Breaking News-CORONAVIRUS: GUARDIOLA'S MOTHER DIES AFTER CONTRACTING COVID-19, MAN CITY CONFIRM
Manchester City announced the mother of manager Pep Guardiola has died after being diagnosed with...
.
Miaka ya 1959-74 Jijini Liverpool, kulikuwa na Kocha Billy Shankly YES alikuwa 'Mwendawazimu' aliyelipenda soka na kulihusudu, huyo alikuwa mwanaume sana.
.
Bill aliwahi kuwaambia wachezaji wa...
Club ya Beyern Munich ya Ujerumani imeanza mazoezi yake kule Ujerumani baada ya kukaa mwezi mzima hii inaleta matumain kwamba ligi zinaweza kuanza kulejea mwishoni mwa mezi huu.
Kutokana na kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona uongozi wa uefa unafikria kuhusu kusitisha kabsa mashndano ya club bingwa mpaka janga hili la dunia kuisha.na Kama litaisha basi mashondano...
Mnamo 1975, Congo ya Kinshasa alizaliwa binadamu mmoja Claude Makelele Sinda ila mitaa humfahamu tu kama Makelele, moja kati ya watu bora zaidi kuwahi kuubariki mchezo wa mpira wa miguu.
...
Hii habari ilianza kama utani baada ya baadhi ya mashabiki ambao walishakata tamaa ya ubingwa kwa timu zao kuja na wazo kama hilo lakini sasa ni rasmi baadhi ya vilabu vya ligi kuuu vikiongozwa na...
Kutokana na janga la Covid 19, kuna vitu vingi vimesimamishwa ili kuepusha maambukizi. Mipaka ya baadhi ya nchi imefungwa. Hakuna kuingia wala kutoka.
Kuna biashara zimefungwa mfano ni Samaki...
Ambacho hamkijui ile ligi watu wananunua tiketi za msimu mzima tena sio watu tu hadi mashirika huwalipia watu mbalimbali, haki za Tv hulipwa msimu mzima, matangazo, wadhamin na mambo mengi...
Klabu ya kaizer chiefs, imethibitisha kumnasa kiungo mkabaji, aliyekuwa akikipiga katika kikosi cha mabingwa wa Tanzania Simba sport club James Kotei . Kwa mujibu wa chiefs Kotei tayari amesaini...
Mbao wanavuna walichokipanda. Walianza kufanya makosa kwa kumfukuza ndailagije aliekua akiijenga timu taratibu wakapata bahati wakampata Amri Saidi akaanza na timu vizuri.
Sijui wakawaza nini...
Nelson F.C. yenye makao yake huko mjini Nelson, Lancashire, England iliyoanzishwa mwaka 1882 ndiyo ilikuwa timu ya kwanza kutoka Uingereza kuipiga klabu ya Real Madrid F.C. huko kwao Uhispania...
BAADHI YA SHERIA ZA MPIRA WA CHANDIMU
.
1. Mchezaji mnene zaidi atakuwa Golikipa.
2. Mechi haitaanza mpaka mwenye Mpira awe amemaliza kazi za nyumbani kwao, ikitokea wachezaji wengine wanautaka...
Jana ligi ya Belgium Belgium pro league /Jupiler wametangaza kuicancel ligi yao na kumpa ubingwa Club bruge aliekuwa anaongoza kwa tofauti ya point 15 huku clab ya KAA Gent wakipata nafasi ya...
Wakuu salaam,
Nilikuwa naangalia ndondo ya mtaa ukatokea utata hapa dakika za lala salama.
Umerushwa mpira ukaingia ndani ya goli moja kwa moja bila kuguswa. Watalaam wa sheria 17 za mpira...
Ukifatilia post nyingi za washabiki wa Yanga wakisaidiwa na waandishi wao wenye mahaba wamekuwa wakiilaumu Simba kwa kuua vipaji vya wachezaji, wameisema sana Simba kwa kitendo cha kumdajili Ajibu...
Hili lipo wazi, sasa kwa mwenendo wa corona unavyoendelea Ulaya ni kuwa Corona haitaisha kama walivyoichukulia poa, hii ngoma itakuwa haijaisha hadi mwezi wa 6, possibly pia hadi mwakani, hii ni...