Morrison ndo alibaki kuwa nembo yetu Jangwani. Tuliaminishwa kuwa amesinya. Kama ambavyo tuliaminishwa Tshishimbi amesinya kumbe bado 😭😭😭😭
Inauma sana kila nikifikiria huwaga ninalia. Inauma sana...
Kocha Luc Eymael kuna jambo lilimfanya atuone sisi ni kama Manyani au Mbwa. Aliona tunapiga kelele tu na hatuna elimu, yaani ni vilaza.
Nmeshangaa tunaposhangilia team karibia yote kupigwa chini...
BENARD MORRISON KUMALIZA 'MASINEMA' YAKE NA YANGA
Shirikisho la kabumbu nchini Tanzania (TFF) limesema hukumu ya madai ya kughushi saini ya mchezaji Bernard Morrison itatolewa Agosti 10 baada ya...
Tukusanyikeni hapa kupata updates za tuzo mbalimbali kwa wanamichezo walioshiriki VPL msimu 2019-2020 nikiwarushia matangazo moja kwa moja toka ukumbini.
Kwa kweli ukumbi umependeza sana. Ingawa...
Saa 8;00 mchana club ya simba inaanza utambulisho wa wachezaji wao wapya watakao tumika msimu ujao
Unadhani watanza na nani?
Je ni jack shonga au makusu?
Habari zenu vitasa wa jangwani,
Wachezaji wengi wa Afrika hamuelewi suala la contract extension na new player registration,,,ni mazoea tuu huku Afrika kwamba wachezaji wanacheza mpka mkataba...
Iker Casillas returns to Real Madrid
The legendary goalkeeper is ready to call time on his playing career and is preparing himself to step into his first position away from the pitch.
Casillas...
Mshambuliaji gwiji huyu amefunguka maneno haya wakati akimshauri kijana Coutinho juu ya uhamisho wake kwenda pale Barcelona.
Ronaldo amefunguka na kusema Barcelona hawana upendo na wachezaji wa...
Habari wadau..
Katika simba nani mkali kuliko wote kwa kikosi cha mwaka huu
Na yanga ni nani.
Upande wangu simba wananichanganya maana mpira mkubwa nawaona wengi sana sijui nani bora kuliko...
Azam FC ni miongoni mwa timu zilizotegemewa kuja kufanya mabadiliko makubwa ya soka la nchi yetu kutokana na namna ilivyoanza kiuwekezaji.
Lakini kila miaka inavyozidi kwenda ndiyo unagundua kuwa...
WAKUU ZIFUATAZO NI TAKWIM ZA WANASOKA WALOFANYA VIZURI LIGI 5 ULAYA:
LEAGUE1
most goal: mbappe
most assist: di maria
most dribble: neymar
SERIA A
most goal: ciro immobile
most assist: papu...
Mojawapo ya eneo ambalo binafsi lina nipa mashaka kwa timu ya Simba ni ulinzi wa kati
Ni kweli ulio wazi kuwa Wawa na Nyoni ni mabeki wazuri .Changamoto kubwa iliyopo ni umri wao. Hawa wanahitaji...
Mtendaji mkuu wa Klabu ya Simba (CEO), Senzo Mazingiza amethibitisha kupokea ripoti ya kocha Sven Vanderbroeck kuhusu Usajili wa msimu ujao Katika ripoti hiyo Kocha Sven anataka wachezaji 5 wa...
Niwazi ligi ya uingereza ni mziki mnene na maji marefu Kwa mtanzania mwenzetu Mbwana samatta maana Hadi sasa Kwa kiwango anachoendelea kuonyesha pale villa park Hana tofauti na mchezaji kutoka...
Wale wote wanaocheza Martial Arts Tanzania hapa njooni tubadilishane ujuzi
kuanzia wale wa
Japanese Shotokan (JAPAN)
Aikido (JAPAN)
Kick Boxing
Tae Kwo ndo (KOREA)
Muay Thai...
Hii iwafikie viongozi wote wa club pendwa ya Simba sports club. Hii sio sawa hii sio sawa kabisaa kwa hadhi ya club ya Simba Mimi ni shabiki tena kindaki wa hii timu. Mara ya mwisho mimi nilikodi...
Kwa sisi washabiki wa zama hizo tuliowaona Sunday Manara na King Kibaden wakicheza, haikuwa jambo rahisi kwa mchezaji kuhama Yanga kwenda Simba au Simba kwenda Yanga.
Wachezaji walijiunga na...
1. Mshamu Hassani
Mfuganjiwa Sibuka FM
2. Hassani Mvula Ufm
3. Oscar Ulasa TBC FM
4. Master Tindwa Choicefm
5. Amri Masale Radio One
6. Van Msumi Kiss FM
7. David Pasco AboodFm
8. Issa Ndokije...
Za chini chini zinasema kuwa aliekuwa kocha wa Simba, Bwana Patrick Ausems yupo katika mazungumzo na Dar Es Salaam Young Africans kwa ajili ya kui-coach timu hiyo inayopendwa sana katika ukanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.