Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Licha ya kubadilisha makocha kila leo, bado tumekuwa tukipoteza mechi karibu zote. Ingawa siwezi kukumbuka majina ya makocha wote tuliobadilisha kwa kuwa sio mfuatiliaji mzuri wa mpira, angalau...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya juzi golikipa Gianluigi Buffon kuweka rekodi mpya ndani ya Serie A ( Ligi Kuu ya Italy) ya kucheza dakika 974 bila kuruhusu wavu wake kuguswa, wengi wameanza kumpa sifa ya kuwa anastahili...
3 Reactions
71 Replies
18K Views
Myben kalengo aliputwa na kipa wa zesco ndani ya box refa kapeta
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Naiona hii game yanga anaenda kupindua matokeo ingawa wengi hawawapi nafasi ingawa naona atacheza vizuri Sana nakuwashangaza watu
8 Reactions
70 Replies
5K Views
Juzi wakati Simba Sports club ikitafuta miwa ya Kagera Sugar kisawasawa, kiungo wa Kegera Sugar Gift Mauya alimchezea rafu za Makusudi zaidi ya moja kwa wakati mmoja mchezaji wa Simba Ibrahimu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Na kuna Fowadi Mmoja huyo achilia mbali yule Kalengo huyu anaitwa Kapumbu ambaye hapa Dar es Salaam alifichwa ' Kimkakati ' ila huko Zambia ataanza hivyo sioni kama ' Wapuuzi ' fulani ' Watatoboa...
6 Reactions
65 Replies
6K Views
Hukuteuliwa na Rais JPM ili uwe unaikomoa tu Simba SC kila inapokuja huko Mkoani Kwako Kagera kucheza na Timu yako ya Kagera Sugar bali uliteuliwa ili uwe ' Fair ' kwa Wageni wote ambao watakuwa...
7 Reactions
61 Replies
7K Views
Hayo majibu ya haji kwa Mkuu wa mkoa wa kagera haji manara anakipata wapi? Angenyamaza angikosa nini Hao mabosi wake mbona hawajasema kitu Inaonyesha wanamheshimu RC
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuelekea patashika ya ligi kuu Tanzania, Vodacom Premier League (VPL), nyasi za Uwanja wa Kaitaba Stadium, mkoani Kagera kuwaka moto ambapo leo September 26, 2019 Kagera Sugar, Wana Nkurukumbi...
3 Reactions
114 Replies
13K Views
Ukiangalia timu inavyocheza dhidi ya Zesco huoni km Yanga inakocha. Mpira wanacheza kwa papara sn hakuna mipango yoyote wanayoifanya. Kulia anamuweka benchi Juma Abduli anang'ang'ania wachezaji...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa kitu kilichotokea kwenye fainal hi Africa bado Sana kufikia mafanikio Kam ya Tim za ulay ,, fainal Hain mvuto mechi imejawa na vurugu mechi Kam ndondo cup vurugu tupu
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Huwa najiona MTU mwenye bahati kumtazama mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea duniani Toka anakaribishwa uwanjani na Gaucho miaka zaidi ya kumi imepita ila sijawahi kuona hata siku moja yeye...
9 Reactions
78 Replies
7K Views
Leo saa 10 jioni kunatarajiwa kuwa na game Kali Kati ya kagera sugar vs simba.simba imeshinda game 1 pekee Kati ya game 5 za mwisho waliokutana na kagera sugar na kagera kashinda game 4. Bad news...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
LONDON, ENGLAND. Balaa zito. Ole Gunnar Solskjaer kwa sasa hana pakujificha baada ya mashabiki wa timu anayoinoa, Manchester United kupoteza imani na kutaka afukuzwe tu kabla ya hali haijawa mbaya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mshambuliaji mwenye asili ya Guinea kinda Lamine Diaby-Fadiga anayekipiga na klabu ya Nice (Ufaransa) anatuhumiwa kuiba saa ya mchezaji mwenzake nyota aliyesajiliwa kutoka Ajax, Kasper Dolberg...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
DIRECTOR OF FOOTBALL NI NANI? ANAFANYA NINI NDANI YA KLABU? MICHAEL Zorc. Anatajwa kama 'director of football' bora zaidi duniani. Amekua akiifanya kazi hii kwa zaidi ya miaka 20 sasa akiwa...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
DIRECTOR OF FOOTBALL NI NANI? ANAFANYA NINI NDANI YA KLABU? MICHAEL Zorc. Anatajwa kama 'director of football' bora zaidi duniani. Amekua akiifanya kazi hii kwa zaidi ya miaka 20 sasa akiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MANCHESTER, ENGLAND. TANGU Sir Alex Ferguson aondoke, Manchester United imebadili makocha mara nne. Kila anayekuja, anaonekana hafai na kufunguliwa mlango wa kutokea. David Moyes hakumaliza mwaka...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau. Hivi kuna tofauti gani kati ya tournaments mbili hapo juu?
0 Reactions
31 Replies
41K Views
Leo tumalize ubishi, ipi ilikuwa kombinesheni bora kwenye beki ya kati kuwahi kutokea.
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…