Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Katika mechi ya Simba Na Yanga mchezaji Mkude wa Simba alionyeshwa Kadi nyekundu Na Refa Saanya.Kitendo hicho kiliifanya Timu ya Simba kucheza pungufu Na Yanga kufaidika Na upungufu huo.Ninacho...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Hivi karibuni tumeskia kuwa timu ya mpira wa miguu Yanga wameomba kutumia uwanja wa Amani Zanzibar. Wandugu mnaonaje tukiwashauri waombe kutumia uwanja wa Jamhuri Dodoma? Hasa ktk kipindi hiki...
0 Reactions
1 Replies
525 Views
Klabu ya Simba imemuomba radhi rais Magufuli kutokana na vurugu zilizosababishwa na mashabiki wao na kuvunja viti uwanja wa taifa siku ya mechi yao na Yanga
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SIMBA SPORTS CLUB DAR ES SALAAM 2-10-2016 TAARIFA KWA UMMA Kwa masikitiko makubwa klabu ya Simba imesikitishwa sana na vitendo vilivyofanywa na baadhi ya washabiki wetu,cha...
17 Reactions
99 Replies
11K Views
i have canalsat newcam accounts for 16e whatsapp contact +260962679910 johnwhitesatech
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu dogo mwenye miaka 13 anachezea kikosi cha watoto (Under 20) cha Celtic FC. Ana uwezo mkubwa wa kumiliki na kuchezea mpira atakavyo. Nimempenda sana nikaona niwashirikishe kidogo muone vipaji.
2 Reactions
20 Replies
4K Views
katika hali isiyo ya kawaida klab ya simba baada ya msoto wa miaka minne bila kombe wala jagi.imeona bora wafuate mfumo wa yanga kwa kuteua kamati ya mashindano.vp wadau mnaamin hii kamat kwa...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Tumemsikia na kusoma mitandaoni Juu ya Klabu ya Yanga kuomba kuutumia Uwanja wa Aman Zanzibar.Kwa mujibu wa Kanuni za Ligi namba 4 inazuia kutumia uwanja nje ya Tanzania bara.Kiongozi wa Yanga...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Kamati ya bodi ya ligi imeifuta Kadi nyekundu aliyopewa nahodha wa Simba, Jonas Mkude baada ya kuthibitika hakustahili kadi hiyo. Pia imeipiga faini ya milioni 5 klabu ya simba na kulipa gharama...
3 Reactions
52 Replies
15K Views
Messi alifunga bao kama hilo...kipi kipya?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Azam FC yashikwa shati na Ruvu Shooting Azam FC yashikwa shati na Ruvu Shooting - Bongosoka
0 Reactions
1 Replies
670 Views
Huo ninapata wakati mgumu ninapokutana washabiki wa man u na asernal kwamba nani bingwa huku washabiki wa man u wakisema kwamba wao ndio wanaongoza kwa kuwafunga asernal lakin pia asernal nao...
0 Reactions
8 Replies
984 Views
mpira wa tanzania hauwez kupiga hatua kamwe kama tukiendelea ivi tunavoendelea maamuzi mengi yamekuwa yakitolewa kwa faida ya simba au yanga. sasa refa kafungiwa miaka miwili hawasemi sababu na...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kocha mkuu wa timu ya Toto African Logacian Kaijage, ametangaza kuachana na timu hiyo kwa kile alichokisema kuwepo kwa sababu za ndani ya timu zinazomsukuma kuachana na timu hiyo. Kaijage...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Closed
Kama kweli hizi habari ni za kweli basi soka la Tanzania lipo matatani sana. Maana makosa yaliyojitokeza yalikuwa ya kibinadamu na hata katika league za wenzetu yanatokea sana, lakini sidhani kama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
Mwamuzi wa kati aliyecheza mechi ya watani wa jadi (Yanga vs Simba), Martin Saanya, pamoja na msaidizi wake, wamefungiwa miaka miwili huku Nahodha wa Simba, Jonas Mkude akifutiwa adhabu ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
  • Closed
Habari zilizonifikia ambazo hazijathibishwa na TFF, Bodi ya ligi wala chama cha waamuzi ni kwamba, mwamuzi wa kati Martin Saanya na msaidizi wake namba moja (line one) Samwel Mpenzu, wamefungiwa...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Ukiniuliza Katika Maisha yangu ya Ushabiki wa ARSENAL Ni Wachezaji Gani waliyonishawishi Kuipenda ARSENAL Ntakwambia ni NWANKO KANU na DENIS BERGKAMP na Historia Zao ndio Zilinivutia Kutaka...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
664 Views
Siku zinaenda mbele hazirudi nyuma,ipo siku tu Yanga au simba wanaweza kumiliki uwanja wao,sasa nina swali kwa mashabiki wote humu ndani. Imetokea siku Yanga ndio wapo uwanja wao wa nyumbani...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…