Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Sunday Manara amelipa mtihani Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kuahidi kufanya maamuzi ya kumtolea posa Wema Sepetu endapo ratiba ya ligi kuu...
Staa wa soka anayekipiga wa Barcelona, Neymar ametajwa kuwa mchezaji ni ghali zaidi duniani akiwapita mastaa wengine ambao wanatajwa kuwa wakubwa zaidi yake akiwepo mchezaji mwenzake wa Barcelona...
Usain Bolt atatakiwa kuirudisha moja ya medali zake tisa za Olimpiki baada ya mkimbiaji mwenzake wa Jamaica, Nesta Carter kugundulika alitumia madawa yalivyopiga marufuku.
Carter alikuwa...
Bingwa wa mabingwa wa mbio fupi Mjamaica Usain Bolt atatakiwa kukabidhi moja ya medali zake za dhahabu alizopata Beijing Summer olympic 2008 katika mbio za kupokezana vijiti 4×100 baada ya vipimo...
***Una weza ukawa bora lakin kuna bora zaidi yako
***Ubishi wa nani zaidi kati ya Mesi na Ronaldo hauwezi kuisha kwasababu kila mtu ana matazamo wake,,
Wapo wanao amini Mesi ni bora kuliko Ronaldo...
Mshambuliaji wa ukweli pacha wa Mbwana Samatta pale U-23 aka Julio Boys Thomas Ulimwengu anakaribia kujiunga na vigogo wa Bundesliga kama atafuzu majaribia ya mwisho. Nasikia nafasi yake ni kubwa...
January 25- 22:00
Egypt ? - ? Ghana
22:00
Uganda ? - ? Mali
Tafakuri yangu inanitafakurisha kwamba HILI NALO NI JIPU LA KUKUMBATIA RUSHWA YA KIMTAZAMO NA NI MAWAZO MGANDO TU ambayo baadaye...
Baadhi ya Timu za ligi kuu Tanzania zenye kasumba za kusajili wachezaji toka mataifa ya kigeni zimewahi kusajili wachezaji ambao walishindwa kukidhi viwango na kujikuta wakitupiwa virago mapema...
Ni kipindi ambacho kwa sasa watanzania wengi nyakati za jioni wamekuwa wakitawanyika katika majumba ya starehe ikiwemo baa na vibandani kushuhudia mashindano ya Afcon yanayoendelea pale nchini...
Aliyewahi kuwa Mchezaji Soka Bora wa Dunia mwaka 1995 George Weah kugombea urais wa Liberia kwa mara ya pili katika uchaguzi Oktoba 10, 2017.
Former world footballer of the year, George Weah...
Ukijaribu kuangalia michuano ya kombe la Afrika asilimia kubwa ya Timu za taifa zipo chini ya Mikono ya Wazungu(makocha wa Kigeni),Na chache sana zipo chini ya Wazawa kama vile DRC na Zimbabwe...
Wayne Rooney leo hii amefanikiwa kuwafungia Manchester united goli la kusawazisha dhidi ya Stoke City. Goli hilo limemfanya kufikisha idadi ya magoli 250 na kuwa mfungaji wa muda wote wa Klabu...
Mpaka Sasa Uganda ndiyo timu pekee haijapata hata Point Moja kwenye mashindano ya AFCON 2017 - Gabon
Uwezo wao wameuonyesha Ila kundi walilopangiwa halikuwa Rafiki kwao.
Hongera kwa kujituma...
Mabingwa watetezi Kombe la Shirikisho, Yanga wameanza kampeni yao ya kulitetea kombe hilo vizuri kwa kuitwanga Ashanti United kwa mabao 4-1.
Yanga imeitwanga Ashanti katika mechi nzuri kwenye...
Wadau wa soka la bongo naomba tukumbushane jinsi ilivyotokea mgogoro wa kumgombania mchezaji mashuhuru miaka ya 1980 "Ezekiel Greyson " Jujuman baina ya vilabu vya Simba Na Yanga ili ambao...
Baada ya Pep Guardiola kuja Mancity alimsajili aliyekua kipa wa Barcelona Claudio Bravo na kumtoa kwa mkopo kipa aliyekua chaguo la kwanza na Kipenzi cha Waingereza Joe hart kwenda Torino ya...
Mpaka sasa Everton inaongoza kwa mabao manne (4) huku Man City wakiwa hawana kitu, Man City anainyemelea nafasi ya sita, ikumbukwe huyu kocha alikimbiza sana La Liga na Bundasliga hali ni tofauti...
Klabu ya Azam imenunua kifaa cha kisasa cha kufanyia mabadiliko wachezaji na kuongezea dakika ,kifaa hicho kitakuwa kinatumika Azam complex tu.
Tff kwa miaka sasa wanatumia teknolojia ya hali...
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limefanya droo ya makundi ya kutafuta nafasi ya kushiriki Kombe la Mataifa ya Afrika 2019 ambapo machuano hiyo itafanyika nchini Cameroon.
Kufanyika kwa droo hiyo...