Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Simba sasa yaanza kukodisha mashabiki,baada ya mamelod kuomba waungwe mkono ktk mechi yao itakayopigwa dimba la mkapa. Hakika wanamsimbazi sasa wanatisha.
17 Reactions
25 Replies
3K Views
Najaribu kuwaza kwa sauti jinsi Simba walivyonyimwa penalty na hawakulalamika. Na si kwa mechi ya jana tu, hata mechi za ligi ya nyumbani, Simba wamekuwa wakichezewa rafu mbaya hasa Miquisonne na...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Klabu ya Simba ya Tanzania imeanzisha mashindano mapya ambayo yatajulikana kama Simba Super Cup, Akizungumza na vyombo vya habari CEO wa timu hiyo Barbara Gonzalez amesema mashindano hayo...
14 Reactions
79 Replies
8K Views
Ukiwa kama shabiki wa soka bila kujali unashabikia timu gani, dondosha maoni yako kuhusu uwezo na kiwango cha beki wa kati wa Simba kutoka Kenya Joash Onyango 'Giorgio Chiellini'
9 Reactions
85 Replies
12K Views
Taarifa zinasema kwamba ajali hiyo imetokea mjini California , huku dereva akiwa yeye mwenyewe ambapo ndani ya gari hilo alikuwa peke yake . Huenda akafanyiwa upasuaji . ====== Bingwa mara 15...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Timu yetu ya vijana U 20 imerudi mikono mitupu kutoka Mauritania baada ya vipigo viwili na sare moja. Kama kawaida wapenda soka waneiponda vibsya timu yetu. Ila wengi wamemlaumu kocha Julio na...
2 Reactions
1 Replies
696 Views
Jana niliwaona kina Lewandowisky wakihaha kuwafunga National Al Ahly ya Misri. Leo hii natafakari hivi hawa jamaa waliocheza jana sio ndio Simba tutacheza nao hivi karibuni!? Aisee ...ngoja...
12 Reactions
64 Replies
7K Views
Kama hujui basi jua. Timu kigogo Africa Simba ndio kinara wao. Habari za Simba Sc zimezagaa dunia nzima. Kwa hiyo sina haja ya kueleza saaaaana. Kifupi ni kwamba kuna Wababe halafu kuna Mbabe
10 Reactions
9 Replies
2K Views
Sisemi mengi, kila mwenye macho na ajionee.
3 Reactions
82 Replies
7K Views
Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly. Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
NDIYO terehe 1 machi 2014 Yanga alimuua Al Ahly 1 - 0 goli la Canavaro dakika ya 82.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Roho inaniuma hatari Naona nikalale tu Yaani tushakula 3 ndani ya 15 minutes Asalaleee === FT: Tanzania 0-3 Morocco. Kutoka kundi C, Tanzania inaaga mashindano ikiwa imefungwa jumla ya magoli 8...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
  • Closed
Jambo TANZANIA na Duniani Kote..! Naaaam..! Jumanne ya February 23, 2021 muda wa saa 10:00 Alasiri, kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, kutakuwa mchezo wa kundi A' wa Klabu Bingwa Barani Afrika...
21 Reactions
189 Replies
19K Views
Hatuwezi kuwa na makocha wanaotegemea kukanyaga mafuta ili kupata ushindi , hii timu ya vijana sina hakika kama inaweza kupata hata goli kwenye michuano hii , achilia mbali kupata ushindi ...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Kuelekea mchezo wa Klabu bingwa barani Afrika wa Simba dhidi ya Al ahly ya Misri, Simba imeitisha mkutano na waandishi wa habari kuelezea maandilizi kuelekea mchezo huo. Mchezo ambao utapigwa...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Michezo ya ligi ya mabingwa barani Ulaya itapigwa hii leo ambapo, Atlètico Madrid ya Hispania atakipiga dhidi ya Chelsea ya England. Michezo ambayo Atlètico Madrid amekutana na Chelsea katika...
0 Reactions
0 Replies
704 Views
Mpira wa Ngorongoro sio mbaya sana, wana mpira mzuri sana.. Kocha akiwapanga vizuri wanatoboa. 1. Hakuna siku ambayo possesion imekuwa below 50% 2. Pass accuracy siku zote imekuwa above 50% 3...
6 Reactions
67 Replies
5K Views
Kwa muda mrefu vilabu vyetu, wadau na mashabiki wamekuwa wakilia na kulalamikia sana maamuzi yanayoamuliwa na waamuzi wetu kwenye mchezo pendwa wa soka ama kandanda au kabumbu kama linavyofahamika...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Club ya CD De Agosto ya Angola imetumia ukurasa wake wa instagram kulalamika kwamba Wenyeji wao Namungo FC wanadhoofisha kikosi chao baada ya kupewa majibu kuwa Wachezaji watano wa De Agosto...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Licha ya kuwa Yanga haijapata kupoteza mchezo wa kiushindani msimu huu wa 2020/21, bado kuna haja na sababu ya kuhakikisha tunaimarisha safu ya ulinzi ili kuhakikisha tunapunguza idadi ya magoli...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom