Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Pesa hizo ambazo ni sawa na shilingi za kitanzania milioni 144 zimetolewa na CAF kama msaada toka FIFA kwa ajili ya kuvisaidia dhidi ya janga la Corona. Vilabu vitakavyonufaika ni vile...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Taarifa za chini kwa chini zinadokeza kwamba Timu mbovu ya Yanga imewasiliana na AFC Leopard ya Kenya kwa lengo la kumnunua kocha wake Patrick Ausem, kocha aliyewahi kuifundisha Simba ya DSM kwa...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Wameanza kulia lia mapema wakidai Simba SC walichelewa kuwapokea uwanja wa ndege na kukaa zaidi ya masaa mawili uwanjani hapo.
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu, maneno huumba. Hivi karibuni pana hii kauli mbiu ya kuufanya mchezo wa soka ni vita. Soka ni soka tu na vita ni vita tu sasa hawa wanaotupeleka kwenye vita badala ya soka wana lao jambo...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Sasa naanza kuona ule ufalme wa timu za kiarabu taratibu unaanza kupotezwa, hawa wa sauzi wanaupiga mwingi na hawakutazami usoni, kiufupi wanajiamini haswa, wameshinda game zote tatu za round ya...
6 Reactions
93 Replies
9K Views
Habarini Wakuu! Poleni na hongereni kwa changamoto za Jumapili. Madrid leo beki wao nguli namba 3, Marcelo amerudi dimbani. Gareth Bale na Luca Modric wataanzia benchi ktk Game ya leo. Barcelona...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Hiyo mechi tajwa hapo juu mbona haijaanza mpaka sasa kulikoni? Nina maneno nayo hebu mnijuze kama imeahirishwa na kwa sababu gani.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Najua wengi wetu tumecheza sana video games na bado wengine tunaendelea kucheza video games. Katika kucheza kwako games umewahi kucheza game zilizotengenezwa na kampuni ya EA SPORTS au KONAMI...
2 Reactions
82 Replies
10K Views
Nimerudia kuangalia tena rafu ile ya kishamba aliyocheza yule mchezaji, nimejiridhisha kwamba kadi nyekundu pekee haitoshi , yule mchezaji anastahili adhabu zaidi, ikibidi hata kufungiwa michezo...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
Inataka kuzoeleka kwamba kuna aina nyingine ya mpira unaitwa "pira gwaride" Aina hii ya mpira mchezaji anaruhusiwa kucheza hata mieleka na akaendelea kulaumu akiadhibiwa. Katika mechi za Simba...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Timu ya Namungo iko ugenini nchini Morocco kukipiga na Raja Casablanca kwenye michuano ya Shirikisho Afrika hatua ya makundi. Mpira uko mapumziko na mpaka sasa Raja Casablanca na Namungo hakuna...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Anaandika @exaud_msaka_habari Kuna kitu kikubwa sana kimebadilika kwenye mfumo wa Mashabiki wa Simba wa kuisapoti timu yao, nadhani sio mbaya na wengine wakajifunza kwao. Jana nilibahatika kuona...
12 Reactions
15 Replies
2K Views
Hili ndilo lililochaguliwa goli bora la wiki.
6 Reactions
24 Replies
4K Views
Vifuti, mateke ya kutosha, Mawashi, yoko na mai gel za kutosha, Leo kutakuwa na mapambano sita, yote ntakuwa naupdate hapa Michezo yote ina rounds Tatu Pambano la Kwanza Frank Moshi Vs Jafari...
2 Reactions
4 Replies
791 Views
Wakuu Kwema? Nimekaa nimetafakari nimeona wacha niwasaidie hawa watani zangu. Afande Sele aliwahi kuuliza "Mfano Yanga Ikifa Simba itacheza na Nani?", hivyo hata kama ni Mwana Msimbazi sio vibaya...
13 Reactions
22 Replies
3K Views
DIDIER DROGBA, TUNAPASWA KUAMINI TU. . Chelsea wakisherehekea miaka nane ya taji la klabu bingwa Ulaya mwaka jana, Didier Drogba aliombwa azungumze chochote kuhusu taji lile. Drogba alisema...
13 Reactions
12 Replies
2K Views
"Ndugu Mwandishi kuna Kiongozi Mmoja Yanga SC sitomtaja Jina kwa sasa ndiyo Sumu Kubwa ndani ya Timu na Wanayanga wasipokuwa makini nae atakuja Kuwaumiza zaidi ya hapa na Kujikuta pabaya" "Na ni...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Ligi kuu Tanzania Bara kuendelea Leo ambapo mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara wanaenda kukutana na Wajelajela walohamishia makazi yao Sumbawanga wakitokea Mbeya Ikumbukwe ni match ya...
8 Reactions
324 Replies
24K Views
Tulikuwa busy sana na kuandaa namna ya kuwabeba akina kisinda, Sarpong, Hersi, Mukoko n.k hii ilinipa shida kiasi kikubwa sana kwa ile imani kuwa tumesajili team kabambe na hakuna team ambayo...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari ya uzima wanaJF ni matumaini yangu kuwa mnaendelea Vyema sana pia niwape Pole wagonjwa. Kama ilivyo Kawaida yangu ya kupitia vyanzo mbalimbali vya kimtandao pamoja na makala kadhaa basi leo...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom