Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Video clip iko insta kwenye ukurasa wa AzamTv Refarii katoa penati rahisi sana na ambayo hata watoto wa Umiseta hawawezi kupewa. Itafute hiyo clip, wakati Tanzania Prisons wakipewa penati...
1 Reactions
8 Replies
613 Views
Jana tarehe 29 Septemba kwenye Madrid derby golikipa wa Real Madrid, Thibaut Courtois alitupiwa kifuko cha Kinyesi a.k.a Nnyaa na mashabiki wa Atletico Madrid.
0 Reactions
2 Replies
450 Views
Habar Mwana Jf Jukwaa la Sport. Siku nyingi sana nimekua nikiliwaza hili ila leo nimeona nilianzishie uzi. Baada ya ule uzi wangu wa kuhoji kuhusu CAMARA kupewa Man of the Match kuchukuliwa na...
1 Reactions
5 Replies
623 Views
Vigogo wa Tanzania, Simba SC wamethibitisha kumsajili Elie Mpanzu Kibisawala kwa mkataba wa miaka miwili akitokea As Vita Club. Mpanzu anatarajiwa kucheza mechi yake ya kwanza ya Premier League...
7 Reactions
37 Replies
2K Views
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limependekeza posho ya kila mwaka ya dola za Kimarekani 50,000 sawa na Shilingi Milioni 136.5 kwa Mwenyekiti wa Chama cha Vilabu vya Afrika (African Club...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
I will be short we are fans of sports since we avoid politics. media ni machawa wa tff na bodi ya ligi. ni shameful mtu anaona kabisa ukweli Ila njaa na uchawa una haribu mpira wetu. imagine...
1 Reactions
7 Replies
363 Views
Wataalam wa Sayansi ya mpira tujadiliane kidogo kuhusu hili linaloendelea mitandaoni Tangu mechi ya kwanza ya Ligi Kuu, Yanga akiwa ugenini dhidi ya Kagera Sugar licha ya kushinda bao 2-0 bado...
1 Reactions
8 Replies
556 Views
Raia wa Burkina Faso, Iron Biby, majina halisi, Cheick Ahmed al-Hassan Sanou aweka rekodi ya mtu mwenye nguvu zaidi duniani 2024. Hii ni baada ya Iron Biby kubeba chuma kilo 231 na kuvunja rekodi...
11 Reactions
36 Replies
2K Views
Unajua wadhakini wa hizi timu Simba Mbet Yanga Sportpesa Endelren kuzibetia GSM ajaja hapo
0 Reactions
3 Replies
244 Views
.
0 Reactions
0 Replies
236 Views
Hiyo mfanyakazi wenu si muadilifu kwenye kazi yake, hasa anapochukua matukio ya picha Yanga inapocheza na timu nyingine. Anachofanya ni kuipendelea Yanga kwa kuficha baadhi ya matukio yanayoibeba...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Kama utakuwa professional kwenye soka lanchi hii jaribu kuweka bikosi vya Azam na Simba kwenye mzani .... lazima utaona kuwa kikosi cha Azam kina uwezo kuliko kile Cha Simba ...,. Kimasihara...
8 Reactions
151 Replies
5K Views
Match Day 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Young Africans SC🆚KMC FC 📆 29.09.2024 ⏰ 2100hrs 🏟 Azam Complex #Daimambelenyumamwiko# KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO. KIKOSI CHA KMC UPDATES.... 04'...
11 Reactions
346 Replies
10K Views
Mpira si mchezo rahisi kama wanavobwabwaja wasojua mpira kuhusu matokeo ya yanga. Duniani kote mpinzani akija na mbinu sahih ya kuzuia, matokeo hupatikana kwa matumizi sahih ya nafasi chache...
7 Reactions
12 Replies
755 Views
Hizi kauli zina ukweli ndani yake? "Nilipokuwa nacheza Azam tulikuwa tunajiandaa sana kwenye mechi ya Yanga SC Kuliko ya Simba " - Amri Kiemba, Mchambuzi "Kuna timu nilikuwa nikiifunga (SIMBA)...
7 Reactions
66 Replies
3K Views
Kupitia ukurasa wao rasmi wa Simba Sports Club wanaandika: Kwa tunachokwenda kufanya leo saa 5:00 usiku mtegemee malalamiko mengine Je, wana jambo gani hawa watu?
0 Reactions
13 Replies
599 Views
Japo utambulisho bado haujakamilika, ila nimechagua kuja kutoa siri. Nimechagua kuja kutoa pongezi. Katika nyuzi zilizopita nilitoa angalizo kuwa huwezi hitaji aina fulani ya mpira, then unaenda...
15 Reactions
48 Replies
2K Views
"Salmin Hoza hana yeyote wa kumlaumu, refa kwanza hakuwa karibu, kwa hiyo alipaswa kufahamu hilo na unapocheza namna ile unampa advantage yule ambaye anashambulia kujiangusha. Kwangu mimi haikuwa...
2 Reactions
26 Replies
834 Views
Nadhani leo nimeeleweka baada ya mechi ya Dodoma v Simba. Walau tutaanza kuchagua maneno na kuchunga ndimi. Tuendelee kujenga timu
6 Reactions
23 Replies
905 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…