Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Papaa Zahera aliendesha timu bila mishahara Timu iliyojaa wachezaji wa kiwango cha chini kuliko hii ya leo ila timu ilikuwa na morali na matokeo ilikuwa inapata Na hata timu tajiri kama azam na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wataalam wa masumbwi wanasema hili pambano kama lingefanyika basi lingekua pambano bora la karne. Mwenye kujua kwanini pambano hili halikufanikiwa kupangwa atujuze.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tokea nianze kuifuatilia team ya Simba Ina udhaifu fulani especially Kama hautaipa space na kuwapress high wanapotea team nzima na ndio maana wanashindwa kupataga matokeo dhidi ya prison na hiki...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Dalili zipo wazi Yanga imetepeta mno,hata nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ni shida. Kwa upande wa Azam Conf. Cup Yanga watatolewa mapema . Yanga tangu mechi ya march 8 kuifunga Simba...
7 Reactions
73 Replies
8K Views
Wakuu salama?. Nilikuwa nimekaa leo najiwazia ila sijapata majibu kuhusu hili swala, kama mnavyojua SIMBA SC ndio Mabingwa wa nchi msimu huu hivyo kulingana na kanuni zetu za TFF huyu tayari ndiyo...
2 Reactions
29 Replies
10K Views
Leo Simba wameonesha kuwa wao ni mabingwa. Kulikuwa na maneno mengi hasa hawa Yanga. Timu imewekeza vizuri, wachezaji wanacheza mpira unaeleweka halafu anakuja mtu mmoja anaanza kulia lia ooh...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo 12/07/2020 ni ile mechi inayosubiriwa kwa hamu, mechi ya nusu fainali ya kombe la shirikisho, ambapo watani wa jadi wa Kariakoo, Simba Vs Yanga wanakutana katika mechi ngumu ya kumtafuta nani...
2 Reactions
55 Replies
5K Views
Mechi ya jana na leo huwezi kuona mtu analaumiwa ni kiroho safi, jana utopolo na Kagera mechi ya utata. Leo Simba imeshinda kiroho safi hata utopolo wanaona aibu kubebwa Simba imecheza hakuna...
7 Reactions
21 Replies
4K Views
Aliyeangalia mechi aseme hapa, Sahare wamenyimwa fiinali.
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Nimepata furaha sana na sasa hivi tunarudi na jamaa zetu tumeshatengeneza miundo mbinu uwanja wa Taifa. Toka jana tupo ndani ya uwanja na mzee wetu xxxxx xxxx tunafanya mambo. Baada ya hapo...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni chukue fursa hii kuwashukuru sana Mashabiki wa Liverpool kwa kushiriki sherehe ya Ubingwa iliyofanyika Mercury Park Magomeni.
0 Reactions
1 Replies
915 Views
Naona mag nyingi sana moia tinafanyaje game ya watani n ngumu ola mpaka kesho saa moja usiku else ibadilike Simba vs Yanga Simba mpaka sasa inaonekana ina asilimia 90% ya kushinda Yanga...
1 Reactions
53 Replies
5K Views
Tunaelekea krisimasi, EPL ndo kwanza imechanganya, wakati ligi nyingine zikikaribia mapumziko ya sikukuu. Kwa upande wa EPL ndo kwanza mambo yamechangamka; ligi hii haisimami inapigwa mechi...
6 Reactions
43 Replies
4K Views
Mechi ya leo ni moja tu lazima mtu apigwe. Je mapato ni nani atachukua au ni pasu kwa pasu?
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Habari zenu waungwana, sijaenda kwa mtu wala mganga ila leo nimeangalia, nimepekua vitabu nikaona simba anashinda goli mbili dhidi ya yanga siku ya Jumapili.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi Wa masumbwi je ni bondia gani aliyekuvutia enzi zake au anayekuvutia kwasasa? Kwa upande wangu mm mwanamasumbwi niliyetokea kumpenda alikuwa Mike Tyson, huyu jamaa alikuwa moto...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari wanamichezo hapa JamiiForums, Ratiba ya robo fainali ya UEFA imetoka. Naona chama langu Barcelona tuna wakati mgumu, naamini Manchester city atafika mbali sana.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Pamoja na hoja ya kiwango cha kushuka kidogo lakini bado timu imekua iki perform ktk kiwango ridhishi, shida ni hapo tulipoanza kukimbizwa na real Madrid kutufikia ndio hujuma za wazi zimekua...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu, hivi nyinyi ambao ni mashabiki wa mpira mnapenda nini haswa???? Mathalani mtu anaposema yeye ni shabiki wa timu fulani mfano Arsenal huwa anaangalia nini haswa mpaka anaamua kuwa shabiki...
7 Reactions
93 Replies
10K Views
Back
Top Bottom