Tumejionea wenyewe mechi za hivi karibuni kati ya Simba na Yanga, Washabiki Simba wanakuwa zaidi ya mara mbili ya wale wa Yanga wanao ingia Uwanjani, Takwimu Za TFF zinaonyesha VPL 2018 Simba...
Dani Alves has been ruled out of the World Cup for Brazil with an anterior cruciate ligament injury that requires surgery.
He's the player with most trophies in football history. He has every...
Patashika ya ligi kuu Tanzania Bara VPL, kuendelea leo uwanja wa Namfua Stadium kati ya Singida United na Simba SC.
Katika ligi kuu Tanzania [emoji1241] Bara VPL, Singida United wanataka kulipiza...
Ili kuweka historia ya Ubingwa wetu kwa mwaka 2018/2019 Uongozi wa Klabu Bingwa Tanzania ukodishe helikopta ambayo itawabeba mashujaa wetu na kuwatua katikati ya uwanja na baada ya mchezo na...
Nafikiri wote tumejionea hali ya Klabu mpaka kufikia hapa tulipo, Kufungwa
na kukosa ubingwa si jambo la ajabu. Kwa Yanga hii jambo la ajabu na aibu
ni mazingira tuliyonayo ambayo yanatufanya...
Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia Mwenyekiti wa Matawi nchini, Bakili Makele, umelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) uwalipe fedha zao haraka wanazozidai.
Kiongozi huyo ameeleza kuwa TFF...
Haijalishi leo kuna mvua kiasi gani ni muhimu kutangaza ubingwa haswa na msikasirike jamani ndo mchezo wenyewe huo. Ya kimataifa kialali sasa inasepa hata pembe hamjaiona lo!
Siku z hivi karibuni nimekuwa Niki experience changamoto hii!! ya Ku explain mchezaji mpaka umuite world class player anatakiwa awe amefanya nini? au ananini? katika career yake ya soka
Kuna...
Klabu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es salaam tayari imetangaza kuwaandikia barua klabu ya soka ya Lipuli FC ya mkoani Iringa, kumuomba Mshambuaji Adam Salamba kwa ajili ya Caf Confederation Cup.
Patashika ya ligi kuu Tanzania Bara VPL, kuendelea leo kwa mechi kali kupigwa kati ya Wajelajela Tanzania Prisons ambao wanawakaribisha Yanga SC kwenye uwanja wa Sokoine Mjini Mbeya.
Hizi ni...
MATATIZO YA YANGA NDIYO YALIYOWAPA UBINGWA SIMBA, HILO WALITAMBUE
Yanga imekuwa mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom kwa misimu mitatu mfululizo na pia ni mabingwa wa kihistoria wakiwa wametwaa taji...
Mnaleta siasa kwenye soka??
Ajib mke wake mjamzito hvyo kashindwa kusafiri na timu, tshitshimbi mgonjwa toka lini??
Semeni tu hali ni mbaya huko klabuni acheni kuzunguka mbuyuu
wale wapenzi, wanachama na mashabiki wa simba Leo hii tunatangaza ubingwa tukiwa tumekaa kwenye makochi ..
kwani yanga lazima afungwe au atoe draw na Prison...
na hivyo hawezi kufikisha points 65...
1. Kufunga goals 5 katika single match kwenye UEFA champions league competition ilikuwa ni mechi dhidi ya Bayern Leverkusen
2. Kufunga hatrick katika pambano la watani wa jadi la Elclasico hii...
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Raha ya ushindani katika mpira ni tatu
Kwanza ni Kushinda,pili ni kuchukua kombe lakini kubwa zaidi ni kuona mpinzani anapoteza pointi 3. Furaha ya...