Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Sorry nauliza mechi za UEFA kwenye king’amuzi cha Azam TV huwa wanaonesha Chanel namba ngapi?
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Dirisha la usajili katika Majira ya kiangazi yaliyopita, Man Utd walikuwa wanamtaka kwa udi na uvumba winga wa Borussia Dortmund, Sancho ila kwa bahati mbaya wakashindwa kumnasa! Miezi takribani...
6 Reactions
65 Replies
6K Views
Kuna msemo wa Kiingereza unasema "Managers are hired to be fired". Yaani makocha wameajiriwa kwa ajili ya kufukuzwa. Kocha unapopewa timu, watu wanachotaka ni mafanikio tu na si kingine. Msimu...
4 Reactions
137 Replies
15K Views
Mimi naanza na Andriy Shevchenko kutoka Ac Milan kwenda Chelsea. Ulikuwa usajili wa aina yake lakini Sheva akaishia kufeli zake Chelsea. Endelea na wewe, unakumbuka usajili upi?
1 Reactions
14 Replies
835 Views
Hayo yote ni kwa mujibu wa Jemedari Said Kazumari. Kama itatokea kweli basi yatajirudia ya Feitoto alivyotolewa na Singida Utd kwenda Yanga.
5 Reactions
65 Replies
7K Views
Zamani sheria za mpira ziliwataka wachezaji wa mpira wa miguu wawapo uwanjani basi hawana budi kuwa wamechomekea jezi zao ndani ya bukta zao. Ika baadae FIFA wakaja wakaifuta sheria ile. Bado...
4 Reactions
66 Replies
8K Views
Tukiachana na tuzo ya Jana Ambayo binafsi naona RODRI alistahili Je ni kweli kwamba yeye ndiye best DM of all time tukimlinganisha na SERGIO ? ngoja niende na strength zao kwanza Kila mtu...
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Unasikia mwamba anaitwa Rodri baasi. Unajua hii mashine, jina tu linambeba. Mara unasikia Zico, Pele, Garincha, Kaka, Socrates, Romario, Ronaldinho, Bebeto. Jina moja tu umemaliza kazi, unajua...
2 Reactions
14 Replies
448 Views
JKT ilimpa kazi Jemedari ya kuwa mtendaji wake mkuu lakini pia jamaa ni mwajiriwa wa Crown FM, unajua being a CEO is a big task, mipango yote ya klabu iko kwako, Sasa huyu jamaa ukimsikiliza...
9 Reactions
24 Replies
1K Views
Mchezaji kinda wa Barcelona, Lamine Yamal, amewasili katika hafla ya utoaji wa tuzo za Ballon d’Or akiwa ameongozana na mdogo wake. Soma, Pia: • Rodri atua na magongo ndani ya Paris kupokea...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu, Tuzo za Ballon d’Or 2024 zimejumuisha vipaji bora vya soka duniani, na tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume imeenda kwa Rodri (27) wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania. Ushindi huu...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Baada ya Azam tv kuamua kuonyesha kila mechi ya Ligi Kuu ya NBC kwasasa Vibanda umiza vinajaza zaidi mechi za ligi ya NBC kuliko zile za Ulaya. Mechi za Ulaya huko siku hizi hazina watazamaji...
39 Reactions
95 Replies
4K Views
Nazurura hapa jijini barcelona katika mitaa sijaona bango la ushindi wa 4-0 wala sijaona afsa habari akikata kiuno wala joah larpota akiimbisha nyimbo za kebehi wala kualika watu supu maisha...
8 Reactions
84 Replies
2K Views
Uwanja wa Liti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
MMESIKIA HUKO? . Kwa mujibu wa Africa Soccer Zone,Klabu ya Yanga inashika nafasi ya pili nyuma ya Al Ahly kuwa ndio Klabu zinazofanya vizuri kwa sasa barani Afrika. Orodha ni kama ifuatavyo 1-Al...
3 Reactions
14 Replies
707 Views
Inatia kinyaa kuangalia mpira wa bongo na vile hakuna V.A.R ndio kabisa mambo shaghalabaghala,nimefuatilia hizi mechi mbili mfululizo za Yanga waamuzi wote wana ajenda za kuipa Yanga ubingwa sasa...
3 Reactions
57 Replies
2K Views
Kwenye benchi la Namungo yupo ngawina ngawina, kocha mgunda hayupo. Kuna nini, si alitajwa kuwa ndiye Kocha Mkuu wa Namungo?
2 Reactions
4 Replies
465 Views
Mshindi wa Ligi Kuu ya Uingereza na Euro, Rodri, ametangazwa kuwa mchezaji bora wa kiume duniani kwa mwaka 2024, akiwa kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo. Kiungo wa Manchester City...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Vijana wa 2000 hakika wanakosa burudani sana katika mpira katika zama hizi ambapo kuna mabadiliko makubwa yanatokea kwenye mpira. Ebu twende nyuma kidogo viungo waliowahi kucheza mpira mkubwa hapa...
9 Reactions
19 Replies
817 Views
Kuna Jezi zao kadhaa wamezichapisha zimendikwa UBAYA UBWEGE KIJILI 1:0. Yaani nimejikuta Ninacheka sana tu!!!!!
5 Reactions
10 Replies
862 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…