Hivi mashabiki wenzangu mnapendezwa na namna ya usajili wetu unavyoenenda hivi sasa.
Ona sasa vituko hivi, Kuna mshambuliaji kutoka Lusaka Dynamo Chrispine Mugalu (ambaye huenda akasaini ndani...
Scout wa Simba, benchi letu la ufundi, makocha wa Zambia na Congo wote wamekubaliana kwamba kama Simba inataka kupigania taji la Ubingwa wa Afrika ni lazima iwe na mshambuliaji mwenye uwezo kama...
Mwendo ni Bandika Bandua,
Kifupi hatusajili kwa ajili ya kushindana na Yanga, maana sio level yetu, tumeshaiacha mbali.
Wale wa Vidonge Vya Presha kama kawa msisahau kesho kukaa na vidonge vyenu...
Hivi ndivyo ilivyo inapita miaka mingi, yanatokea mabadiliko mengi lakini mpira ni ule ule, either ushindi au lose bado ni vile vile. Na muhimu zaidi ni kila zama na watu wake na katika zama hizi...
Tetemeko La Leo Pale Unyamani Kwa Vyanzo Vyangu Vyauhakika Itakua Hatari Watu Utopolofour Hawataamini Pale Ambapo Mwamba, Mtemi Huyu Wapale Kinshasa, Anaitwa Jean Marc Makusu Mundeleee, Anakwenda...
Ni muda sasa toka GSM mtuambie mnamsainisha huyu Mwamba Tupeni raha wenzenu. Tupeni utamu Malizeni issue yake leo hii Chama awe wetu. Hapo ndo patakapowauma Simba.
Tumchukueni Chama kupoza...
WanaJF Inakuwaje!
Bayern Munich wanabahati na kushukuru beki matata na Machachari raia wa ufaransa mwenye asili ya Cameroun Samuel Umtiti hakuwepo uwanjani dhidi yao kwenye robo fainali ya Uefa...
Ni beki kisiki mwenye umri wa miaka 27 tokea Gor Mahia ya Kenya
Umeona tofauti ya protol za usajiri za Simba na Yanga. Heshimu wadhamini ndo wanaokuweka mjini
Nasema hivi, haya maneno kuwa mmemteka Larry Bwalya kama ni kweli ntawafanyia jambo baya sana Simba. Baya sana. Kweli nawaambia ntawafanyia jambo ambalo babu yangu aliwafanyia waliomuibia ng'ombe...
Sijajua kuna nini hasa, ila tusubiri tu mpaka saa kumi na moja jioni. Wale wa Mtaa wa Pili kama unajijua una Presha za hapa na pale basi agiza kabisa vidonge ukae na maji tayari tayari.
Pia...
Mchezo robo fainal UEFA champion league wa Barcelona dhidi ya Bayern Munich.
Tumeshuhudia Barcelona wakionyesha kiwango dhaifu na kisicho ridhisha kwa kuruhusu nyavu zao kutikiswa Mara nane(8)...
Wala sitetei hoja..napata breakfast hapa.muda huo sina...
Ila ukwel ndo huo....overrated
Kama kwa stamina ile anashindwa mkalisha mtu kama yule...bas ni kwel mwakinyo huu ndio mwaka wake wa...
Kutokana na maarifa, uwezo na umakini wa kutosha wa hawa miamba ya Munich Bavaria, ni dhahiri kuwa wanaenda kubeba ndoo ya UEFA.
Ni timu pekee duniani yenye uwezo wa kucheza away games ikiwa...
Hivi kwanini hawa jamaa hawajawahi kuwa na uzi mzuri hata kumshinda Azam FC? Kwanini wasifanye mpango wa kujifunza kwa wataalamu wa KIT kutoka Dar es Salaam Young Africans SC?
Maana walitengeneza...
Habari wanaJF,
Klabu ya Simba inajinasibu kwa kuzindua Logo au Nembo yao Mpya lakini kama ni ukifuatilia wamecopy na kupaste kutoka kwa wengine.
Je hii haiwezi kuwaletea shida kwa janja janja hii?
Habari wakuu
Najua kuna watu wanamatumain makubwa sanaa na liverpool, huku wakijihakikishia kubeba epl na uefa
Nasikitika kuwatangazia kuwa Kwa gundu alilonalo klop, hatoweza kubeba kombe hata...
Timu ambayo imefungwa mechi moja tuu E.P.L na inaongoza kwa tofauti ya pointi zaidi ya 20 inapigwa nje na ndani na timu iliyopo nafasi ya 6 La Liga.
Leo ndio mtajua kuwa huwa mnakaririshwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.