Kwa Mara nyingine club pendwa ya Simba inaangukia pua baada ya kukosa kutwaa kombe la Cecafa
Tunaumia sana hasa mambo ambayo viongozi wa Simba mnayafanya,kama hampo tayari kushiriki haya...
Sie waafrika cjui tumerogwa na nani yaani pamoja na Timu Ya France kusheheni Waafrika wengi huko Russia nimeshangaa siku ya fainali waafrika wengi hasa hapa Dar walikuwa wakishabikia Croatia timu...
Timu ya soka ya Everton ya Uingereza yaifunga timu ya ATV Irdning ya Austria kwa mabao 22 - 0 ndio mabao ishirini na mbili kwa bila.
Katika mechi hiyo ya kirafiki wachezaji wanne wa Everton...
wakuu naomba mnitoe matongotongo hivi lile kombe la dunia ndio lile lile miaka yote au huwa wanatengeneza baada ya miaka 04 maana jana nilimuona nahodha wa ujerumani mmoja ya washindi wa kombe la...
Amesajiliwa kwa ada ya uhamisho inayokadiriwa kufikia paundi milioni 32 na amepewa mkataba wa miaka mitano .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba Leicester city walishaamua kumpa mkataba mpya na...
Kuna mshindi kama huyo ametangazwa jana? Natafuta kwenye mitandao hata simwoni, kuna zawadi ya ushindi kama hiyo jamani wana bodi naomba mnijuze, na mojabet ndiyo ipi tena? Mona mimi siijui, ni...
Gazeti la The Sun limeandika:
World Cup 2018: Thousands of England fans sign petition for Gareth Southgate to be knighted after incredible run to semi-finals in Russia
They may not be bringing...
Watengeneza magari wameicharukia juventus kuelekeza pesa ya mapato ya kiwanda kwa Ronaldo.
Juventus si ingetoa pesa mfukoni mwake, sio sawa. Nikijaribu kuvaa viatu vya wafanyakazi hao. A
Ndio kama kichwa cha habari kinavyosomeka wala sijakosea,leo asubuhi fei toto alitangazwa kusajiliwa na singida utd lakini cha kushangaza majira ya mchana mchezaji huyo alitangazwa kusajiliwa na...
Klabu ya Chelsea imemfukuza kazi kocha wake, Antonio Conte baada ya kufikia naye makubaliano ya kusitisha mkataba wake
Klabu hiyo, kwa muda mrefu imehusishwa na habari za kutaka kumfukuza...
Winga machachari wa ujerumani na klabu ya Manchester City Leroy Sane amewashangaza wengi baada ya kuitaja Tanzania alipofanya mazungumzo na jarida la michezo la Kicker sportmagazin.
Sane pamoja na...
Hii inajionyesha wazi hasa baada ya timu hiyo kuanza kununua wachezaji wapya kama mchanga , mpaka sasa wachezaji watano wamekwishanunuliwa akiwemo kiungo mahiri Toreirra kutoka Sampdolia ya...
Leo timu ya Azam imeifunga timu ya Simba kwa 2-1. Hongereni sana leo tungekimbilia wapi na tambo za Manara. Usajili wa kishindo lakini Azam ameibuka kidedea. Kilichobaki tutawaletea Lipuli sasa...
Kwa aina hii ya ' Upuuzi ' ninaouona ndani ya Klabu ya Simba kuna uwezekano nikajipa ' Mapumziko ' ya Kuishabikia na nikabaki tu kushabikia Klabu yangu ya Liverpool ya nchini Uingereza kwani...
Team nyingi zilizoingia robo finaly zilikuwa na wachezaji wengi wanaocheza league ya uingereza
Hata zinazokwenda semi final bado zina wachezaji wengi wanaocheza uingereza
Na hata final itakuwa...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya kuivusha Yanga wakati wa mpito, Abbas Tarimba, ametangaza kuachana rasmi na wadhifa huo.
Kwa mujibu wa Radio Uhuru, Tarimba amefunguka na kueleza kuwa...