Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU imefanya mawasilino na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), ili kuchunguza ushiriki wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia...
Barua ya wazi kwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo
Kwako Dkt. Hassan Abbas
Hatuna shaka kwamba wewe nikiongozi makini na unayefuatilia nakusimamia mambo kwa weledi...
Nilikushangaa sana Wiki hii nzima nilipokuwa kila nikipitia Kurasa zako za Mitandaoni na ukawa unamsifia kwa Mikogo yote huku ukimpamba mno Mchezaji wa Kiungo wa Azam FC Aboubakary Salum 'Sure...
Achaneni na Simba jana wamecheza na team Dhaifu. Sisi leo tunamchakaza Namungo macho makavu kabisa. Miundo mbinu imeshafanyika analala kwa Bao 3-0 mapema tu.
Namungo hamna kitu hapa. Hawa...
Simba SC
Hadi hivi sasa Kikosi cha Mabingwa Watetezi wa VPL Simba SC kimefika salama nchini Erthiopia ambapo leo ( usiku ) huu kitalala katika Hotel ya Sheraton hadi Kesho tayari kwa safari ya...
Mchezaji Emmanuel Dennis (23) wa club ya club brugge (Belgium) raia wa Nigeria hapo jana alijikuta akiondolewa kikosini baada ya kupigana na mchezaji mwezie akigombea siti ya dirishani. Hali hiyo...
Habari!
Nimesikiliza interview moja muda si mrefu ya Mwakinyo ambaye ni bondia bora kwa sasa Tanzania na Africa pia.
Huyu jamaa jinsi media zilivyomu-attack baada ya ushindi wa juzi wa pambano...
Itakuwa ni jambo la faraja sana kwake maarifa yake ni muhimu kwa bench la ufundi, Manula ni kipa mzuri hatuhitaji kuendelea kuthibitisha hili lakini anahitaji mwalimu atakae kuwa mfano halisi...
Nimeona video ya mashabiki wa Yanga wakilalamika waamuzi kusikitika namungo kukosa penati ,hii imekaaje au walijua kinachojiri .mhh haya twendeni tutajafika tu
Namshauri Mo Dewji ashirikiane na Diamond Platnumz kuunda timu ya Wasafi Football Club.
WASAFI ni blrnd yenye nguvu sana nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Wasafi media imepata...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL' kuendelea kupigwa leo November 22, 2020 kwa mchezo miwili.
Kwenye Uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera, Kagera Sugar inavurumishana na Mwadui...
Shafii Dauda ni mchambuzi wa soka ambae yuko negative sana na soka la Tanzania especially Simba. Tangu simba walipoanza kushiriki michezo ya clabu bingwa mwaka huu, amekuwa akitoa maneno ya...
Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) limemfungia Ahmad Ahmad kutojihusisha na soka kwa kipindi cha miaka mitano.
Kamati ya Maadili ya FIFA imemkuta na hatia ya kufanya makosa yanayokiuka kanuni...
Toka nianze kupenda soka sijawahi kuona mchambuzi uchwara kama Dauda. Wabongo wengi wamepewa fursa za kuzungumza na kusikilizwa lakini kichwani hakuna kitu....giza nene
Wanaomfahamu zaidi watupe...
Papaa molinga yanga wamemsema sana.. ila timu kubwa ya zesco imeamua kumsajili..
Ikatokea molinga akafanya vizuri zesco.. scout wa yanga pamoja na viongozibmkwassa na msolla watawajibika yanga...
Huu ni shauri wa bure kabisa. Sio sheria,hutaki unaacha
Nimefuatilia ghazabu za mashabiki lialia wa Simba dhidi ya Shaffi Dauda na kuona tunakoelekea sio kuzuri.
Shaffi ameonekana kuwaudhi zaidi...
Juzi kati nilikuwa nasoma majina ya Wachezaji walioitwa kwenye Timu ya Taifa ya Zambia na Kocha Mkuu wa timu hiyo Bw. Micho. Nilistaajabu nilipoona jina la mchezaji na kiungo pendwa wa ligi yetu...