Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League (VPL), kuendelea kuvurumishwa leo Jumapili ya Juni 28, 2020 kwenye Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya, ambapo wenyeji Tanzania Prisons...
7 Reactions
104 Replies
11K Views
Mhenga mmoja wa kizungu, akiwa na ubongo uliovimbiwa hekima alishika kalamu nakuandika nukuu hii. "You can't be a champ for life. One day you will go off and some else will come. Alimaanisha hivi...
6 Reactions
22 Replies
3K Views
. Tunaishi katika Dunia ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi ila miaka ya 90 Dunia ilikuwa na mahasimu wa soka toka nchi moja: José Roberto Gama de Oliveira “Bebeto” na Romário de Souza Faria ...
7 Reactions
13 Replies
2K Views
Kusema kweli sisi mashabiki wa Yanga tumekua wanafki sana mpaka inafika hatua unafiki wetu unatugeukia. Nashindwa kuelewa kwanini tunampa heshima Morison asiyostahil na kumdharau Molinga ambae...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Ukizoea tabia za uongo hata mkeo akikuzalia mtoto utahisi wa mdogo wako ama rafiki yako Yanga wameandika waraka wanamudhibu Morrison kwa kufanya mahojiano na vyombo vyahabari Wameandika wana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mashabiki wa Yanga wakipaza sauti hawamtaki Yikpe. Hii sio sawa kabisa. Mngevumilia ligi iishe muone usajili mpya. Mnawatisha wachezaji hata nafasi ya pili mtakoss #Icantbreath #YangaLivesMatters
9 Reactions
23 Replies
2K Views
Yanga vs Ndanda 1 - 2 Wazee wa sports extra angalieni vizuri mechi ili mjue mtakavyoipamba timu yenu utopolo leo
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Habari wadau.. natamani sana yanga yangu ingepata kiongozi mbabe na mpenda maendeleo kama magufuli. hawa kina msolla na wenzake kina mkwassa ni wasanii tu.. miaka yote tunawajua hawajawai kupata...
0 Reactions
2 Replies
969 Views
Happy birthday to this talented man who is making footbal enjoyable Thank you God for gift of Lionel Messi in footbal
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwenye link (livestream) ya mpira atupie hapa
0 Reactions
0 Replies
891 Views
Zlatan Ibrahimovic siku anaondoka Barcelona alisema “ Barcelona ni kama watoto wa shule wanafanya tu walichoambiwa kufanya ” hapa aliwalenga vijana waliotoka La Masio Leo Messi , Gerrard Pique ...
7 Reactions
23 Replies
3K Views
Wanajamvi, msimu huu team ya Liverpool imechukua ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza baada ya miaka 30 na ni mara ya kwanza tangia ligi hiyo ianzishe kwa namna tofauti kidogo na ilivyokuwa mwanzo...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Tumeonewa sana, tumenyanyaswa sana,tumeumizwa sana,tumehuzunishwa sana. Huyu dogo ni sisi tumemjenga na siku ile ya simba alibebeshwa hirizi ndo kufunga.leo hii anajiona yeye ndo yeye...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Asanteni sana Chelsea FC kwa Kuturahisishia Kazi baada ya Miaka 30, ila Prisons FC Jumapili mtatusamehe mno Simba Sports Club kwa Kichapo.
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Mechi hii itarushwa moja kwa moja na Azam Sport 2 mida ya saa kumi jioni,Ni mechi muhimu sana kwa timu zote mbili,Azam akitaka kubaki nafasi ya pili na Yanga pia akipigania kushika nafasi ya pili...
0 Reactions
192 Replies
13K Views
Pongezi nyingi kwa wanafamilia wote wa Liverpool ulimwenguni kote. Ni dhahiri kuwa sasa hakuna miongoni mwao anayetembea peke yake. Haikuwa kazi rahisi. Ni mradi wa zaidi ya miaka mitano. Ndiyo...
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Kama tumeweza kumrudisha Lamine kikosini sio vibaya kumrudisha Zahera. Kimichezo mapungufu ya Zahera ni madogo kuliko mazuri yake. Hatutajuta kama tutamrejesha Zahera kikosini.
3 Reactions
30 Replies
4K Views
AIBU IMEWAKUTA MADOGO WAMEKULAMPESA ZAOOO NA DRW WAMEPATA KHA SISEMI MENGI FT X KWISHAKAZI MNAROPOKA SANA SHIDAA
2 Reactions
47 Replies
4K Views
MORRISON KUKATWA MSHAHARA: Yanga yatoa ufafanuzi kuhusu mkataba wake na Bernard Morrison, yasisitiza kuwa ni mchezaji wao halali hadi Julai 2022, yasema itamkata shilingi milioni 1.5 kwenye...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Midadi ya kucheza na moyo wa wa kupenda kuisadia timu yake ipate matokeo dhidi ya Biashara United kupitia mchango wake ndicho hasa kilichosababisha David Molinga aonyeshe kukerwa na kutolewa...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom