Wakuu,
Nimeona tuwe na thread maana sijaona ikiwepo. Nitajitahidi kuweka updates kadiri nitakavyoweza lakini nikionekana kuzembea naomba mods hii thread wampe atakayeonekana kuwa anatoa updates...
Leoo tunaelekea kuangalia timu moja itakayoungana NA ureno kuelekea final za euro 2016
Wapo wenyemawazo mbalimbali kama mwanamichezo nn maoni yakoooooooo
Kocha mkuu wa Manchester City Pep Guardiola ametambulishwa rasmi klabuni hapo jana mbele ya maelfu ya mashabiki wa klabu hiyo huku mwenyewe Pep Guardiola akiahidi kuandika historia klabuni hapo.
mpira wa tanzani imeingizwa siasa.
kamati ya uchaguzi Dorefa mkoani dodoma imewaondoa baadhi ya wagombea kwa madai ya maagizo kutoka TFF.
inasemekana anataka kubadilisha kanuni ya uchaguzi wa TFF...
Kwanza niwapongeze kwa mafanikio ya Serengeti Boys kwa sasa ingawa najua si ushindi wa kitaalamu sana kwa kuwa timu tuliyokutana nayo ni dhaifu sana.
Ndugu yangu Malinzi umekuwa hapo TFF...
Mchezaji bora duniani leo messi yupo Bahamas kwa mapumziko lakini amezua gumzo mtandaoni baada ya kuvaa t shirt inaelezea hisia zake kuhusu penati mchezoni
2 hours ago
Serena Williams has reached her 12th quarter-final at Wimbledon
Wimbledon on the BBC
Venue: All England Club Dates: 27 June-10 July
Live: Coverage across BBC TV, BBC Radio and BBC...
Niseme ukweli namchukia sana huyu mzee wa tetesi mwishowe inakula kwetu
Kweli unamnunua Takuma na kujiona umesajiri stricker au unamfukuzia Benteke wakati kule kuna Chicharito anapatikana kwa bei...
Mwanariadha mlemavu wa miguu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius leo atafahamu iwapo atakwenda jela kwa kosa la mauaji ya mpenzi wake Reeva Steenkamp au la.
Mwanariadha huyo alipatikana na hatia ya...
Former Italian Prime Minister Silvio Berlusconi says he has sold football club AC Milan to a Chinese consortium.
Berlusconi, who owns the Serie A team, made the remarks to local newspapers on...
Habari zilizo mjini kwasasa nikuwa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya Genk Mbwana Samatta kesho atakuwa Nchini Italy kufanya mazungumzo ya kujiunga na klabu ya AS...
itakumbukwa aliweza kuitia hasara TFF kwa kupanga ofisi katika jengo la PPF kwa gharama kubwa ili hali ofisi zipo karume na mpaka alipokuja afisa wa fifa au caf kuhoji kwa nini upanga hapa wakati...
Hii mechi ya Portugal Vs Iceland. Ngoma ni 1:1. C. Ronaldo hafurukuti licha ya kucheza na wachezaji wa timu pinzani iliyo na wachezaji wasio na majina makubwa sn!
Hii ina maana gani wakuu? Ndio...
MFALME WA SOKA DUNIANI KUWAHI KUTOKEA LIONEL ANDRES MESSI AWEKA REKODI MPYA YA UFUNGAJI ARGENTINA IKITINGA FAINALI COPA AMERICA
Lionel Mesi sasa anaongoza orodha ya wafungaji katia taifa la...