Klabu yangu pendwa ya SSC kwa sasa ipo chini ya mwekezaji Mo ingawa yeye ana hisa asilimia 49 na wanachama hisa zao ni 51.
Kwa mtazamo wangu naona asilimia 41 za mo zina nguvu kuliko za wanachama...
(1) Kocha mgeni tumpe muda.
(2) Timu imecheza vizuri ila pale kati bado.
(3) Chama akiwa ugenini sijui anakuaje
(4) Yaani bora angeanza Bocco, huyu Kagere kawa mzito
(5 ) Manura na kila siku...
Najua mna negative sana na Simba.Simba ifanye vyovyote ila mna maneno yenu ya kufanya timu yenu utopolo ionekane bora.
Haya TFF imeibeba tena Simba imefunga kwa penalty.
Na Simba ina mabeki...
Kuna kauli imetolewa na SENZO ambayo imeripotiwa na baadhi ya vyombo vua habari ikimnukuu akisema "kuna baadhi ya Watanzania ni mavuvuzela", mwisho wa kunukuu.
Aliyekuwa kocha wa yanga alitoa...
Tumjadili Thadeo Lwanga kwa mechi 3 za Mapinduzi Cup inayoendelea Zanzibar.
Je atakua msaada kwa Simba? Wakati tunamjadili Lwanga tuangalie na uwezo wa
1. Mkude
2. Mzamiru
3. Ndemla na mtangulizi...
Lampard alipotimuliwa na Chelsea mwezi uliopita klabu haikulipa mkataba wake uliobaki baada ya mabadiliko ya sera ambayo yalikuja baada ya kulazimika kutoa pesa nyingi wakati walimpomuondoa Jose...
Mjumbe wa kamati ya Kanda ya Pwani,ya Shirikisho la Riadha Tanzania (AT) Bw. Robert Kalyahe Amefyekelewa Mbali na Kamati ya Uchaguzi, baada ya kukiuka kanuni za katiba ya RT inayokataza mgombea...
Katika mechi mbili za mwisho za ligi ya mabingwa afrika, As Vita ameibuka na ushindi wa goli 4-1. Hii inaashiria jamaa wakiwa uwanja wa nyumbani ni wakali sana, hivyo Simba leo wanatakiwa waingie...
John Bocco ni Mchezaji wa Simba anayelaumiwa sana na mashabiki mbalimbali wa Simba na nje ya simba kwa kukosa magoli akiwa uwanjani.
Lakini siku Bocco asipocheza huwa hatuoni wachezaji wengine wa...
Mimi ni mwanaYanga tena Yanga kweli.
Yanga bado ni mbovu. Tukubali hilo kwanza. Pia, viongozi na muhamasishaji wetu wasiwajengee mashabiki hisia za kuonewa.
Kweli Yanga ingekuwa imara ilikuwa ya...
Kutokana na ushindi ambao timu ya Simba Sports Club imejipatia huko nchini DRC, hapo Jana,na pia kufuatia maneno yaliyobuniwa kwenye t-shirt zao ya "Visit Tanzania', Mheshimiwa Waziri mkuu...
Naitazama kwa umakini sana hii mechi ya Al ahly vs Palmeiras ya brazili, ni wazi kuwa Al ahly wameimarika maradufu tangu wakati ule tulipo wafunga pale taifa goli moja naomba ikiwezekana timu...
Kiwango chake cha Uchezaji kwa Siku za karibuni si tu Kinashuka bali Kinaporomoka vibaya mno hadi naanza Kujiuliza Maswali mengi na kupatwa na wasiwasi.
Tshabalala sasa amekuwa Mzito Uwanjani...
Chelsea itakuwa mwenyeji wa Newcastle katika moja ya mechi mbili zilizopangwa kuchezwa leo Jumatatu usiku.
Itakuwa mechi ya sita ya Thomas Tuchel.
Tangu kuchukua nafasi ya Frank Lampard kama...
Kuna story za kitoto mida ya miaka ya nyuma huyo mwamba alikuwa na nguvu mpaka Mohamed Ali aliomba afungwe mkono wa kushoto.
Nilisikia alifungwa mkono wa kushoto, alivyo fungua alivunja nondo ya...
Habari za weekend wakuu
Baada ya jana kusambaa video ikimuonyesha waziri mkuu akimsifia ALI KAMWE kwa tathmini yake aliyoifanya juu ya simba kuvaa jezi ikiwa na neno linalosomeka 'VISIT TANZANIA'...
Hii ndio taarifa ya sasa kutoka CAF kutokana na sakata la wachezaji watatu na kiongozi mmoja wa Namungo kukutwa na corona
Tusubiri taarifa zaidi kutoka CAF ambalo ndio shirikisho linalosimamia...