Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mbwana Ally Samatta is a Tanzanian professional footballer who plays as a striker for English club Aston Villa and the Tanzania national team. A 27 years old man is living his dreams by playing...
1 Reactions
1 Replies
984 Views
Ukiangalia msimamo wa EPL mwaka huu Kuna dalili nzuri ya ASTON VILLA kusalia ligi kuu. Nafasi ya:- 16.Westham -37 pts 17.Aston Villa-34 pts 18.Watford-34 pts 19.Bournemouth-31 pts 20.Norwich-21...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
OFA OFA Month payment Tsh 60,000 LEARN TO SWIM PROGRAM [emoji2113] With @swim_coach_abel . Group lessons CHILD 3yr -14yr Start 1 August 2 classes per week Location Mbezi africana, Upanga &...
0 Reactions
0 Replies
354 Views
Kwa kiwango alichoonesha leo, basi Samatta ajiandae kukalia "ubao", pia nimesikia jamaa (Aston Villa) wanamtaka Sturridge. Kama ataendelea kupuyanga uwanjani kwa mtindo huu wa leo basi atakalia...
2 Reactions
108 Replies
11K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ndugu Paulo Makonda amejipachika uongozi wa Timu ya Taifa , haijafahamika malengo yake , bali kinachofahamika ni kwamba Mungu hataniwi , na kwa kadiri ninavyomfahamu...
15 Reactions
34 Replies
3K Views
Amani iwe nanyi wakuu, Kulingana na usajili ulivyo msimu huu, natabiri hii ndiyo top-four yangu msimu huu. Man city Chelsea Liverpool Everton LONDON BOY
5 Reactions
144 Replies
13K Views
Kwa mara ya kwanza katika historia tuzo ya Ballon d'Or mwaka huu haitotolewa kwa sababu hakutokuwa na usawa kutokana na namna janga la virusi vya corona lilivyoathiri taratibu za uchezaji soka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana jamvi nimekuwa nikifuatilia soka letu hapa bongo, na kuona ni wakati sasa BMT iitake TFF kuingiza kifungu cha Kudhibiti Mapato ya kutoka nje ya Club, kwa lugha nyingine ikiitwa Financial Fair...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau, Jana Yanga tumecheza na Singida. Nimeshangaa kuona wachezaji wametokea kambini kwenda uwanjani, badala ya kutokea nyumbani kwao ama makao makuu ya club. Hata mechi na simba nayo...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Kikosi cha kutia adabu wanafunzi kama tulivyowatia adabu wakongwe Deportive La Utopolo Reds in Town tukikinukisha na kombe letu
1 Reactions
56 Replies
6K Views
Kabumbu saafi ya kiwango ikipigwa na Mnyama. Jiulize Yanga itaweza? Picha la kukera Yanga imebaki kuwa timu kongwe tu na sio timu kubwa.
6 Reactions
61 Replies
5K Views
Kocha huyo wa Manchester City amesema kuwa ni bora aende likizo ya kufundisha mpira kuliko kukubali kuifundisha Manchester United > Guardiola alikuwa kwenye rada ya Manchester United kwa ajili ya...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Solskjaer hits back at Lampard's claims that VAR favours Manchester United The Chelsea boss highlighted the number of calls that have gone in United's favour and Solskjaer has clapped back ahead...
0 Reactions
7 Replies
894 Views
Kwanini Yanga msiutoe huo Mkataba wadau tuuone? Uongozi Umekomaa kusema mkataba upo TFF, kwani nyie hamna huo Mkataba? GSM ni Janja janja, kwa Mwendo huu hata ule mkataba na La Liga uchunguzwe.
1 Reactions
39 Replies
7K Views
Simba wametenga mil 200 kukamilisha usajili wa msimu mzima. Huku yanga wamemnunua mchezaji mmoja tu Mil 240. Alafu michuano ya ligi kuu itakapo anza bado Mashabiki wa Simba watasema YANGA...
3 Reactions
23 Replies
5K Views
Tuna taka muone kuwa tunawaangalia tu jinsi mnavyobebwa,ni mara nyingi sana mnabebwa hivi. Kwa kiwango mnachobebwa kuanzia ile goal corner ,na magoli mengi tu dhidi yenu kukataliwa hadi mechi ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwana masumbwi wa uzito wa juu Duniani Larry Homes amesema wapiganaji wa sasa wa ngumi wasingetoka salama enzi wake akiwa ulingoni. Homes amasema ni kweli kua hawa wana masumbwi wa uzito wa juu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Msemaji wa timu kongwe kama Yanga hajui kanuni za mchezo ambao timu yake inashiriki. Anasubiri Yanga ikutane na Simba ngao ya hisani eti Yanga ikiwa nafasi ya pili Kanuni
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Nimechungulia anga la SIMBA kuna ung'avu mkubwa na nyota nne zinawaka kuzunguka kichwa cha mnyama SIMBA akiwa kakanyaga zulia jekundu na kuzingirwa na mataa yanayomeremeta, mekundu. Kwa upande wa...
50 Reactions
426 Replies
42K Views
Back
Top Bottom