Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Msipokuwa makini kuna kila dalili ya kukosa vyote, ubingwa na mabadiliko ya mfumo wa club. Nionavyo mimi tumieni nguvu zenu nyingi kufanikisha mageuzi ya mfumo wa uendeshaji wa klubu yenu badala...
1 Reactions
2 Replies
810 Views
Yanga leo wanarusha karata yao nyingine baada ya kipigo cha mbwa koko pale Tanga. Updates za mechi hiyo zipate hapa. ======= VIWANJA VINGINE FT: Mtibwa Sugar 0-2 Gwambina FT' Coastal Union...
7 Reactions
188 Replies
15K Views
Washindi wote 40 wa Mbio za Kilimanjaro Marathon hawajalipwa fedha zao hadi leo. Washindi hao ni wa Kilomita 42 na Kilomita 21 ambao ni kumi bora kwa Wanawake na Wanaume. Wanariadha...
0 Reactions
2 Replies
768 Views
Timu haifanyi vizuri, ushindi mwembamba, sare nyingi na sasa imefungwa, tena kiuhalisia ilipaswa iwe imefungwa na kagera sugar pia. Tatizo la Yanga ni kocha, wachezaji, wafadhili au viongozi wa...
4 Reactions
47 Replies
4K Views
Na mwandishi wetu; Michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea kutimua vumbi hapo siku ya jana kwa kupigwa michezo miwili hatua ya 16 bora,ambapo Miamba ya Italia Ilijikuta ikifurushwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Umepewa orodha ya mabeki wa kati wengi katika list, unapaswa uchague pair ya mabeki wawili tu, karata yako itaenda kwa nani na nani?
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Wakuu, Najua hatuna kurugenzi ya ufundi! Simba mchukueni Kaze! Ni bonge la kocha, Yanga wamemtimua kuficha udhaifu wa kiutawala na usajili mbovu! Kaze abakie Bongo na Simba tafadhali sana...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
Ilikuwa ni msimu wa 2011/12 ambapo kikosi hiki kilimaliza msimu bila kufungwa yaani kwa kimombo "Unbeaten" Kikosi hiki kilikuwa kikienda katika viwanja vigimu mno kama Mkwakwani kilikuwa...
12 Reactions
28 Replies
5K Views
Vumilieni tu wazee wa visit kidimbwi yatakwisha tu.
3 Reactions
45 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa mtandao wa Goal.com klabu ya Yanga imewasiliana na timu ya AFC Leopards ya Kenya kuangalia uwezekano wa kumchukua kocha Patrick Aussems aliewahi kuifundisha Simba SC. Hata hivyo...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
"Wasemaji ninaowaongoza, wazingatie kuna maadili ya kuwa Msemaji kama vile taaluma ya habari ambayo inatuongoza, tumeshatoa mafunzo kwa Wasemaji wa Vilabu vya Mpira, tumeona kuna changamoto kweli...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Leo nimesikia Senzo amekamatwa kwa sakata la tuhuma za kumaswa kwa mawasiliano yake akishawishi mmoja ya watu wa Simba ili Simba ihujumiwe kwenye mechi zake na kama tulivyoona hasa mechi ya...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Kama mnavyofahamu siku ya jana golikipa wa Yanga Metacha Mnata aliwaaga mashabiki wa Yanga kupitia insta na baadae kufuta lile bandiko. Kuna tetesi kuwa Sintofahamu hiyo ilisababishwa na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimesikia mahojiano na mpenzi wa utopolo aliyekuwa kama amechanganyikiwa, muasisi wa jina la "utopolo" akidai Dr Mshindo Msola ana kadi ya Simba. Kama wanayanga wana akili za jinsi hii, basi iko...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF limefuta mashindano ya fainali za Afcon kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 Mashindano hayo ambayo yalikuwa yafanyikie Morocco yalitarajiwa kuanza...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Ni vizuri atakayekuwa kocha mkuu wa timu akahusika kwa zaidi ya 80% katika kufanya usajili wa wachezaji atakaowatumia kwenye msimu unaofuata. Hii itamfanya awajibike kama wachezaji hao...
5 Reactions
81 Replies
9K Views
Kumekuwapo na sakata siku mbili hizi kati ya msemaji wa Simba, Haji Manara na mtangazaji wa Wasafi FM, Maulid Kitenge. Hii ni baada ya Kitenge kupost kwenye page zake kwamba kuna ugomvi kati ya...
22 Reactions
108 Replies
11K Views
Kuna watu wanasema endapo Simba itapata alama tatu dhidi ya El marrekh, Simba itakuwa imefikiaha point kumi na kuwa imefuzu hatua ya robo fainali. Sijaelewa hesabu gani zimetumika kuifanya Simba...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Kutoka kwa mtu wa ndani kabisa ya clubu moja kumbwa kwenye VPL ameniambia kuwa club imetenga fungu kubwa kwaajili ya kuhakikisha timu hiyo inautwaa ubingwa wa VPL. Pesa hizo zitakwenda kwa waamuzi...
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Pitso anakuambia makocha kama Eric Tinkler ni wakati sahihi wa kuomba kufundisha teams za nje ya south africa kama Simba huku akiitaja kama team kubwa ambayo ni kawaida yake kuwa kwenye group...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom