Habari za mchana ndugu zangu .
Jana nimeona yanga wamesaiin mkataba na La Liga na Sevilla na wametoa billion 2.6 Sasa kwa wale wajuzi wanisaidie yanga itanufaikajee na huu mkataba?
SIMBA SC KUMKOSA MKUDE MECHI NA RUVU SHOOTING JUMAPILI BAADA YA KUUMIA DHIDI YA KMC
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SIMBA SC itamkosa kiungo wake tegemeo, Jonas Gerlad Mkude katika mchezo wake...
VS
Ni miezi mitatu imepita toka ligi yetu pendwa isimamishwe kutokana na janga la corona.
Ni rasmi sasa kesho ligi inakwenda kuendelea ili kumalizia mechi zilizobakia, miamba kutoka mkoani...
Shirikisho la Soka Nchini (TFF) limezingatia maelekezo ya FIFA katika kukabiliana na changamoto za #COVID19 ambapo katika mchezo mmoja timu itaruhusiwa kubadili hadi Wachezaji watano badala ya...
Katika taarifa ya habari za michezo za kimataifa ametaja timu moja ya NFL aliyo itambulisha kama Seto Sewaki.
Wajuzi na wafuatiliaji wa huu mchezo naomba ufafanuzi kama mnaijua au mliwahi...
"Yanga imejijenga kua kama timu fulani ndogo, Yanga ni moja ya timu kubwa hapa nchini ya kihistoria, lakini sasa hivi wana tabia za timu ndogo.
"Tabia za ndogo siku zote hua wanakamia wanapocheza...
Anahoji Mwandishi wa habari za michezo Ndg. Saleh Jembe;
Nimezungumza mara nyingi sana kuhusiana na hili suala lakini WASIO NA HOJA wakaishia kwenye Matusi, sasa leo TUJIFUNZE TENA
ANGALIA LOGO...
Kwenye biblia kuna kisa cha mtoto mchunga mbuzi Daudi wa Israel, wakati huo kila mtu anamuogopa Goliath mwenye nguvu kama Hawafu, Daudi hakutumia nguvu kubwa bali akili ndogo sana kumuangusha...
Ukiitaja Manchester United kwa Kipindi cha msimu huu na wachezaji wake waliocheza kwa kiwango cha juu hutasita kulitaja jina la mbrazili Frederico Rodrigues maarufu kama Fred akivalia jezi nambari...
Wakuu habari,
Inawezekana kuna wadau humu wamekuwa 'addicted' na mchina ama korokoro kama inavyoitwa katika sehemu mbalimbali.
Naomba kwa anayefahamu adondoshe hapo tip jinsi gani unaweza...
Niliwahi kuandika huu uzi.
Tyson alikuwa anabebwa, overrated
Katika kupanga na kupangua hoja na kujibishana nikaongea nusu au zaidi ya alichosema Wilder juu ya Tyson.
Angalia hapa.
Ilikuwa ni Ijumaa ya Tarehe 22 mwezi wa tano mwaka 1987 , siku yalipotokea mauaji ya kimbali mjini Hashimpura nchini India na watu 350 waliuawa, sababu za itikadi za kidini zikitajwa.
Lakini...
Simba leo anacheza na KMC uwanja wa Mo Arena ,mechi ni jioni ya leo
Updates
Dk 30
SIMBA 0 - KMC 1
Charles ilanfya
Update
Dk 34
SIMBA 1- KMC 1
Bocco
Half time
1-1
Update...
Man Utd ya 2008 iliyotwaa Uefa Champions League (UCL) ni moja ya kikosi bora kuwahi kutokea katika historia ya Uefa.
Golini Van Der Sar, ukutani kuna makamanda Rio na Vidic, Kiungo kuna watoto...
Manchester City wanaelekea katika moja ya wiki kubwa kuwahi kutokea katika historia yao wakijua kwamba , heshima yao , nafasi yao ya kucheza ligi ya mabingwa ulaya na kikosi chao cha msimu ujao ...
Rais Felix Tshisekedi ame.teua Robert Kidiaba kuwa Waziri wa Michezo wa Taifa hilo
Robert Kidiaba aliwahi kuwa mlinda mlango wa Klabu ya Soka ya TP Mazembe na Timu ya Taifa ya DRC
Katika Uchagu...