Nyanda la Juve Gigi Buffon limedaka game yake ya 600 ktk ligi ya Italia maarufu kama serie A ile hali mahambuliaji Lionel Mesi ametupia goli la 500 tangu aanze kuvaa uzi wa klabu hio.
MORE...
Kuna kitu nimegundua ambacho kinatofautisha Klabu ya Simba na Yanga kwenye nyanja nzima ya kuwania Ubingwa.
Ukiangalia kwa umakini utagundua kuwa kikosi cha YANGA kina (depth) kubwa mno na...
Nairobi, Kenya, November 04, 2016 --(PR.com)-- On October 29, 2016, Amanbo headquarters had a group of important guests - Kenya TAITA TAVETA County Chief Executive John Mkwawi Mruttu Mtutu, KNCCI...
Hebu tujaribu kukadiria ni uharibifu wa kiasi gani, huyu Mnyama mkali kabisa mwituni pengine kuliko wote.. anaoenda kuufanya katika Stand ya Shinyanga??
Katika Mechi 6 zilizopita.
Sisi...
Mshambuliaji nyota wa zamani wa Simba , Emmanuel Okwi, yuko tayari kuondoka Denmark na kujiunga nao tena lakini fedha, ndiyo tatizo kubwa . Okwi amesema yuko tayari kuondoka klabu ya...
Baada ya tetesi za muda mrefu na tuhuma za baadhi ya viongozi wa shirikisho la soka Tanzania TFF kudaiwa kuomba rushwa ili waweze kupanga matokeo ya mechi za Ligi daraja la kwanza ili wa wapande...
1.
Simba Day ni siku maalumu kwa Klabu kupiga mikwara dhidi ya timu za Ligi.... Lakini cha kushangaza huwa mnapoteaga kwenye jukwaa hili wiki 8 baada ya LigiKuu kuanza.
Mkuu mpaka sasa.. Ni wiki...
Hivi ile dhana ya kua, Sokoine Stadium ni 'machinjio' ya Mbeya City inafanya kazi hadi msimu huu?!
Hebu tufatilie mechi zake zote alizocheza katika uwanja huo, msimu huu;
10/05/2016 Mbeya City 0...
Maofisa wa TFF, Martin Chacha na Juma Matandika leo wamepandishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa mashitaka ya kuomba rushwa ya sh 25 milioni kwa timu ya Geita.
Kwa kile kinachotokea ulaya na marekani hivi karibuni, kama
Leicester kuchukua ubingwa
Brexit kushinda pale U. K
Ureno kubeba euro
Acha na mimi nitabiri kuwa moja kati ya timu zilizokaa mda mrefu...
Jarida LA Marco limemtbulisha Cr7 kama mchezaji bora,nimejiuliza utafiti huuni Wa mwaka Jana auni link?maana Sikh za karibuni kiwango cha mchezaji huyu dimbani kimekua chini mno has a...
Kocha Lwandamina ameachia ngazi rasmi kwenye club ya ZESCO ili aweze kufanya shughuli zake binafsi
http://www.theindependentobserver.org/lwandamina-has-resigned-as-zesco-head-coach/
Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba SC Aden Rage, amesema kifo cha Spika wa bunge mstaafu Samwel Sitta ni pigo kwa wapenzi wa klabu ya hiyo kwa kuwa ndiye aliyeshiriki kuitunga katiba ya klabu...