Kwa jinsi yule kocha Mwinyi Zahera alivyojitolea kwa Yanga ambayo ilikuwa inaandamwa na ukata mkubwa na Yanga; walichomfanyia, wanastahili matusi ya huyu Mbelgiji
Zahera alikuwa akiikopesha Yanga...
Ligi kuu ya Soka nchini inafikia ukingoni, mchzaji gani anapaswa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu kwa ligi kuu ya Vodacom?
Karibuni kwa maoni yenu...
Juzi ulipokuwa ukilialia kama ambavyo ' Voice Note ' yako ime ' trend ' kweli kweli kuhusu ' Kusakamwa ' na wana Yanga kwa kile walichodai kuwa ulikuwa ' ukiwahujumu ' nilikuonea Huruma na Kudhani...
Ligi ya EPL inafikia ukingoni jumapili tarehe 26 july 2020, kuna vita ya aina mbili kuelekea kufungwa kwa ligi. Kwanza ni timu mbili ambazo zitaungana na Liverpool na Man City kuelekea kwenye...
Usije kusema sijakuambia kwani hao Nyuki ni wale wa Kuja na Kasi ya Upepo kutoka Bahari ya Hindi ambao ni wakali sana na wanaweza Kukuachia Nundu nyingi Kichwani na hata Mwilini kwako. Hata hivyo...
PREMIER LEAGUE
FT
26/07/2020 (18:00 EAT)
3 - 2
Arsenal Watford
FT
26/07/2020 (18:00 EAT)
1 - 2
Burnley Brighton & Hove Albion
FT
26/07/2020 (18:00 EAT)
2 - 0
Chelsea Wolverhampton Wanderers
FT...
Yote kwa yote ligi mbalimbali duniani kote zimefikia tamati na mabingwa kupatikana. Napenda kutoa pongezi zangu kwa Arsenal Na Simba kufanikiwa kushinda ubingwa wa FA, kila la heri kwenu na sasa...
Swali langu hilo hapo juu.
Hii timu inapiga sana faulo.Nahisi ukitengewa nje ya boksi kidogo ni ndani.
Sidhani kama kuna timu inapiga faulo kuliko hii ligi kuu.Kama ipo muitaje tafadhali...
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, TPLB imewaagiza makamisaa wote wa mechi za mtoano na Ligi Kuu ya Vodacom kuwa na dakika moja ya maombolezo katika kila mechi itakayochezwa kwa kipindi cha maombolezo...
Salaam..
Nimeona niandae kwa haraka haraka namna msimamo wa ligi utakavyokuwa kuelekea kumalizika kwa ligi siku ya jumapili, 26 July 2020.
Tukianza na timu 4 zitakazofuzu kwenye michuano ya ligi...
Kumekuwa na mijadala mbalimbali inayoendelea Mitandaoni kuhusu ni nani kocha bora kwa sasa Duniani. Wengi wamekuwa wakimtaja Pep Guardiola, wengine wakimtaja Zinedine Zidane, lakini pia wapo...
Upo uwezekano mkubwa kwa Tanzania kupata nafasi nne za uwakilishi kwenye michuano ya vilabu barani Afrika (CAF CL na CC) kutokana na uwezekano wa Libya kuondolewa kwenye michuano hiyo baada ya...
Baadhi ya shabiki wa 'kilabu' ya mpira wa miguu ya Aston Villa wameshikwa na hasira baada ya kupata habari kuna uwezekano wa mshambuliaji wa timu yao Mbwana Samatta kwenda kujiunga na timu ya...
Habari wan aJF
Naleta thread hii mahususi kwa kupeana ujuzi zaidi kuhusu ps2, ps3 na ps4 kwa matengenezo na vitu muhimu pia kama una games unaweza kuzilink watu wazipate na updates zote.