Wakuu wa JF
Lile treni lililokatika breki Simba SC linaendelea na safari. Leo hii litapita katika uwanja wa CCM Kambarage kukipiga na Mwadui FC.
Timu bora kabisa chini ya kocha Omog na msaidizi...
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi ‘Dulla Mbabe’ ameonyesha hataki mchezo baada ya kumchakaza Mchina, Chengbo Zheng katika raundi ya kwanza tu.
Pambano hilo la raundi 10 limefanyika...
Serikali kupitia Baraza la Michezo Tanzania(BMT) imezisitishia timu za Simba na Yanga mipango ya kubadili umiliki wa Timu hizo na hivyo Wanachama kuendelea kuwa wamiliki halali wa timu hizo...
Nimeamini usipobeti kistaarabu unaliwa tuu. Mtu kaweka 100000 kacheza high risk games kapigwa anadai eti kuna uchawi. Hebu nipeni mshaurini huyu jamaa sijui hakusoma BETING TIP ®ULATION
KIUNGO wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya Taifa ya Hispania Hernandez Xavi ambae pia ni miongoni mwa wachezaji walio pata mafaniki0 na klabu hio na timu ya Taifa hilo bado yupo kileleni...
1. Pep Guardiola alipohojiwa akasema kati ya wachezaji anaowakubali basi mshambuliaji raia wa Uingereza Peter Crouch ni mmoja kati ya wachezaji anaowakubali sana. Akaenda mbali zaidi kwa kusema...
lengo kubwa la serikali kuanzisha hicho chombo ni baraza la michezo tanzania .ni lengo zuri sana ila watendaji wake wanasababisha waliite bomoa michezo Tanzania nchi hii ukitaka upate tenda yoyote...
Ndugu zangu
Naanzisha uzi huu japo sijajua kama upo tayari ila ni mahususi kwa ajili ya kuweka highlights za magoli kwenye mechi za Epl...
Sijajua kama ni sawa au sio sawa ila naanza kwa kuweka...
Mwambien pep kuwa EPL kuna big match nne yaan
vs Man untd
vs Arsenal
vs Liverpool
vs Chelsea
alfu kuna mechi tano za wabishi wa ligi
vs Totenham
vs Southampton
vs Everton
vs Stoke
vs Westham...
Naomba kueleweshwa....kuna kitu sijakielewa kabisa
Nilikua najua kuwa Manji ndo mwenye final say Yanga
na ni Manji alipoona kocha Hans kama hamridhishi akaanza kutafuta kocha mwingine
akampata...
Leo ndo leo katika uwanja wa mkwakwani ambapo chama la wana friends ranger leo inashuka uwanjani kuwakabili wana African sport,katika kundi hili A,Friends Ranger anaongoza kundi,Ewe Mwenyezi Mungu...
Uongozi wa Yanga umeandika barua ya kumuomba kocha Pluijm afute maamuzi ya kujiuzulu, hiyo ni baada ya kukaa na Pluijm, Baraka na Mwigulu.
=====
Mh.Mwigulu Nchemba amemrejesha kocha wa Yanga...
Wadau hii imekaaje kwa sababu nilitegemea waziri wa michezo ndio ajaribu kufanya huu usuluhishi katika masuala ya michezo...
Sasa tofauti na hivyo namuona waziri wa mambo ya ndani mh. Mwigulu...
Hivi nyie TFF mmerogwa na nani?
Wakuu nimekua nikisikitishwa sana na utendaji huu wa TFF hasa suala la ku update taarifa za mechi kwenye official website yao. Ni jambo la kushangaza sana kuona...
Baada ya Manchester United kukubali kipigo cha goli 4-0 kutoka kwa club ya Chelsea, kuna mengine yameibuka watu wanadai kuwa N'golo Kante ni zaidi ya Paul Pogba.
Je ni kweli?
Niko hapa naangalia USA vs Russia na USA kashinda ila sema kuna mtoto anaitwa Somebody Adams ni kisu(ingawa wote ni visu kinyama)ila huyu kavunja asa!!!!police yeyote akimpiga risasi kwamba...