》Wanda Nara na Maxi Lopez walianza mahusiano mwaka 2006 walipokutana huko Beunos Aires kama nitakuwa nimeandika vema, Argentina wakati Maxi alipokuwa anaanza kucheza mpira katika timu ya Rosario...
Mwanzoni mwa mwaka huu tulijulishwa kuwa Diamond (Mwanamuzi wa Tanzania) amepewa nafasi ya kutunga wimbo rasmi wa Kombe la Dunia (kama nilielewa maelezo vyema). Lakini leo kutoka mtandaoni...
KLABU ya Simba leo imekabidhiwa kitita cha Sh. milioni 100 kutoka kampuni ya SportPesa Ltd ikiwa moja ya fedha walizoahidiwa na kampuni hiyo wakichukua Ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mujibu...
Rais wangu na mwana Simba SC mwenzangu JPM ni kweli kabisa kwamba siku zile uliona mpira ule mbovu wa Simba dhidi ya Kagera Sugar ila Mheshimiwa Rais nahisi ungeuona Mpira wa Yanga SC au kama...
Maisha siku zote huwa yanakwenda kwa kasi mnooo, mara baada ya Madrid kuchukua ubingwa 2002 Walistruggle sana kuhakikisha wanarejesha makali yao ambayo tulizoea kuyaona baada ya pale msimu...
Sisi wateja wa soka hasa msimu huu wa kombe la dunia burudani imesogezwa sebuleni kwetu, kwani kwa kifurushi cha Bomba cha Tsh 19,000 tutapata mechi zote 64 za kombe la dunia katika mfumo wa High...
Wataalamu wa michezo saluti kwenu.
Kama mtakumbuka hatua ya robo fainali mambo yalikua hivi
Swala lililo sababisha Zidane na timu yake wasonge katika hatua inayo fuata.
Akili yangu inaniambia...
Jayson Tatum muda sio mrefu Dunia itamtambua huyu Bwana Mdogo wa Celtics. Dodgo ana 21 na alikuwa wa tatu kwenye draft ya msimu wa 2017/2018 lkn anavyowasumbua kina JR Smith na Tristan ni shida...
Manji kujiuzulu Yanga?
tetesi zilizozagaa zinasema huyu mdosi kajiuzulu ufadhili yanga..wachambuzi wa mambo wanaona ni janja ya nyani,ataorganise group iandamane kudai arudishwe na kuonyesha...
Buffon: “Referee can’t have the cynicism to destroy the effort of a whole team. A human being can’t send away a team like this!
If you want to be that protagonist, sit in the ground with your...
JAPAN: Mchezaji nguli wa nafasi ya kiungo, Andrés Iniesta amesaini kandarasi ya kujiunga na Klabu ya Soka ya Vissel Kobe na kukabidhiwa jezi namba 8
> Andrés Iniesta amejiunga na klabu hiyo baada...
Hapa Nilipo Nimejawa Na Simanzi Nilipopata Taalifa Kuwa Andres Iniesta Hatachezea Tena Barcelona Kwani Amestaafu
Andres Iniesta Jana Amemaliza Kuichezea Clubuni Hapo Baada Ya Kuizaba Real Sociedad...
Hili ni jambo zuri sana mmefanya kwakweli. Na kwa jinsi timu ilivyo na mashabiki mtapata wabia chapchap. Ila sasa jiji lisitake kujilimbikiazia hisa nyingi. Itakuwa sawa na kazi bure. Nyie bakini...
Source SKY SPORT
According to the sky sport today, ALEXIS SANCHEZ is looking foward to returning back to ARSENAL. The chillish stated that since he arrived in MAN U, he's always been disguised by...
AMA kweli maisha bila unafiki hayaendi. ndicho unaweza kusema kuhusu Aserne Wenger baada ya mashabiki wa timu hio jumapili aprili 22 kubeba mabango ya kumpongeza kocha huyo siku chache tu baada ya...