Habari wadau wote wa Yanga polen na majukumu.
Leo nimebahatika kuangalia Samakiba kwanza niwapongeze Samata na Alikiba bila kusahau Wachezaji wote waliojitolea kuwapa Sapoti
Leo kama umeangalia...
Habari wakuu.
Haya mambo yanayoendelea kati ya simba na yanga wa huku anaenda kule, wakule anaenda huko hasa kipindi hiki cha usajili kabla ya kuanza kwa ligi yetu pendwa ya VPL.
Je, kuna...
Kutokana na ujanja uliofanyika wa kumsajili aliekua mchezaji wa Yanga Bernard Morrison, bila ya yeye kuhusishwa kumepelekea mtendaji huyo mkuu kuachia ngazi ili kutunza CV yake isiharibiwe, kwani...
Nakumbuka nilisema juzi humu kuwa kuna pahala Simba SC wanakosea. Huwezi kuifanya klabu iendeshwe kwa weledi na wakati huo huo unaiendesha kwa Uhuni wa kizamani.
Nilikuwepo na Social Media...
Kichwa cha habari hiki sicho nilichokiposti. Pana mtu amefanya stealth edit. Whoever did that: It is unethical. Umenilisha maneno nisiyoyaandika. Ukiedit, jipe credit. Au ukiona unayo mawazo ya...
HABARI ya jioni poleni na kazi na majukumu ya hapa na pale,naenda straight to the point Kwenye website ya parimatch kuna hii option ya Spin to win nimejaribu mara kadhaa kucheza huu mchezo naona...
Hayati Mzee Benjamin W. Mkapa (Mungu Amrehemu) aliwahi kulisemea swala la kukosa Muendelezo (Continuation) katika Mipango yetu. Naona bado Ni janga.
Ninaona kama [emoji1241]tunadhani haya maneno...
Tangu jana baada ya kuwekwa picha kwenye akaunti rasmi za klabu ya Simba zikionesha picha ya Mchezaji Benard Morrison akiwa amevaa jezi zinazovaliwa na Timu hiyo, kumezuka Sintofahamu kwa wapenzi...
Moja kati ya mawinga wa shambuliaji hatari ambao wamewahi kuja hapa nchini ni Bernard Morrison. Jamaa ni talented sana, hilo halina ubishii ata add value sana kwa kikosi cha lunyasii mnyama mkali...
Habari wadau,
Mimi mwanayanga. Ila namkubali mo kwa uwekezaji wa Simba.
Natazama sana mashindano ya CAF Champions League kila msimu. Mimi ni die hard African football fan boy. Natazama CAF...
Ligi imeisha simba wamechukua ubingwa kwa points 16.
Simba hawastahili kuchezea hii ligi, angalia kwenye msimamo waliofuatana walikuwa wanapambana nafasi ya pili na kupishana kwa kwa points...
Simba wanapaswa kuwa wazalendo, Tuhuma za kuvibishia vyombo vya Usalama, Kuvunja sheria za nchi, kudharau taratibu zetu viwanjani ..hatupaswi kabisa kuendelea kumkumbatia Mchezaji Huyu. Inajenga...
Binafsi ninawapongeza Vodacom, KCB, TFF, wachezaji na wadau wote walioandaa na waliopata zawadi za VPL kwa msimu wa 2019/20.
Lakini sio vibaya pia sisi wadau watazamaji, wasikilizaji na...
Tamko la mwisho la Azam FC kwenda kwa Yanga FC kama wanamtaka Mchezaji Wao Abubakary Salum 'Sure Boy' ni hili hapa.....
" Leteni Tsh Milioni 70 Cash na mtupe Mchezaji wenu wa Kiungo tegemeo...
Hii TFF ni ya Simba kabisa... tuzo 5 zote zimeenda kwao. Ina maana sisi hatukucheza hii ligi? Hii ni Hujuma. Hata wale wachezaji ambao tulionesha tunawata au kuwasajili wamenyimwa.
Hili jambo...