Direct to the point Leo ndio tuzo zile kubwa za kuwatunuku wanasoka Bora wa Africa.
Ndani ya nyumba namuona mnyama kutoka Tanzania kipande Cha Madale Diamond himself ambaye Leo atatumbuiza kwenye...
1. Goli la penati halikuwa sahihi Meddie Kagere alivutwa nje boksi akadondokea ndani ya boksi,hapa refa aliyumba.
2. Yondani alistahili kadi nyekundu kwa kosa la kumvuta Meddie Kagere nje ya...
Golikipa wa klabu ya Simba Sports Club kutoka mtaa wa Msimbazi na timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, Aishi Manula, amefunga ndoa leo Jumamosi Januari 6, 2018 huko kwao Mkamba, Morogoro.
Kwa...
Ndio mwendo huo.
====
Malkia Strikers players celebrate a point during their Olympics qualifier against Botswana at Palais polyvalent des sports (Paposy) Arena in Yaoundé on January 6, 2020...
Habari!Nimekutana na jamaa mtandaoni anasema anauza matokeo ya mechi zilizonunuliwa,yani kuna mechi matokeo yake yanafamahika kabla hazijaingia uwanjani naskiaga hii kitu ipo kwa wenzetu wa nchi...
Niko najipongeza na droo sio kwa bahati mbaya ni hela ya mhindi kalia.
Kama mtu amekasirika ajitokeze ajifanye kama anajikuna
Umejiuliza Yondan alijuaje jamaa Kagere kavaa bima ya afya uwanjani...
Habari ya Mwaka Mpya wa JF.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, baada ya wezi kuniibia vitendea kazi vyangu mnamo usiku wa 26/12/2019 kwenye mgahawa nilikuwa nimeuanzisha, kuanzia hiyo siku hadi...
Aman iwe nanyi wapendwa
Wakati sisi yanga tukisema asante Mungu mwokozi wetu maana wewe unatoa ukitakacho na unatoa kwa utakaye na wakati utakao
Pia tunaendelea kumwambia Mungu kuwa yeye ndo...
Wakuu wa hili jukwaa, haswa wale wakongwe katika soka, mje mtujuze nani alikuwa bora haswaa katika eneo la golikipa kati ya golikipa wa zamani wa Yanga na Taifa Stars Peter Manyika na mlinda...
Nimeshangaa sana anadai penati ya Simba ilikuwa halali hata mtoto wa darasa la Kwanza asingesema kuwa ile ni penati. Kama una unazi achana na unazi binafsi, nakukuheshimu sikuheshimu tena kwenye...
MMOJA wa marafiki wa karibu na Mrisho Ngassa aliwahi kunidokeza kuwa mchezaji huyo anaipenda mno klabu ya Yanga na ana mchoro wa timu hiyo kwenye moja ya mikono wake.
Stori iliyonisisimua...
Nilishangaa kutokumuona Gerson Fraga katika First Eleven pia hakuwepo katika bench la wachezaji wa akiba mkude alikata pumzi mapema kipindi cha kwanza na nje hakukuwa na mbadala wake maana...
KARIAKOO DERBY 'THE AFRICAN EL CLASSICO' NA KUTUNZA INARUHUSIWA
.
Imenichukua miaka kushuhudia punching saves Kama za Leo Alizofanya Shikalo, imenichukua muda kuona crazy footwork Goalkeeper Kama...
Unapotaja Wachezaj Ambao Waliweza Kucheza Soka Ktka Kiwango Bora Ktka ULimwengu Wa Soka Katka Nafasi Za Kiungo Utawataja, Lothar Mathaus Ambay Inaaminika Ni Kiungo Bora Mzuiaji Kuwah Kutokea...
Kuelekea mechi ya jana Hajji alikuwa anawaaminisha mashabiki wa Simba kuwa watashinda kwa magoli mengi sana,na kwasababu mashabiki wengi ni mbumbumbu (nikimnukuu mwenyekiti wa zamani wa Simba...
Tuwatakie safari njema!
Wale waganga wameondoka mda huu hapa temeke kwa baiskeli za Phoenix, wamebeba mafurushi yao mgongoni kama watalii. Leo wanatarajia kulala kibiti Insha Allah!!
Wapeni...
Kitendo cha Molinga kutolewa na kwenye mechi dhidi ya biashara kilimuudhi akaamua kuondoka uwanjani si mara ya kwanza kuna mechi moja ya Ligi alitolewa tena timu ikiwa chini ya Zahera alionesha...
HAJI MANARA ACHA KUVUKA MIPAKA, UMEWAKOSEA SANA WACHEZAJI WA SIMBA.
Na Kulingwe Msafiri
Mwanachama Simba
Matalawe Njombe
Moja kati ya mambo ambayo hunipa furaha sana katika maisha ya ulimwengu...