Habari Wakuu
Naomba kama kuna mtu humu ambae anaweza kuwa na connection na viongozi wa Simba awaambie wasithubutu kumpa jezi no9 mshambuliaji mpya Chris Mugalu kwani ina gundu na ataflop wote...
Wakulungwa tumeshuhudia leo Manchester city akifungashiwa virago na watoto wa ufaransa Olympic Lyon na hivyo kufanya nusu fainali kuzidi kunoga maana wengi tulitegemea Man City leo hii atatinga...
Inter kachapwa 2-1 nyumbani kirahisi na Barcelona iliyojaa watoto katika sehemu kubwa ya mchezo wa leo UEFA. Inter sasa kapigwa ndani nje na Barca.
Hapohapo leo ilikua mechi muhimu sana kwa Inter...
Wadau wa soka salaam,
Iwapo spirit hii ya kuhuisha michezo itaendelea kwa miaka mitano tu ijayo, soka la Africa litahamia Tanzania.
Hawa watoa pesa wasisahau jambo moja muhimu kuwa, ili kuwa...
Kanuni za mashindano ya CAF zinaelekeza kwamba nchi 12 zenye ligi bora barani Afrika, hutoa timu 4 kushiriki mashindano ya CAF; mbili kwenye ligi ya mabingwa na mbili kwenye Kombe la Shirikisho...
Nimeona taarifa ya kuwa Florent Ibengé amethibitishwa kuwa ndiye kocha mkuu wenu. Ningependa kuwapa kongore maana eneo muhimu kwenye timu ni kocha. wengi walikuwa wanawangoja kwa hamu kuona ni...
Habari Wakuu
Jana nilileta hoja ya kulishauri benchi la ufundi la Simba wasimpe Mugalu Jezi namba 9 na kweli nimeona kwenye picha kavaa Kits zenye jezi no7.
Leo tena nna ushauri mwingine juu ya...
Katika kumbukumbu zangu toka nianze kuwa mpenzi na mfuatiliaji wa mpira wa Bongo,sijawahi kushuhudia timu yeyote inayoshiriki kombe au ligi kubwa kukimbia mchezo isipokuwa Yanga
Ilikuwa ni 28...
Bodi ya ligi nchini TPLB leo imetangaza ratiba ya michezo ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa mwaka 2020/2021 utakaoshirikisha jumla ya timu 18 huku Raundi ya saba vilabu vya Simba na Yanga...
Kila nabii na zama zake na kila jambo lina mwanzo na mwisho zaidi hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha ndivyo wahenga wanasema hivyo tangu kuwepo kwa dunia wamepita watu mbali mbali walioacha alama...
Wahenga walisema," Mwache muongo akuongoze ili mwishoni aumbuke". GSM Walidhani wanaweza kuendelea na uongo wao. Walidanganya kuhusu kumuongeza mkataba Shishimbi, na Morrison mwisho wameumbuka...
Naliona anguko kubwa la Man Utd lakin hakuna alieweza kutunyang'anya ufalme wetu kwenye ligi ya epl Bado sisi ni wafalme wa uingereza.
Tangu timu inunuliwe na glazers family imepotea kabisa Hawa...
Kwanza niseme wazi mimi Mr Zero IQ ni shabiki kindaki ndaki wa timu Kongwe sana hapa nchini "Young Africa ", kupitia yeye ndio ikazaa timu ya Sunderland na atimae ndio Simba Sc ya sasa ambao...
Viongozi wetu wanafanya kutwanga maji kwenye kinu hivi sasa. Maana usajili wa msimu huu haionekani kuponesha vidonda vya mabao matano matano tuliyoyapata msimu uliopita wa klabu bingwa afrika...
Hii ni mara ya pili nikishuhudia mpambano mkali kati ya Simeone na Klopp na mara zote Klopp kapoteza pambano.
Kwa mara ya kwanza mtanange wa Audi Cup fainali uliopigwa Alliance Arena jijini...
Timu ya TZ PRISON imehama kutoka kutumia uwanja wa sokoine jijini mbeya hadi kutumua uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga mkoa wa Rukwa, uwanja wa Nelson Mandela ndio ulitumika kwenye fainali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.