Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Atebaaaaaaaa
0 Reactions
2 Replies
264 Views
Sasa kama mnajua kuwa GSM ambao ndiyo Wadhamini Wakuu wa Yanga SC na kwamba itasababisha Fikra zenu za Kipumbavu kuwa kutakuwa na Upangaji wa Matokeo (Match Fixing) pale Yanga SC ikicheza na hivyo...
14 Reactions
37 Replies
2K Views
Kila jambo huwa lina mwisho wake. Nimeshuhudia timu bora ya wakati wote Barcelona ikitamba katika soka la kisasa. Timu zote imara zilinyanyaswa na Barcelona ya kuanzia mwaka 2008-2012. Kisha...
14 Reactions
247 Replies
27K Views
Naona maneno ni mengi kila mtu anajaribu kuongea anachokijua, hila kwa wanasimba wanaoijua football vizuri sidhani kama watakua wanaumia na matokeo haya Wanasimba wanajua kua wapo kwenye kipindi...
14 Reactions
22 Replies
838 Views
Hii post nimetaka kuileta muda kidogo ila naamuaga kupotezea ila leo nimelazimika kuileta. Kuna hili goli sijui ndiyo la kaskazini, kila derby at least za hivi karibuni lazima mpira ugonge mwamba...
1 Reactions
26 Replies
978 Views
Na leo narudia tena kusema hicho hicho kuwa Simba SC iwaombe TFF iwape Yanga SC alama (points) zao Sita (6) kwani kamwe kwa aina ya Viongozi Wanafiki na Virusi Watano walioko Klabuni akiwemo...
15 Reactions
22 Replies
1K Views
Toka awali hili jambo la Camara kukaa mbali na Goli kama Diarra tulishalizungumza!! Hatimaye leo ameiponza Timu!![emoji3063][emoji3063][emoji3061] Hii sio mara ya kwanza wala ya pili!! Kuna muda...
12 Reactions
85 Replies
3K Views
Uchezaji wa Yussuf Kagoma ambaye alionekana kumudu kiungo cha chini unafanana sana na viungo hawa akina Gerald Gwalala wa Coastal Union, Kevin Nashon wa Singida Black Stars na Mtenje Albano wa...
1 Reactions
0 Replies
354 Views
Kuna vitu huwezi kufoji kabisa. Ukiwa na kocha mbovu utalaumu wachezaji bure tu. hamtaki onana, fred na mh. Hilo linauzi mnooo. Kocha ashindwe kila timu aje aibukie simba. Hakuna mtu kabisa hapo
2 Reactions
18 Replies
846 Views
Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii. Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia...
8 Reactions
71 Replies
4K Views
Eti tunachukua kocha kutoka Maritzburg United. Kwanza kaishusha daraja timu hiyo msimu uliopita na Msimu kagongwa vibaya ligi ya chini. Nimefatilia Cv zake ni vichekesho mtupu. Ndio yale ya...
10 Reactions
109 Replies
4K Views
Habari ndio hiyo. Game dhidi ya Bolivia. Katupia goli 3 na kutengeneza mawili kwenye ushindi wa goli 6. Jana usiku MSL huko Marekani. Inter Miami ilitanguliwa goal mbili, King Messi akiwa bench...
2 Reactions
1 Replies
167 Views
Hawa mashabiki na viongozi ndo Huwa wanalalama eti Yanga anakuwa bingwa Kwa kuzifunga timu kwenye ligi Kwa sababu zinadhaminiwa na GSM Sasa wao kila mechi kipigo Wao watwambie kama GSM ashaanza...
3 Reactions
2 Replies
293 Views
Bw Magori amepost kwenye page yake akionekana kumtuhumu Kipa wetu Camara kuwa hakuwa sababu ya kuurukia ule mpira akiamini Camara alifanya mchongo Magori wewe ni mtu makini sana na watu...
20 Reactions
67 Replies
4K Views
1. Timu yetu ya Simba imecheza vizuri sana kilichotugharimu ni sub, kiukwel hatuna wachezaji wazuri wa sub ndio maana kipindi cha pili sikushangaa kuona Yanga wakipata bao la pili 2. Yussuf...
17 Reactions
44 Replies
3K Views
Mimi ninachojua tu ni kwamba leo ndiyo tunaenda Kuachwa rasmi kwa Alama Nne (4) na Wao kuwa Mabingwa tena.
12 Reactions
57 Replies
2K Views
I will be short Simba since community shield Refa anawabeba tu . Magoli yote ya offside na penalty feki amna kelele. Leo mechi na yanga mmebebwa sana. Mnapoteza Refa ndo tatizo. Akili za makolo...
3 Reactions
3 Replies
377 Views
Pamoja na wachezaji wa Yanga zaidi ya 10 kutoka kucheza mechi zao ngumu za kufuzu AFCON na kuchelewa kuingia Tanzania kujiandaa na derby lakini Simba imeshindwa kunufaika na hilo. Kuna wachezaji...
11 Reactions
15 Replies
877 Views
Mwanariadha kutoka tanzania Alphonce Felix Simbu anatarajia kushindana na manguli wenzake kama Joshua Cheptegei wa Uganda kwenye mbio za delhi half Marathon mapema leo jumapili tarehe 20/10/2024...
0 Reactions
1 Replies
164 Views
Mashabiki wa soka la bongo watakuwa wanamkumbuka mchezaji huyu, alicheza na kina Mgunda, Razack Yusuph, kifupi enzi za kina Tenga. Mwaka 1994 alikamatwa nchini Malawi kosa ikiwa ni kukutwa na...
2 Reactions
51 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…