Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Baada ya kusoma hili andiko mwanasport nikaona huyu Mchezaji ni mwehu na kuna wengi tu wa aina yake mfano Ajibu. Nimekopi kama ilivyo kwenye gazeti la Mwanasport MWAKA 2012 wakati wa Cecafa kule...
42 Reactions
138 Replies
13K Views
Habari wanaJamvi la Michezo Mchezaji soka wa kulipwa wa Kitanzania, Mrisho Ngassa ameamua kuvunja mkataba na timu aliyokuwa akiitumikia ya Free State na sasa amekuwa mchezaji guru kujiunga na...
1 Reactions
55 Replies
10K Views
-Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuph Manji ametangaza kurejea kazini na bado yeye ni Mwenyekiti wa klabu ya Yanga. Kupitia barua yake iliyosomwa mbele ya wanachama katika makao makuu ya klabu...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Naomba nichukue nafasi hii kuwatakia heri na baraka washabiki wote wa Man United. Wajaliwe kuendelea kupata matokeo kama waliyoyapata msimu uliopita na huu unao endelea, kwa miaka mingi ijayo.
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa Liverpool fans wote nawatakieni heri ya mwaka mpya 2020! Pasi na shaka Liverpool bingwa wa EPL 2019/2020 ! Kama kuna timu ina ndoto ya hilo kombe basi iendelee kuota. Sent using Jamii Forums...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Yanga na Biashara wamecheza Uwanja wa Taifa kwenye pitch iliyo bora kabisa. Cha ajabu Yanga wameshindwa kabisa kucheza mpira unaoeleweka. Wanabutua butua tu. Najiuliza hivi afisa uhamasishaji...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Timu ya Liverpool pamoja na kuonekana kwamba imewapiga gap kubwa timu nyingine za EPL lakini ushindi wake katika baadhi umekuwa na utata mkubwa. Siyo upendeleo tu toka kwa marefa bali hata VAR...
3 Reactions
60 Replies
6K Views
Hali si nzuri najua wengi hawatanielewa Yanga ina hali ngumu nakwambia wachezaji wengi awachezi kwa moyo awajalipwa hela zao Mbaya zaidi majuzi GSM wameomba kulipa malimbikizo ya wachezaji...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Paul Pogba's agent Mino Raiola has had a three-month worldwide ban from football activity lifted by Fifa. It comes two days after the ban was suspended by the Court of Arbitration for Sport (Cas)...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nmeangalia hii picha nmecheka sana! Ndio maana unakuta uwanjani mtu anapepesuka kama jani la mgomba! Dah..
10 Reactions
50 Replies
8K Views
Hivi nduguzangu wa Arsenal mnawezaje kuvumilia vipigo visivyokoma? Mimi shabiki wa United kwa experience ya miaka 6 tu ya vipigo tangu SAF atoke tayari nishachoka na najihisi kukonda, sasa nyie...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau nimejaribu kufikiri hivi haya magoli yaliyofungwa misimu ya nyuma naona leo kile king'amuzi kingekitaa kabisa maana ni hatareee kama sio balaa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
They are the best teams They are the best teams The main event The master The best The great teams The champions A big meeting A great sporting event The main event
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Ni vile VAR inavyowabeba timu flani pale England ili ibebe ubingwa,baada ya msoto wa miaka lukuki. Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Baada ya Wolves kumshinda Man City Jana, Liverpool ndio atacheza na Wolves Liverpool sio tu kuwa kapata nafasi ya kumsoma kiwango cha Wolves dhidi ya timu kubwa, bali pia atapambana na Wolves...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
SHUTI LILIKOKIUKA KANUNI ZA MWENDO ZA KISAYANSI Kuelekea Kombe la Dunia la 1998, wenyeji Ufaransa waliandaa mashindano maalumu ya kupima maandalizi yao. Wakati huo Kombe la Mabara lilikuwa...
4 Reactions
67 Replies
8K Views
Mshambuliaji hatari wa timu ya taifa ya Ureno na klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo, ameendelea kuweka wazi kuwa, mipango yake na kuja kucheza filamu mara baada ya kustaafu soka iko pale pale...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Aman iwe nanyi Naona mnajifanya kama hamjui Endeleen kujificha kwa makwinyo lakin mjue kuwa leo tumemlalua alliances Yanga nguvu moja LONDON BOY
15 Reactions
77 Replies
7K Views
VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana pamoja na kwamba liverpool wana timu bora na wanatakiwa kuwa mabigwa ila wanabebwa sana na VAR angalia mechi yao inayoendelea. duh.
2 Reactions
69 Replies
5K Views
Wolves amezidi kututengeneza njia Wana YNWA... Poleni mashadiki man U,Chelsea,Arsenal na wote mliojificha kwenye kivuli Cha Mancity Sent using Jamii Forums mobile app
7 Reactions
48 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…