Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Những bí quyết lựa chọn gạch ốp lát cho nhà vệ sinh và nhà tắm bạn nên biết? Xã hội ngày một phát triển lên thì yêu cầu của con người về thẩm mỹ cũng ngày một được nâng cao hơn. Trong đó, gạch...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Tuanzie hapa... Mbao FC ilifanikiwa kupanda ligi kuu katika msimu wa 2016/17 baada ya "mbeleko" za TFF. Mbeleko hizo zilikuja baada ya maamuzi ya Kamati ya Nidhamu ya TFF yaliyotolewa April, 2016...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Hata kama uwe mwendawazimu utagundua kuwa kuwa Masoud Djuma ana mgogoro na Simba. Kuangalia mechi timu ikicheza mechi Kwa mashabiki ni burudani lakini Kwa kocha nizaidi ya burudani. Huu ni muda...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
KAMA LIGI KUU YA UINGEREZA INGEKUWA DARASA LA SHULE YA SEKONDARI. 1.Liverpool ni mwanafunzi anejisifia na kuona ana akili kwa kuwa babu yake alifaulu kwa division one japo yeye anapata zero...
3 Reactions
2 Replies
812 Views
Hatimaye simba rasmi wamekiri kuwa Uturuki hawakua wakifanya mazoezi zaidi walikuwa wameenda kufuatilia tamthilia ya Sultan...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kikosi cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Coastal Union leo, mechi ya Ligi Kuu Bara 1. Klaus Kindoki 2. Paul Godfrey 3. Gadiel Michael 4. Andrew Vincent 5. Kelvin Yondani 6. Pappy Kabamba 7. Mrisho...
3 Reactions
132 Replies
13K Views
Ama kweli masikini akipata matako hulia mbwataaaa, Mabingwa wa kihistoria wamekwisha sahau , Mmepingwa ndani na nje Kombe la Afrika mkapoteana sio viongozi sio wanachama mpaka mashabiki kama...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Baada ya 'timu bora kwa sasa nchini Tanzania' Simba SC kupunguzwa kasi na Ndada, leo itakua angani kuelekea kanda ya ziwa lengo likiwa ni kuchukua point zake 6. Simba SC akiwa kanda ya ziwa...
4 Reactions
100 Replies
9K Views
Naomba kujua iwapo Mabingwa wa historia Yanga iwapo bado wanaongoza kundi lao baada ya kuifanga Rayon ya Rwanda?
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Taarifa zimeenea kuwa kocha msaidizi hatakiwi na kapigwa chini. Mbumbu fc ktk ubora wao[emoji12] [emoji12] [emoji12]
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Ninapoelekea nitaacha kuwa Mshabiki wa Simba SC na nitabakia tu na Timu yangu ya Liverpool FC kwani kama kuna Mashabiki wa mpira wa Tanzania wanaoudhi, wanaokera, wanaoboa na pengine nahisi...
7 Reactions
32 Replies
5K Views
Kimosi cha Yanga kunachoanza leo KIKOSI CHA YANGA SC DHIDI YA STAND UNITED UWANJA WA TAIFA SAA 16:00 1. Klausi Kindoki 2. Paul Godfrey 3. Gadiel Michael 4. Vincent Andrew 5. Kelvin Yondani 6...
3 Reactions
205 Replies
16K Views
Leo nimeona katika moja ya magazeti kuwa Azam Media imefanikiwa kuwapiku DSTV yenye chanell za super sports amabazo ni maarufu kwa kuonesha mipira na michezo mbali mbali,,KATIKA TENDA ya...
6 Reactions
112 Replies
19K Views
Wadau kama kawaida Yale mambo ya over under gg ndo Leo.shusha bet yako safi ili kila MTU spate maujuzi ya kuvuta mkwaja kirahisi
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilishuhudia mahojiano haya kwa kweli nilifurahia sana jinsi wachezaji wa zamani walivyokuwa wamejitolea kwa hali na mali kwa ajili ya nchi yao. Alichoshauri ni kuwa siku hizi wachezaji wetu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salamu ndugu, Wadau kwenye mpira Wa miguu wakati mwingine nimeona kuna baadhi ya wachezaji wakisifiwa sana kinyume na uwezo wao halisi katika utimizaji majukumu uwanjani kwenye nafasi zao. Nadhani...
1 Reactions
48 Replies
4K Views
USIKU! Yes Usiku wa Alhamisi ya April 14, 2016 ndio usiku pekee wa kusisimua kuwahi kutokea katika dimba letu la Anfield. Usiku uliokuwa na jasho, damu na machozi. Usiku wa vita. Usiku ambao...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wale wamgodini chimbo letu tunalishushia hapa,kwa update kuhusu timu yetu tunayaanikia hapa kamba zipo za kutosha.
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Maana yake ni kwamba mzungu akipigwa kadi Simba haitakua na kocha kwenye bechi. Maana yake mzungu akiugua ghafla Simba haitakuwa na kocha. Maana yake Simba inapoteza hela kuajiri assistant coach...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu Startimes kwa mara nyingine tunawaletea habari njema watanzania kuwa tumepata rights za kuonyesha michuano ya CLUB BINGWA DUNIANI katika chanel zetu pekee. Kwa africa michuano hii...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…