Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Naweza kusema kwa sasa klabu ya Simba SC hususani mashabiki wa klabu hiyo hawapaswi kuwa na matarajio makubwa kwa timu yao kupata matokeo chana mbele ya Al Ahly Tripoli ya Libya katika Kombe la...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Hongera sana Simba,timu ya mfano Tanzania na Africa mashariki. Timu wa kipimo Cha timu nyingine, Timu waanzilishi wengine wanafuata,Timu bunifu,wengine wanafuata, Timu yenye hadhi inayolipatiaga...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe,Tusichoshane! Nimesikia mnatamba ya kwamba kwasasa hata aje nani atapigwa tu! Tunaomba hadi tarehe 19 ya mwezi Ujao huyo Mpanzu awe amepewa vibali vya Kucheza maana...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Hata apewe Karne kucheza ni mchezaji wa kawaida Sanaa, ball control na end product yake mbovu kabisa. Anacheza Kama ndio anajifunza mpira....BIG NO HAKIKA hapa TUMEPIGWA TENA!!!
4 Reactions
23 Replies
890 Views
N mda tu ukifika mtasema Hayo ndio matokeo ya leo All dbest mnyqma
1 Reactions
5 Replies
272 Views
Siku ya Jana ilikua kombe la mbumbumbu linaendelea na klabu ya mbumbumbu simba ilifanikiwa kuwafunga waarabu Koko vibonde wa biashara unitea ikumbukwe Hawa waarabu Koko walifungwa Gori 3 bila...
1 Reactions
26 Replies
728 Views
Young Africans- goals 17- million 85Tsh Azam fc- goals 1- million 5Tsh Coastal Union- goals 0- 0Tsh Simba -goals 0 - 0Tsh Pesa ya mama haijaenda kwenye kombe la akina mama Simba atatolewa Leo...
4 Reactions
6 Replies
452 Views
ZFF ni Zanzibar Football Federation kwa Kiswahili ni Shirikisho la Soka la Zanzibar sawa na TFF. Kimenishangaza ligi ya Zanzibar inaendelea wakati huu ambapo mechi za timu za mataifa zikiendelea...
1 Reactions
13 Replies
619 Views
Badooo sijapata jibu kwa nnavyomwona chama na home boy mkude wanachoffanya uwanjan Najiuliza sana sana hivi kuna shida gani simba Iweje wachezaji mnaowaacha wakija Yanga wanatakaa vibaya mno...
0 Reactions
8 Replies
452 Views
Leo nilikuwa naangalia ubora wa timu aiseeee. Kuna timu jana ilnipigia goli 3 ndani ya dk 4 Leooo naona goli 3 zimehangaikiwa kwa dk 90. Mpira haujawahi mwacha mtu salama
7 Reactions
46 Replies
1K Views
Huu ndio ukweli.Hakuna timu inayoweza kupata umaarufu Tanzania bila kwanza kujilinganisha na mnyama. Mnyama anashindana na takwimu zake mwenyewe,wengine kila wakisema lazima wajilinganishe na...
3 Reactions
10 Replies
433 Views
Sitaki kuzeeka mapema kisa timu ya mpila. Hela nitafute kwa shida pia hata timu ya mpila nayo inipe stress?? Wana Simba mtanisamehe sana, kwa Yanga hii tutasubiri sana. Kama huwezi kushindana nao...
19 Reactions
95 Replies
2K Views
Mayday ni neno la utaratibu wa dharura linalotumiwa kimataifa kama ishara ya dharura katika mawasiliano ya redio. Kwa wale wanaofahamu mambo ya jeshini nadhani watakuwa wanafahamu, hususan anga...
11 Reactions
18 Replies
942 Views
Baada ya kiwango kizuri alichoonesha siku ya leo akiisaidia timu yake kupata goli la kusawazisha akifunga yeye mwenyewe na mechi kumalizika kwa jumla ya magoli matatu kwa moja. Sasa ndio Kibu...
5 Reactions
16 Replies
710 Views
Mwaka 1998, Yanga ilifuzu hatua ya makundi ya Club Bingwa barani Afrika kwa kuichapa Coffee ya Ethiopia mabao 6 kwa moja katika mechi ya marudiano iliyofanyika uwanja wa Taifa tarehe 08/05/1998...
4 Reactions
9 Replies
829 Views
Baada ya nyuma mwiko a.k.a gongowazi,yondo sista,utopolo,nzi wa kijani,chura mjane kuwafunga kwa mbinde tugoli sita walima matikiti wa ethiopia uto wameshindwa kuivunja rekodi ya kufunga goli...
4 Reactions
16 Replies
494 Views
Leo simba wamecheza chini ya kiwango sana, mashabiki wengi wanasema sababu ni heshima ya ugenini ila sikubaliani na hilo. Hawa wajukuu wa Ghaddafi wapo vizuri sana, kwa kiwango hichi cha simba...
7 Reactions
122 Replies
4K Views
I will be short Simba fans are actually happy with the goalless draw against Al Ahly Tripoli despite the 50% - 50% chance of qualifying in the group stage here at home. Simba had a bad game...
2 Reactions
44 Replies
1K Views
Hatimaye klabu ya simba yafuzu kombe la mbumbumbu walioferi aisee kweli mwaka huu Kuna vichekesho wenzao yanga wapo klabu bingwa ya mabingwa wao wamefuzu kombe la walioferi wanashangilia kama...
4 Reactions
31 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…