Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuna watu wabishi sana humu, wanamoverrate messi, nakubali anajua lakin Messi haburudishi kama alivyokuwa Gaucho.. Messi yeye anataka matokeo tu, Gaucho alikuwa analeta burudani yaani huku akae...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Jamaa anajua anafunga anapiga assist, anaanzisha mashambulizi, anapiga faulo za hatari kwa sasa sioni kiungo kama yeye Duniani ana vitu vya ziada. Nakumbuka Luis Figo jamaa anapita mulemule...
14 Reactions
59 Replies
5K Views
1-4-4-1-1 si formation ya ushindi bali kukata tamaa. Mabosi wa Aston Villa sijui kama wanaona kuna fursa ya kubakia ligi kuu au ndo wamekubaliana na hali. Laiti kama timu ingekuwa na nia ya...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Mechi ya Man U vs Villa naweza kuiangalia kwa chanel gani kwa application ya Mobdro?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Aston Villa ya samatta inakutana na Manchester United! Je samagoal ataweza kuisaidia team yake ikiwa nyumban kujinasua kwenye hatari ya kushuka daraja mbele ya mashetan wekundu walio on fire msimu...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Hivi kweli nyie mnashindwa kupiga hesabu ndogo! Mmeenda na Gari, leo mmerudi na ndege, gari yenu iko wapi?? mnashindwa kupiga hesabu kuwa gari inarudi tupu inatumia mafuta yale yale ambayo...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Ile Party ya Ubingwa si mdo hii sasa. Ni pale Mercury Park Magomeni siku ya Jmosi tarehe 11/7/2020, ataliwa ng'ombe mzima buuureee. Tutakunywa supu, tutachoma nyama na kula pilau kwa ushiriki wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wewe ndio kocha, kikosi chako ushapanga bado nafasi moja tu ya straika, unae Samuel Eto'o na Didier Drogba yupi unampa nafasi? Twende kazi...
4 Reactions
67 Replies
5K Views
Final Score: Yanga 2 - 1 Kagera Sugar 80" Yanga 2 - 1 Kagera Sugar 72" Goal Yanga 2 -1 Kagera Sugar{Awesu, Molinga, Kaseke} 60" Yanga 1 - 1 Kagera Sugar 52" Goal: Yanga 1 - 1 Kagera Sugar {Awesu...
2 Reactions
125 Replies
10K Views
Mimi ni mpenzi kindakindaki wa Yanga nimefuatilia mara kadhaa tukicheza bila Papy tunavyohaha kupata matokeo. Yanga inatulia sana ikiwa na Tshishimbi; dimba la chini akina Makame, Fey na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hakika nawaonea huruma sana mashabiki wa Klabu ya Arsenal.Klabu isiyo na uhakika wa kushinda mechi,iwe inacheza ugenini au uwanja wa nyumbani,wakishinda sana ni Draw match.Nadhani wamiliki wa...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Nasikia ametolewa nje kwa stretcher?Vipi hali yake?Au hofu ya kukutana na mnyama imemkumba?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
NBA suspends season due to coronavirus Rudy Gobert, mchezaji wa timu ya Utah Jazz amepimwa na kukutwa na coronavirus. Hii imesababisha ligi iahirishwe mpaka wakati utakaoamuliwa (until further...
3 Reactions
78 Replies
5K Views
Ndani ya miaka sita iliyopita mikia fc na yanga african wameweza kuchukua bingwa wa vpl kwa kila mmoja kuchukua mara tatu mfululizo Tofauti na yanga waliochukua ubingwa back to back kwa uwezo...
4 Reactions
33 Replies
5K Views
Mpira unaendelea mechi ya kwanza baada ya lockdown; Mbwana Samatta anasugua! Dalili mbaya kwa Samatta. Aston Villa 0 Sheffield United 0 Dakika ya 35
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Miamba ya soka Tanzania Simba na Yanga jumapili hii zitamenyana katika kombe la FA hatua ya nusu fainali. Ikumbukwe msimu huu yanga kapata matokeo mazuri dhidi ya mtani wake simba. Jana katika...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
. Sahau kuhusu ubao ila naomba ulikumbuke sana jina Meja Abdul Mingange, ufahamu mkubwa wa kiufundi, kumsoma mpinzani kisha anacheza soka la uchumi sana (speed economy) . Sahau kila kitu kuhusu...
8 Reactions
11 Replies
2K Views
Winga ya Kushoto Emanuel Okwi, Winga ya Kulia Bernard Morisson, Central Striker Justine Shonga na chini yao kuna Clatous Chama Mwamba. Kuna Watu Kipindi hiki cha Mapumziko ya CORONA walikuwa...
3 Reactions
49 Replies
7K Views
Beki bora kwa miaka 10 iliyopita kwangu mimi ni Kelvin Yondani Cotton Injinia Vidic. Licha ya umri kuanza kumtupa mkono sasa, Kelvin Yondani katika ubora wake alikuwa ni mwamba usiotikisika...
25 Reactions
66 Replies
11K Views
Kiungo mshambuliaji wa Young Africans, Bernard Morrison ameishtaki klabu hiyo TFF, akidai kutotambua mkataba mpya wa miaka 2 unaodaiwa alisaini kwa makubaliano maalum. Kamati ya Sheria na Hadhi...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…