Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta amesisitiza kuwa hatarajii kusalia kwenye klabu yake ya Genk msimu ujao na badala yake kuchezea Ligi ya Primia ya England. Samatta ambaye ni kinara wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
CAF has today taken some decisions about the controversies in the second leg of Champions league between ES Tunis & Wydad Casablanca: [emoji1542]- The game will be replayed on neutral ground due...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Rais wa shirikisho la kandanda duniani FIFA Gianni Infantino anatarajiwa kutumikia kipindi cha pili cha uongozi baada ya kuwa mgombea pekee katika uchaguzi utakaofanyika mwezi Juni Gianni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo liver unakufa kwa binde sana Polen sana ni 3_2 Nimemaliza Asanteni
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Ni Kiungo ambaye hadi hivi sasa hajawahi kutokea nchini Tanzania hasa kutokana na aina ya uchezaji wake wa nafasi ya Kiungo na ule ' udambwi dambwi ' wake huku akiwa anatokea katika Klabu ya...
7 Reactions
43 Replies
7K Views
habari zinazokuja kila wakati ni kwamba yanga inasajili wa kufa mtu,nawatahadharisha kuwa kusajili wachezaji wazuri,sio gerentii kuwa watacheza vizuri,wawe makini na wajifunze historia ya real madrid
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu. Nianze mada moja kwa moja Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa mchambuzi na mhariri wa magazeti ya michezo ya Champion na Sport-Xtra Ndg Saleh Ally yaliyo chini ya Global Publishers...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameagiza moja ya mitaa ya Manispaa ya Temeke ipewe jina la nahodha wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta. Samatta anayecheza soka ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mashabiki wa yanga walitakiwa waiombee dua na kuisapoti simba sc katika ligi ya mabingwa afrika ili kunufaika na mambo mawili katika timu yao na nchi kwa ujumla. Jambo la kwanza, ikiwa simba...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Senegal yaita 25 wanaocheza nje tu kuikabili Stars Afcon http://bit.ly/2HUXzMo
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Former Arsenal winger Jose Antonio Reyes was driving at more than 135mph (220kmph) when he died in a car crash on Saturday, Spanish police have said. The Guardia Civil's investigation is ongoing...
0 Reactions
4 Replies
956 Views
Jana ulikuwa ni usiku wa Ulaya ambapo Liverpool walipepetana na Tottenham ambapo Liverpool walifanikiwa kutwaa ubingwa kwa kuibamiza Tottenham magoli mawili kwa nunge, Salah katika dakika ya...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Shirikisho la soka Africa Mashariki ( CECAFA ) limeiarika klabu ya Yanga katika michano ya Kagame CUP itakayofanyika Rwanda ili ipate maandalizi ya kushiriki vizuri michuano ya klabu bingwa...
5 Reactions
44 Replies
6K Views
Wakuu wadau wa soka Nina maswali mawili naomba mnisaidie. Kwanza Ni umri wa kagere mchezaji wa simba pili nataka nijue okwi ana muda gani toka aanze kucheza soka la hapa bongo
1 Reactions
38 Replies
11K Views
Nianze kwa kutoa pongezi zangu za dhati kabisa kwa Watanzania wote Kuanzia kwa Serikali na hasa hasa TFF kwa kuiandaa vyema kabisa Timu yetu ya Taifa kiasi kwamba ‘ Maandalizi ‘ yake ya awali tu...
7 Reactions
23 Replies
3K Views
Timu inacheza utafikili awajala wiki nzima, nafasi wanatengeneza ila wanafanya kubutua tu, michezaji inabaki yenyewe nakipa inapaisha mpira. Sasa najiuliza kama mpo serious kubaki ligi kuu...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Inajulikana African Lyon ndio walishuka daraja msimu huu lakini kumepita mkanganyiko mkubwa wa kutokua na uhakika anayeshuka anashuka na Nani kati ya stand na kagera sugar Mwanzo ikasemwa kashuka...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Comrade ( Kamarada ) wangu Clifford Ndimbo umekumbwa na tatizo gani Siku hizi Kaka? Ulianza Kutupotosha kuhusu Timu ya Kagera Sugar Kushuka Daraja na ikawa siyo kwamba ulikosea tukaona labda...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wanamichezo Niende kwenye Mada moja kwa moja kuna sintofahamu zimetokeo kunako shirikisho letu la mpira wa miguu TFF juu yataarifa zao kupitia msemaji wao ndugu Clifford Mario Ndimbo...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Leo RC katimiza ahadi yake. Kuwapa fedha wachezaji was Simba waliofanya vizuri ikiwa ni pamoja na kumpa Manula 10M. Niweke wazi sina tatizo na moyo wake kuwazawadia wana Simba wenzake. Naamini...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…