Leo kuna mitanange mitamu sana
1.Croatia vs England
2.Botswana vs Mauritania
3.Norway vs cezch Republic
4.Azerbaijan vs Northern Ireland
Karibu tuchambue michezo hiyo nani ataibuka mshindi.........
Harusi ya mshambuliaji nyota wa Barcelona, Lionel Messi sasa ni uhakika itakuwa Juni 30 na itafanyika kwao Rosario, Argentina yeye akifunga ndoa na mzazi mwenzake na mpenzi wake tokea wakiwa...
Wakuu, nimegundua kumbe upeo wetu ni mdogo mno. Pana fainali za FIFA U20 huko Korea Kusini, sawa na fainali za timu kubwa za mataifa, lakini hakuna hapa nchini anaefuatilia hasa media zetu...
Habari wakuu!
Kupitia kichwa cha habari mimi nakaa Mikocheni Regent kwa anayeweza kunielekeza namna yA kufika Chamazi Complex kuangalia mechi Kesho naomba anielekeze.
Yaani usafiri na kama kuna...
Habari Kamarada,
Hivi hawa TFF wanatumia vigezo gani kuzuia AZAM FC kutotumia uwanja wake wa nyumbani pindi inapocheza mechi za ligi na SIMBA/YANGA, na kuruhusu TIMU YA TAIFA kutumia uwanja huo...
SPORTPESA SUPER CUP: Yanga SC acheni dharau.!
Sijui niseme nini. Ila iko namna hii. Kwanini mmeshindwa kuyapa heshima mashindano ya SportPesa super cup?
Mmeona wenzenu walivyokuwa wanajua...
Habarini wapendwa!
Leo tunakamilisha msimu wa La Liga 2016/17. Tufanye Madrid bingwa wa La Liga na UEFA Champions League. FC. Barça bingwa wa Copa Del Rey.
SWALI: Ni nani kati ya Messi na...
Wachezaj walioachwa
*AFC Bournemouth*
Buckley Callum Ralph
McCarthy Jake
Neale Matthew Alexander
*Arsenal*
Da Graca Kristopher Santos
O'Connor Stefan Ramone Sewell
Sanogo Yaya
*Burnley*...
London, England. Mshambuliji wa Chelsea, Diego Costa amesema ametumiwa ujumbe mfupi wa simu kutoka kwa kocha Antonio Conte akitakiwa kutafuta maisha sehemu nyingine.
Ndoto za Costa kubaki kwenye...
Mchezaji wa Real Madrid Christiano ronaldo amechukua makombe manne ya champions league katika maisha yake ya soka ni kitu kikubwa sana kuna baadhi ya wachezaji mahili kama Ronaldo nazalio delima...
Mshambuliaji Wazir Junior aliyejiunga na Azam akitokea Toto Africans, amefunguka mchezo mzima wa usajili wake ulivyokuwa baada ya awali kuonekana katika ofisi za Klabu ya Yanga akiwa na baadhi ya...
Kwa ufupi
Kiwango cha juu alichokionyesha Mbaraka kimewavutia Simba, Yanga na Singida United kila moja ilionyesha nia ya kutaka kumsajili.
By Mwandishi Wetu
Mabingwa wa Kombe la Mapinduzi, Azam...
Watu wanashangaa Manchester United kuwa mentioned na Forbes magazine kama team tajiri duniani. Kwa mtu anayefuatilia mpira hawezi kushangaa kwani Manchester United ni taasisi kubwa na ni brand...
Game ya Yanga vs Afc Leopards ya Kenya..
Bado matokeo ni 0-0
Kipindi cha pili
YANGA 0-0 AFC LEOPARDS ‘LIVE’ MAPUMZIKO, SPORTPESA SUPER CUP, UWANJA WA UHURU
Mhariri mwenye akili timamu kabisa hawezi kukubali maandishi kama haya ambayo nayanukuu " Simba SC yafa chali Kifo cha Mende ndembe ndembe ". Matusi haya ya reja reja hayavumiliki na mtasababisha...
Mpangilio uko hivi wa FIFA
1.Argentina
2.Belgium
3.Colombia
4 Germany
5. Chile
6 Portugal
7.France
8.Spain
9.Brazil
10 Italy
11 Wales
Kwa upande wa Afrika Mashariki yaani Tanzania...