaje Metacha Mnata kaitwa Kikosi Cha Team Ya Taifa Stars Kama Mchezaji Wa team Ya Young African Wakati Alishaondolewa Yanga?
0 Reactions
1 Replies
776 Views
Klabu ya al hilal ya sudan imeruhusiwa kuingiza mashabiki 1000 uwanjani. As Vita imeruhusiwa kuingiza mashabiki 3000 uwanjani. Rais wa As vita athibitisha. Hii imekaaje wadau au ndio figisu za soka?
5 Reactions
53 Replies
4K Views
Kwanza kabisa nianze kuwapongeza kwa mwendelezo wa matokeo mazuri katika michuano ya Klabu Bingwa barani Afrika hatua ya makundi na mapaka sasa mpo kileleni na jumla ya alama 10. Sisi wadau kwa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Njia pekee ya kumuenzi kwa mema yake na uchapakaji kazi ni ninyi Kuleta Kombe la CAF hapa Tanzania. Hili ndilo Deni mlilo nalo kwa Marehemu JPM aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye mada, Clouds fm ni kituo cha redio chenye watangazaji (wachambuzi/watoa maoni) wengi zaidi katika kipjndi cha michezo japo hawakutani wote kwa pamoja. 1. Shaffi Dauda 2. Alex...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…