Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wachezaji wa Uingereza na wafanyikazi wake watashauriwa kutotumia mtandao wa Wi-fi katika maeneo ya uma ama hata katika hoteli wakati wa kombe la dunia la mwaka ujao nchini Urusi kutokana na hofu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
KLABU ya Stand United ya mjini Shinyanga, imetakiwa kulipa kiasi cha Sh milioni 71.7 kabla ya Oktaba mwaka huu, zikiwa ni fedha za usajili na mishahara ya wachezaji wake. Agizo hilo limetolewa na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Niletee hapa Amepiga hat-trick 92 Goli 4 mara 31 Goli tano mara 6 Goli 8 mara 1 Amecheza match 1375 Amefunga magoli 1281 Goli lake la kwanza kama mchezaji wa kulipwa alifunga akiwa na miaka 15
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Klabu ya mpira wa miguu ya Uingereza, Chelsea FC na kampuni ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Nike leo zimetambulisha rasmi jezi mpya za tatu kwa ajili ya msimu wa 2017/18. Leo usiku tunacheza...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Barcelona bado ipo miongoni mwa timu mbili bora duniani licha ya kumpoteza Neymar kulingana na kocha wa Juventus Massimiliano Allegri. Juve ambao walipoteza fainali ya msimu uliopita ya kombe la...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Dah! Kila ninapo itazama timu yangu ikicheza nakosa raha kabisa, sioni timu iliyosifika kwa lile soka tamu ya kampa kampa tena. Timu ipoipo tu sasa hivi na inacheza mradi inacheza Najua viongozi...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Kiukweli timu ya dar es salaam Young Africans(Yanga) tangu wamnyang'anye mikoba Hans Van Pluijm na kumkabidhi George Lwandamina mambo yamekuwa hovyo kila kukicha. Mpaka sasa viwango vya wachezaji...
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Simba Sports Club a.k.a wahenga inashuka leo kukabiliana na kikosi Azam kwenye uwanja wa Azam huko Chamazi. Simba inashuka kwa mara ya kwanza kwenye uwanja huu kuikabili Azam huku kila timu ikiwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa mujibu Wa ratiba ya ligi kuu Simba na Yanga zitakapokuwa na mechi zao dhidi ya Azam zitacheza kwenye uwanja Wa Azam complex. Swali langu Kwa TFF je uwanja Wa Azam una weza kuingiza watazamaji...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Hesabu na nyota zote leo zinambeba Stoke City kupata ushindi dhidi ya timu ngumu ya Man Utd. Mashabiki na wapenzi wa mpira hawatoamini macho yao. MAPOVU ruksa...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Ligi kuu ya Uingereza Ndo iyo imezd kushika kasi,huku mashabiki wengne wakicheka,wengne huzuni tupuu wengne wakilia kabsaa ndo utamu wa ligi huo.. Jaapo ni mapema sanaa kulisema hili nalotaka...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
Baada Klabu ya Simba ya kuzindua rasmi #App yake ambayo inapatikana katika #PlayStore. Watumiaji wa App hiyo wameridhishwa na matumizi ya App hiyo. App hiyo imekuwa inatoa taarifa mbalimbali...
5 Reactions
11 Replies
9K Views
a)Kwa nini bondia kama floyd mayweather hajawahi kupigana na mabondia kama Anthony Joshua,Vladimir Klichko,David Haye,Amri Khan, David Chisola b)Na huu mchezo huwa unapiganwa vipi maana katika...
0 Reactions
3 Replies
816 Views
Kutoka 7_ 0 na Ruvu hadi 0_0 na Azam ni kawaida. 1.3 bil za usajili Simba hazilingani na sare na Azam. Hofu imeshatanda kuanzia kwa H..aji Manele, wachezaji, wafadhili na mashabiki wa Simba SC...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Kikosi cha yanga dhidi ya Njombe Youthe Rostand Juma Abdul Gadiel Michael Andrew Vicent Kelvin Yondani Papy Tshishimbi Juma Mahadhi Thabani Kamusoko Donald Ngoma Ibrahi Ajib Emmanuel Martine...
1 Reactions
74 Replies
11K Views
YAOUNDE, CAMEROON HATIMAYE mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika, Cameroon, wameshindwa kuonesha ubora wao na kujikuta wakitolewa katika michuano ya kufuzu Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
BENCHI la ufundi la Simba chini ya kocha wake mkuu, Joseph Omog, raia wa Cameroon, limeweka wazi kuwa licha ya mchezo wao dhidi ya Azam FC kuhamishiwa kwenye Uwanja wa Azam Complex ambao...
2 Reactions
26 Replies
8K Views
Uganda moja kwa bila dakika ya 52,Okwi kabahatisha hapa. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
14 Replies
2K Views
SHETANI AMUACHIA BUSWITA, SASA RASMI KUICHEZEA YANGA - SALEH JEMBE
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Klabu ya simba sc pasi na shaka wamekuwa tishio sana kutokana na kufuru yao ya usajili haswa magazetini.Klabu hiyo imekuwa ikijitapa kuwa imetumia kiasi cha 1.5 Billion kufanya usajili tu wa...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…