Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nashangaa Yanga kufurahia kutolewa kwa Simba katika hatua ya robo fainali na huku hawafikirii kuwa Simba ni miongoni mwa Vilabu au Timu bora kati Top 8 Afrika Imagin Afrika ina nchi 56 na kila...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Wenye vichwa vya panzi wanafanya karamu kufurahi Simba kutolewa,ila tu wanasahau kama Simba hii tishio imetolewa hatua ya robo fainali kwenye ligi kubwa kuliko zote Afrika. Imetolewa zikiwa...
6 Reactions
46 Replies
5K Views
TP Mazembe wanatisha mkia wanaenda kupigwa mkono wa nyani..Natoa haadi nipigwe life ban endapo mkia watafuzu najua haitatokea...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Mwongozo ulioombwa bungeni jijini Dodoma na mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy akitaka wabunge kuichangia klabu ya Yanga umekwama baada ya wawakilishi hao wa wananchi kupinga hoja hiyo...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Nauliza wanayanga,mmemsikia Mbunge Ali Kessy akiomba Club ya Yanga iingizwe kama kaya masikini zinazosaidiwa na serikali kwa mfuko maalumu
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Mechi ya Tanzania Prisons vs Biashara United imeingiza Tsh 9,000, kufuatia watu watatu tu kukata tiketi za Tsh 3,000 kila mmoja. Mechi hiyo imechezwa leo Jumamosi kwenye uwanja wa Sokoine Mbeya na...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
*The way Simba SC fans are so quiet on social media. I think they are planning to kidnap Moses Katumbi* The Mazembe fans are optimistic of not returning the bride to Tanzania. She has gone for...
0 Reactions
3 Replies
784 Views
#CAFCL: Mpira umemalizika (Stade de TP Mazembe) Lubumbashi, Congo. Simba wametupwa nje ya Ligi ya Mabingwa Afrika. FT: TP Mazembe 4-1 Simba SC (Agg: 4-1). #BecaLoveUpdates : Takwimu Kipindi cha...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tbc Mara nyingi wako busy na matangazo ya live ya kiserikali!Lakin walipa Kodi jamani tunahitaji mtuonyenye na matukio mengine!Matangazo ya mpira live ni nadra Sana kurushwa na Tbc.Acheni kutumia...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Makundi yapo 6, kila kundi timu 4 Baada ya michezo ya makundi, timu 2 toka kila kundi zitaqualify.. pamoja na timu 4 bora zilizo shika nafasi ya 3 numla zitakua timu 16. Timu 16 zitacheza...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Leo jijini Cairo majira ya saa 3 kamili usiku kwa saa za Africa Mashariki kunafanyika upangaji wa Makundi 6 ya AFCON huku timu za mataifa 24 zikishiriki. Makundi yatapagwa kutokana na Ports 4...
3 Reactions
311 Replies
26K Views
Lopolopo wetu,sisemi sana jionee mwenyewe attchment ili siku ukiona kaandika kumsifia James Kotei umzomeee tena mzomeee kweli
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Hii tabia ya yanga sisi tunahangaika kuwachangia mkuze viwango na muwape wachezaji wetu mishahara nyie mnaenda kununua mechi inaudhi sana. Mnadhani itatusaidia kitu huko mbeleni? Team yetu...
3 Reactions
2 Replies
820 Views
Kwenye mechi ya Simba na Mbabane kuna chance Bocco amezikosa kosa sana, anabaki na kipa halafu anampigia mpira badala ya kuangalia angle. Halafu pia hatoi pasi nzuri za umaliziaji kwa wenzake...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mchezaji wa zamani wa PSG ya Ufaransa ambaye kwa sasa ni Kocha wa kikosi cha PSG cha chini ya miaka 19, Thiago Motta anapanga kufanya mapinduzi katika mifumo ya Soka kwa kuja na mfumo wa 2-7-2...
2 Reactions
14 Replies
7K Views
Leo saa tatu usiku kwa saa za Africa mashariki kule Misri kutakuwa na shughuli ya upangaji wa makundi kwa timu 24 ambazo zimefudhu kucheza michuano hii mikubwa kabisa kwa timu za taifa katika bara...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Which Premier League players could be there? Egypt: Mohamed Salah (Liverpool), Mohamed Elneny (Arsenal) Senegal: Sadio Mane (Liverpool), Idrissa Gueye (Everton), Cheikhou Kouyate (Crystal Palace)...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Looking to this guy amebakisha kwenda ofisi ya mo na kunywa kahawa pale kwenye lijigorofa zilipo ofis za mo Ana kazi Gani nyingine? Tunajua huyu nkwambi ni pandikizi la dewj hana mpango wowote...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Nilisema humu timu chache sana zinaweza kuhimili mikiki yote hiyo na kufanya vizuri,hata uwe na kikosi kipana namna gani,Timu moja imeanza kudondosha mojamoja yaani Simba SC,Yanga waliwahi kidogo...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Mabingwa wa pili kitaifa mchezo wa baseball shule ya Sanya juu sec Wilayani Siha wapewa tuzo na mhe. RC Kilimanjaro Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…