Mimi nakuwa Namba Moja kwa Mtu nisiyempenda kabisa Kocha wa Taifa Stars Emanuel Amunike, Kikosi chake Kibovu alichokichagua na ambaye kila Siku huwa napiga Dua ya Kuiombea mabaya Timu hii ifungwe...
Lazio kuzipiku klabu za England kumnasa Samatta?
Klabu ya SS Lazio ya nchini Italia imeingia kwenye kipute cha kumnasa mshambuliaji kinara wa klabu ya Genk na timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana...
Mimi kama mdau, shabiki wa soka Tanzania nimeona hiyo bei ya jezi upunguzwe ,.
Bei ya sasa 35,000/=
Naomba angalau jezi iwe 20,000/=
Hili pendekezo langu kwa wenye mamlaka.
Sijui kwa nini...
Yanga f. c wamekusanyana kutwa yote na ile kubwa yao wakapata 900m, wenzao MTU mmoja tu anawaletea KUBWA KULIKO yaani 1.2billion. Sunche na Kapeto bhana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mechi itaanza saa 2:00 usiku,tutarajie makubwa
==
Unaweza fatilia kupitia @TAIFASTARS twiter.
==
FT: Zimbabwe 1- 1 Stars
Shukran nyingi kwa SAMAGOAL
aliyetokea bench
Habarini wakuu, nasikia kuna kombe la Dunia la wanawake linaendelea huko, nape nda kufahamu, je mataifa ya Kiislam yanayojua soka kama Egypt, Iran, Uturuki, Saudi Arabia huwa zinashiriki kwenye...
Heshima kwenu wakuu.
Natamani sana kukimbia kufukuza kitambi cha kizushi kwa muda wa mwezi mmoja mfululizo; hii ni Jumatatu-Jumapili asubuhi. Tunadamka mapema alfajiri sana tunakula kona ya...
Aman iwe juu yenu
Jana nilipigiwa cm kama million na mashabiki Wa man united wakinicheka sana
Ni haki yao kunicheka lakin na Mimi nasema ni haki ya sarri kufutwa kazi pale darajani
Tumechoka na...
Ibrahimu Ajibu!
Huyu ni mchezaji mwenye kipaji sana. Nikiri wazi namkubali sana. Huyu jamaa anamatatizo sana tena sijui ndo tuite nuksi,
Anatatizo kubwa la pupa, mfano wakati yanga wapo vizuri...
Nasema haya nikiwa huru kabisa kwamba sijawahi kuitakia mema taifa stars na hakika kama watashinda hata mechi moja katika kundi walilopo na Senegal, Kenya na Algeria nitaanza rasmi kuishabikia hii...
Baada ya miaka ya hivi karibuni ligi ya italy kupoteza ubora kama miaka ya nyuma ambapo timu za AC milan na juventus kuwa wababe wa ligi za ulaya pamoja na miamba ya Inter milan ligi hii ilipitia...
https://www.telegraph.co.uk/cricket/2019/06/16/india-vs-pakistan-cricket-world-cup-2019-live-score-latest-updates/
India inapambambana na Pakistan kwenye Cricket World Cup. Wqziri mkuu wa...
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni leo Makonda amejiandikia historia mpya nchini.
Makonda ni Simba kindakindaki na Mbowe ni Yanga aliyekunywa maji ya bendera lakini katika maendeleo mambo...
Naupongeza uongozi na wachezaji wote wa Mabingwa wa soka Simba.Naushauri Uongozi na Kamati ya Usajili iwe makini sana kufanya Usajili kwani Tumejifunza jinsi Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika sio...
Kikwete leo katema madini mazuri ila hawa bakuli FC wamefurahi bila kujua msg ilikua inahusu nini?
Kasema utakuwa kiongozi mbumbavu kama unatumia madaraka yako kuwakandamiza timu pinzani wakati...
[http://www]
Harambee ya Uchangiaji ndani ya Klabu ya Yanga iliyoendeshwa na Kamati ya Hamasa, imevuna kiasi cha Sh 920 Milioni zikiwa ni fedha taslim na ahadi za wadau mbalimbali wa klabu hiyo...
Mh makonda ametoa ahadi kwa yanga kuwapatia eneo la kujenga uwanja kigamboni.
1.Najiuliza yanga ni taasisi ya serikali?
2.Mamlaka ya kuipa eneo mh Rc anayatoa wapi?
3.kuna uhusiano gani kati ya...