Siku chache baada kocha wa Arsenal Arsene Wenger kutangaza kung'atuka , kuna uvumi kwamba huenda akajiunga na Mabingwa wa Ufaransa PSG.
Tayari PSG imetangaza kwamba kocha wake Unai Emery...
Habari zenu!
Kwanza NAPENDA NIJIPONGEZE na NIWAPONGEZE mashabiki, wapenzi na wadau wote wa Simba kwa ushindi wa jana dhidi ya watani zetu wa jadi, Yanga. Leo mtaani kutamu kweli, watani kama...
Wakati tukielekea kwenye fainali za kombe la dunia zimesalia siku kadhaa leo tutajikumbusha mambo yaliowai kutokea miaka kadhaa iliopita juu ya kisa cha ‘’WIZI WA KOMBE LA DUNIA 1966’’
Wadau wa...
Habari
Jana kuikuwa na mechi ya mpira wa miguu kati ya watani wa jadi na timu kongwe kabisa Simba na Yanga. Kwa jinsi Azam walivyo itangaza ikiwafanya watu waizungumze sana hiyo mechi mpaka...
Kama hujanunua tiketi yako ya Derby ya Jumapili nakuomba sana wahi sasa hivi kanunue kwani tayari Yanga SC wameingia ' mtegoni ' huko Morogoro na sasa wanagombana na kulaumiana kwani mbinu...
Kwa taarifa za ndani kabisa ambazo nimehangaika mno kuzinyaka / kuzipata kutoka katika Klabu ya Yanga zinasema kwamba kuna Wachezaji Watatu ambao ni Wakristo inasemekana wanalazimishwa ili wabebe...
Uwezekano wa Yanga kutetea kombe lake la VPL msimu huu 35% tu. Wapenzi wa Yanga bila shaka watakuwa na sababu nyingi za wazi kujitetea kama Yanga itafungwa na Simba au kuupoteza ubingwa...
Habari wadau,kwa wale wapenzi wa kubeti bila shaka mtakuwa mnaifahamu kampuni hii ya kubetisha online ya bikosports.
Hii kampuni nimeanza kuhisi ni kikundi cha matapeli sababu imekuwa shida sana...
Nimepita hapa Uwanja wa Taifa kuna kundi la watu linazozana kumbe ni Makomandoo wa Yanga na Simba wamekuja kulinda Uwanja ili kuzuia vitendo vya kishirikina,hizi timu kwa Tanzania imekuwa zaidi...
Asalaaam Wandugu zangu, Natumai kwa Uweza wa Mwenyezi Mungu Kila Mwana JF Yupo OK. Napenda kuchukua fursa hii kutoa maoni yangu juu ya matokeo ya vilabu vyetu 2 Simba vs Yanga na matokeo mabaya...
kwa wale wajuz wa mambo ya karate naomba mnifahamishe hili..kuna style kama shaolin,taekwondo,wing chun,judo,Tai chi nk.je kati ya hizo ni ipi mtu akijifunza inaweza mfaa endapo atahitaj kujilinda...
Inakera sana kuona viongozi wa Yanga waliopo hata hawakerwi kufungwa na simba. Hata uchukue Klabu Bingwa Afrika kama hujamfunga simba ni mchuzi bila chumvi.
Kina Mkwasa mmechoka tokeni achieni...
Hivi majuzi shirikisho la riadha limebadilisha sheria zake zikiwalenga wanawake ambao wamekuwa na maumbule na nguvu kama za wanaume kutoshindanishwa na wanawake wengine kutokana na maumbile yao...
Kwenye app ya live goal,ratiba inaonesha mechi inachezwa saa tisa alasiri,ninawahi sehemu ya kuangalia mpira,nakuta uchambuzi wa mechi ndio unaendelea,kwa nini mnakuwa waswahili waongo waongo hadi...