Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Katika hali ya kushangaza, Singida Blackstars wamehamishia mechi yao dhidi ya Yanga kutoka dimba lao la nyumbani la CCM Liti na sasa mchezo huo utapigwa New Amaan Complex Zanzibar Oktoba 30 mwaka...
4 Reactions
11 Replies
641 Views
Tumefika hapo tulipofika kwa kuwatumia wachezaji wetu wa ndani akina Shemtembo, kwanini kocha alibadili gear angani akaacha kuwatumia? Wachezaji wa nje wana miguu ya pesa, wanawaza timu zao...
3 Reactions
31 Replies
1K Views
3 weeks clean, phew! [emoji28] The urge is real but nimepambana kushindana nayo. I’m actually not happy, ila I feel I’m getting my old self back. I’m glad some good few people in here reached...
6 Reactions
19 Replies
3K Views
I salute you kinsmen. TFF wamekuwa wakituvunja moyo kila siku linapokuja swala la team yetu ya taifa. Kwanza wanatuletea makocha wabovu na wa hovyo sana nadhani kuna maswala ya 10% mule ndani ...
1 Reactions
18 Replies
303 Views
Namwona Dube katika ubora wake mpaka sasa Dube atakuwa mchezaji wa kwanza kufunga goli katika Derby ya keshokutwa All d best mwamba...
1 Reactions
3 Replies
267 Views
Kama ulisahau kuna mtu alifanya miujiza siku ya derby Simba na Yanga na hakushangaa hata kilichotokea Mnaongelea marefa leo hii enzihizo watu walimalizana na wachezaji mapema. Mpira ulipigwaa mh...
2 Reactions
3 Replies
334 Views
Benchi zima la ufundi la taifa stars halifai, huyo Hemedi Morroco kuongea kwenyewe shida atawafundisha nini wachezaji? Ana uzoefu upi wa kufundisha timu ya taifa, huyo ni kocha wa level ya geita...
4 Reactions
34 Replies
1K Views
Klabu kongwe nchini, Simba Sports Club imeingia vitani na watani zao Yanga Afrika kwenye kinyang'anyiro cha kuzisaka saini za mastaa wa klabu hiyo yenye makao makuu yake Jangwani jijini Dar Es...
23 Reactions
227 Replies
7K Views
Sema tayari kimeumana! Hawa Pamba Jiji Championship inawaita mzunguko wa kwanza tu 😃 Uongozi wa Klabu ya Pamba Jiji Fc unautaarifu umma kuwa umefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja...
4 Reactions
22 Replies
899 Views
Hii mechi n kati ya mechi nyepesi sana ya Yanga Pengine ni zaidi ya vs Kagera Kama kuna mechi Simba atajuta kuingiza timu uwanjan n Derby ijayo. Halii si nzuri kwao mpaka sasa najua kamati...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Picha ya jeraha la Ibrahim Abdallah Hamad a.k.a Ibra Bacca, beki kisiki na tegemeo ndani ya kikosi cha yanga yashtua wengi ikiwa zimesalia siku takribani mbili tu kuelekea Oktoba 19 kwenye mchezo...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Hii sio taarifa kuhusu kiwango au performance ya timu. Hii ni taarifa inayoonesha timu ya taifa inaundwa na wachezaji wenye thamani(value) gani. Kwa mujibu wa tovuti ya ya Transfermarket na Score...
3 Reactions
15 Replies
621 Views
Kufungwa kunauma sana. Ila hawa wasemaji wakamatwe na wafungiwe kwa muda kuzungumzia mpira. Hawa wanamchango mkubwa sana kuharibu national team hasa kwa kupata matokeo mabovu leo. Mfano katika...
3 Reactions
16 Replies
985 Views
Kuna taarifa zinasambaa mtandaon baka kuikosa Derby Ana majerahaaa wenye ushahidi yujuzane tusipoteezee muda kwenda uwanjan kabisa
3 Reactions
14 Replies
814 Views
kama atafanikiwa nitakuwa mmoja wa watakaompongezq sana brda amesema hayo baadaya kukiwasha dk 10 uwanjan akiiaaidia timuyake wana simba mjipange matesooyakoo palepalee kaziiendeleee
0 Reactions
2 Replies
361 Views
Hila hizi timu zetu za bongo zinachekesha sana. Kocha anakumbukwa kwenye shida lakini rekodi zake ni kubwa Minziro ameaminika kwenye kikosi cha Pamba Jiji FC baada kuachana na bwana Goran...
1 Reactions
2 Replies
556 Views
DRC ameshinda michezo mitano mfululizo bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa. Pole Taifa Stars..Pole nchi yangu.Poleni wachezaji. Hongera DRC. Wabongo tujifunze sasa kukubali matokeo bila kutoa...
1 Reactions
4 Replies
297 Views
I will be short 1. Taifa stars inahujumiwa na watu wa TFF. Kuna watu waondoke stars tuwe modern?? What was that?? Kocha wa stars kama a dummy asiye na akili. What was that substitution?? AFCON...
2 Reactions
14 Replies
472 Views
Msaada wa kufundishwa ku-bet basketball
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Siku ya 1: Mechi dhidi ya Espanyol Siku ya 198: Anafunga goli lake la kwanza Siku ya 876: Hat Trick ya kwanza dhidi ya Real Madrid Siku ya 915: Anafunga Goli ‘kali’ dhidi ya Getafe Siku ya...
2 Reactions
0 Replies
398 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…