Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nimeshangaa....kwa sasa Yanga ni kama wameongeza chuki kwa Mo Dewj. Wanamchukia sana. Mpaka kuhoji kama amekabidhi tsh Bilion 20 au bado. Wanafikiri B 20 unakabidhi tu kama unavyokabidhi tsh...
1 Reactions
5 Replies
981 Views
Tumepata kuisikia press ya Boss wetu Mohamed Dewji leo akiongea na vyombo vya Habari. Kilichonishtusha zaidi ni kuhusu ile Bilioni 20 aliyotuahidi wanachama kuitoa mara apatapo nafasi ya kusimikwa...
5 Reactions
64 Replies
5K Views
Leo miamba ya soka kukutana saa 4 kamili usiku, huku Sevila ikiwa na wachezaji hatari sana. Barnega, Ocampos, Munir El haddad na Suso.,,. Inter wao wakiwa na Lautaro na lukaku. LAUTARO MARTINEZ...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanayanga wamefanya Jambo kubwa Sana Kukusanyika katika mapokezi Ya Hersi na Wachezaji Toka As Vital.. 1-Wachezaji wamepata Deni.. 2-GSM wamepata Deni na Heshima.. 3-TFF wamepata Hofu na...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Mchezaji wa zamani wa Man Utd, Ashley Young ambaye kwasasa anakipiga Inter Milan huu ndio muonekano wake mpya. Zamani alikuwa ana kipara muda wote, kwasasa ameachia nywele kichwani... Watu wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Nimepigwa swali na shabiki wa yanga baada ya kubeza kitendo Chao Cha kumbeba kitemi Senzo. Kwa anayefahamu majibu tafadhali.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Salamo Arouch alizaliwa Januari 1, 1923 ni Muisraeli mwenye damu ya kigiriki pia. Alikuwa ni bingwa wa Uzito wa kati wa Ugiriki mwaka 1938 Kipindi Adolph Hitler anawakamata wayahudi na kuwaua...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Akina Lewandowski, Davis, mulkar haya amini. Na wanabahati wangeshapigwa 3. Ni dakika ya 20 yanapelekeshwa Bala na lyon. Na Lyons watashinda hii mechi. Bwahaha sijui eti chuma cha mjerumani...
2 Reactions
50 Replies
4K Views
Ligi Kuu Soka England itaanza kurindima Septemba 12, 2020 na Bingwa Mtetezi, Liverpool inaanzia nyumbani ikiikaribisha Leeds ambayo ni Bingwa wa Championship Baada ya kucheza na Leeds, Liverpool...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Lisbon – Bayern Munich beat Lyon 3-0 and iis in the final of the Football Champions League for the first time since 2013. The top favorite from Munich prevailed on Wednesday at the final...
1 Reactions
2 Replies
856 Views
Sijasikia idadi ya watu wanaotakiwa kuingia kwenye tamasha la Simba day. Lakini sijawahi kusikia wizara ya afya ikisema Sasa tuache kuvaa barakoa, distancing, kunawa mikono na kunitize mikono...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Hutasikia mtu anaongelea majibu ya uchunguzi wa polisi. Ukweli ni kwamba Yanga ilighushi saini ya Morrison. Hili ni kosa kubwa sana na wanastahili kushushwa daraja. Bado inaonesha mchezo mchafu...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani ligi kuu Uingereza kuna dalili mwisho wa msimu Manchester United na Chelsea zikamaliza nafasi mbili za mwanzo za juu na kuna uwezekano mkubwa wakamaliza points zimelingana na hata kuna...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Kuna kanuni mpya itaanza kutekelezwa huu msimu mpya wa VPL. Ili kuleta weledi na kupata watu sahihi, kanuni inataka wakuu wa vitengo vya habari, maarufu kama wasemaji wa club, wawe angalau na...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Ronald Koeman (57) ametangazwa kuwa Kocha mpya wa Klabu ya Barcelona ya Uhspania, akipewa mkataba wa miaka miwili na kulazimika kuacha kazi yake ya kuifundisha timu ya Taifa ya Uholanzi Koeman...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Olympique Lyonnais (officially Olympique lyonnais in French), commonly referred to as simply Lyon (French pronunciation or OL, is a French professional football club based in Lyon in Auvergne it...
1 Reactions
2 Replies
958 Views
UKWELI LAZIMA USEMWE Simba Vs Yanga SIMBA Imeshakamilisha usajili. Haijaacha hata mchezaji mmoja wa first-eleven ya msimu uliopita. Kocha amesharejea. Inaanza maandalizi leo. YANGA Inaendelea...
18 Reactions
44 Replies
5K Views
Habarini wanamichezo, aise nikiangalia hiz sajili zinazoendelea kweny hizi timu za watani wa jadi, mimi ni Simba Ila kuna vyuma viwili ndgu zetu wamevitoa AS vita bwana bwana. Obviously sisi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) kutoka Ufaransa, jana imefanikiwa kuingia fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kuifunga Klabu ya RB Leipzig ya Ujerumani goli 3-0 Mchezaji wa PSG...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom