Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Klabu ya Manchester City imefungiwa kushiriki kwenye mashindano ya Champions League & Europa League kwa misimu miwili na kulipa faini ya €30m kwa kukutwa na hatia ya kuvunja sheria ya matumizi ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Siku nilivyosikia ndugu yetu anaenda Aston Villa FC nikajua ana wakati mgumu sana kwasababu kubwa mbili: 1. Muda ulikuwa umesonga sana, angeenda mwanzo wa msimu angeweza kuonesha makali yake...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Mashabiki wengi wa soka hupenda kujua mishahara ya wachezaja mbalimbali, lakini kwa upande wa Tanzania, mishahara hii huwa ni siri sana. Si mishahara tu, hata ada za uhamisho kwa wachezaji hawa...
1 Reactions
10 Replies
47K Views
Azam imeishindilia goal 7 timu ya Singida United kwa nunge huku chirwa akitupia goal 4 mawili akifunga nado na 1 Ni lakujifunga.Kwa maana hiyo Azam amerudi kwenye nafasi yake ya pili na kumtoa Yanga.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
*Safari haikuwa nyepesi sana, mara tulitabiriwa kuzuka vita ya tatu ya dunia hakuwa hivyo, mara Korona lakini pia hakuwa, hujuma n.k lakini hakuwa, congratulations to all Kopps*
11 Reactions
37 Replies
3K Views
Wachezaji wake ni wa kawaida sana ila wanaupiga sana...hivi special one ,Jurgen,Wenger na wengine wanazidiwa nini na huyu jamaa?
0 Reactions
82 Replies
4K Views
Hii hapa chini ni orodha ya mastaa wa Soka kwenye Ligi hiyo wanaolipwa mkwanja mrefu zaidi kwa wiki. 1- Paul Pogba analipwa pound 290000/Tsh 872,087,739 (ManUnited) 2- Romelu Lukaku pound...
2 Reactions
29 Replies
8K Views
BAO la kwanza la mechi baina ya Simba na Azam FC iliyochezwa wiki hii jijini Dar es Salaam lilifungwa na John Bocco. Kwa wasiojua, Bocco ni mchezaji ambaye si tu ametengenezwa na Azam lakini...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Ukikaa chini na kuwaza bila ushabiki Yanga haina mchezaji mwenye thamani ya kununuliwa na kucheza Simba labda Morison. Lakini wote waliobaki hamna mwenye uwezo wa kucheza Simba hawana uwezo...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
My Take Hii adhabu haitoshi na haimalizi tatizo la waamuzi. Adhabu sahihi ni kumpokonya leseni arudi kijijini akalime. Halafu yule mwamuzi Shomari Lawi aliyeshirikiana na Yanga kuihujumu Kagera...
8 Reactions
26 Replies
5K Views
Mpira ni mchezo wa kiuungwana. Kitendo alichofanya Frank Domayo ni cha makusudi. Amekuwa akitumika hivi kila mara. Alishafanya kwa mchezaji wenu mwingine John Boko. Nadhani mnapaswa mseme naye...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nawaza tu ni jinsi gani patachimbika kwa maneno/misemo ya Kiswahili ukiwakutanisha Haji Manara, msemaji wa Simba Sports Club na Dr Kumbuka, mtangazaji wa redio. Maana wote wana maneno makali ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Gwambina Football Club yenye Maskani yake Misungwi, Mwanza hapo awali ilifahamika kama JKT Oljoro kabla haijabailishwa jina kuitwa Arusha United hatimae kuuzwa mwaka 2018 Tajiri wa Misungwi Ndg...
7 Reactions
23 Replies
5K Views
Tshishimbi ambaye ni raia wa DR Congo alisema: “Hao wanaosema nimegoma wana msongo wa mawazo, nigome sasa wakati mambo mazuri, kama kugoma ningegoma huko nyuma mambo yalipokuwa hovyo, nilikuwa...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Kumbukumbu muhimu Kuelekea Tarehe 12 1. Yanga inaongoza kwa kumfunga Simba mara nyingi wakati Simba ndiyo timu ya kwanza kuvaa viatu hii ilikuwa1949 ilipocheza na kombaini ya jeshi la majini Navy...
2 Reactions
10 Replies
41K Views
Kocha aliyeepusha kipigo cha Deportivo La Utopolo ameshitakiwa kwa bodi ya ligi. Bodi itende haki
1 Reactions
5 Replies
896 Views
Yah poleni mlioumia jana ndio hivyo maisha yanaendelea Nawatakia heri Azam FC kwenye ushindi wao wa leo Simba wataingiza baadhi ya wachezaji wa benchi na wale wasiocheza Wale ndugu zangu...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Alhamisi 6 ya mwezi MAY mwaka 2004 magazeti mengi ya ulaya yaliandika kuwa Jose Mourinho ameiambia Fc Porto kuwa ataondoka baada ya fainali ya UEFA champions league mwaka 2004. Baada ya kuifunga...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Wahusika wa Liverpool nimeikuta hii sehemu sijui ukweli wake ukoje. Mara ya mwisho Liverpool kuchukua ubingwa wa Uingereza ilikuwa siku ya Jumamosi, Aprili 28, 1990 baada ya kuifunga QPR goli...
11 Reactions
20 Replies
16K Views
Wakatii KIJANA wawatu akibaki dar wakati WA covid akijua anasubiria kuongezewa MKATABA LA hasha Hali ikawa TOFAUTI kabisa kabisa KIJANA akaonekana hafai haitajiki kabisa yanga Wapoo waliotamani...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom